Ninajua umeielewa vizuri sana hiyo article, bali huamini unachokiona unajaribu kutafuta jinsi ya kuficha ukweli, sio rahisi kuficha kwasababu kila MTU anasoma na kuona ukweli.
1)paragraph 3. Hii inazungumzia kuhusu tax inayokusanywa na KRA, kwa imepanuka kwa Sh.10.05B, sawa na 6.52% na kufika Sh.164.30 billion. hiki ndio kiasi ambacho KRA inekusanya toka katika, "Manufacturing sector".
2) Page 4. Hii inazungumzia kuhusu kuzorota kwa sector ya uzalishaji Kenya," I quote"
"The slow down in growth of tax revenue from factories reflects the shrinking in contribution of manufacturing to Kenyan's GDP"
3) Page 6; hii ndiyo inayozungumzia Revenue iliyopatikana katika " manufacturing sector na kuilinganisha na GDP ya Kenya. Inaonyesha jumla ya mapato ni $712M ambayo ni 7.2% ya GDP ya Kenya.
1) Total revenue $712M
2)Tax collected $1.64M
3)% of Revenue to GDP is 7.2%
Hahahaha, hahahaha, hahahaha,
Sent using
Jamii Forums mobile app