Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
usinitafutie Ban aisee nineshakwambia usinifananishe na hilo Dubwasha CCMKwa akili hii unautofauti gani na ccm??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usinitafutie Ban aisee nineshakwambia usinifananishe na hilo Dubwasha CCMKwa akili hii unautofauti gani na ccm??
Makanikia asilimia 90 ni dhahabu! Aisee ccm acha tu.Kwa akili hii unautofauti gani na ccm??
Kenya wanajinasibu kuwa wana katiba nzuri ila IEBC imeshindwa licha ya kuwa 'huru'.
Wewe pia haujanielewa! Kenya wana tume huru ila imeboronga, licha ya kuwa na katiba nzuri.
Weka pembeni mambo ya mahakama ya Kenya kufuta ushindi wa Kenyatta. Kenya wana katiba nzuri na tume huru ila yametokea haya!
Nafikiri hamjanielewa nilichomaanisha.
haahaha situmii mkuu labda niagize juice baridi...Mkuu kama uko Bar agiza chochote nakuja Kulipa
Hilo tu mkuuu.....Utapotezwa kama Ben saanane....
Bado watoto wako ni wachanga/wadogo...
Kenya wanajinasibu kuwa wana katiba nzuri ila IEBC imeshindwa licha ya kuwa 'huru'.
Wewe pia haujanielewa! Kenya wana tume huru ila imeboronga, licha ya kuwa na katiba nzuri.
Weka pembeni mambo ya mahakama ya Kenya kufuta ushindi wa Kenyatta. Kenya wana katiba nzuri na tume huru ila yametokea haya!
Nafikiri hamjanielewa nilichomaanisha.