K kamwamu JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 4,521 Reaction score 3,309 Dec 11, 2019 #21 Watuhumiwa wakuu wa ufisadi Tanzania ndio wafadhili wakuu wa chama. Majaji wenye makucha wanaamrishwa namna ya kuhukumu, unategemea nini ktk mahakama hiyo? Sent using Jamii Forums mobile app
Watuhumiwa wakuu wa ufisadi Tanzania ndio wafadhili wakuu wa chama. Majaji wenye makucha wanaamrishwa namna ya kuhukumu, unategemea nini ktk mahakama hiyo? Sent using Jamii Forums mobile app