Kenya Manufacturing sector vs Tanzanian's

Kenya Manufacturing sector vs Tanzanian's

Ninajua umeielewa vizuri sana hiyo article, bali huamini unachokiona unajaribu kutafuta jinsi ya kuficha ukweli, sio rahisi kuficha kwasababu kila MTU anasoma na kuona ukweli.

1)paragraph 3. Hii inazungumzia kuhusu tax inayokusanywa na KRA, kwa imepanuka kwa Sh.10.05B, sawa na 6.52% na kufika Sh.164.30 billion. hiki ndio kiasi ambacho KRA inekusanya toka katika, "Manufacturing sector".
2) Page 4. Hii inazungumzia kuhusu kuzorota kwa sector ya uzalishaji Kenya," I quote"
"The slow down in growth of tax revenue from factories reflects the shrinking in contribution of manufacturing to Kenyan's GDP"
3) Page 6; hii ndiyo inayozungumzia Revenue iliyopatikana katika " manufacturing sector na kuilinganisha na GDP ya Kenya. Inaonyesha jumla ya mapato ni $712M ambayo ni 7.2% ya GDP ya Kenya.

1) Total revenue $712M
2)Tax collected $1.64M
3)% of Revenue to GDP is 7.2%

Hahahaha, hahahaha, hahahaha,


Sent using Jamii Forums mobile app
Being socially retarded is like being mentally retarded, it arouses in others disgust and pity and the desire to torment and reform.
 
Kenya kwa miaka mingi ilitawala katika "manufacturing sector " katika ukandaa huu, jambo KILIMO sababu sawa na uwekezaji mkubwa uliofanywa na Wazungu hata kabla ya Uhuru.

Wakati Tanzania na Uganda zikifanywa kama mashamba ya kuzalisha Mali ghafi kwa ajili ya viwanda vya waingereza vilivyojengwa Kenya. Baada ya Uhuru, jitihada za Tanzania kujenga viwanda zilipunguzwa kutokana na nchi za Magharibi kuitenga Tanzania kiuchumi kutokana na kujihusisha kwake ktk vita vya ukombozi vya Afrika, na kitendo cha Tanzania kukataa kufuata siasa za Kibepari.

Baada ya vita baridi "Cold war" kumalizika, uwanja wa biashara ulianza kuwa sawa sawa kwa nchi nyingi duniani, ndipo Tanzania ilipoanza kazi ya kujenga viwanda vyake, huku Kenya ikiwa mbali sana katika "manufacturing sector".

Taarifa za mwaka Jana zinaonyesha kwamba, Tanzania imeipita Kenya tena kwa mbali sana katika mapato yanayopatikana katika " manufacturing sector", na mwelekeo wa ukuaji wa sector ya uzalishaji Kenya ni "hasi" na Tanzania ni chanya.

Kwa mwaka wa Fedha ulioishia June 2019, Manufacturing sector iliingizia Kenya kiasi cha $712 M, wakati Tanzania ilipata $996M.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe it seems you don't know the exchange rate[emoji23][emoji23][emoji23]
100Ksh = $1
712b ksh= ?

Jibu hiyo swali alafu urudi tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

So Kenya's Manufacturing is $7.12b
While Tanzania's manufacturing is $996m
What's the difference?
 
Naona umetoroka thread yako[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Hii link inaonyesha kwamba, Tanzania imeuza bidhaa za viwandani zenye thamani ya $996M.
Unaswali la ziada?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe it seems you don't know the exchange rate[emoji23][emoji23][emoji23]
100Ksh = $1
712b ksh= ?

Jibu hiyo swali alafu urudi tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

So Kenya's Manufacturing is $7.12b
While Tanzania's manufacturing is $996m
What's the difference?
Tanzania manufacturing is more than that! Over $5 bln!

Manufacturing in Tanzania Tanzania’s manufacturing sector contributed 5.6% to the country’s GDP in 2014 with USD 2.69bn, compared to USD 1.47bn in 2009, representing an increase of 82%.

Read more at: Tanzania Industry - TanzaniaInvest and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest
 
Tanzania manufacturing is more than that! Over $5 bln!

Manufacturing in Tanzania Tanzania’s manufacturing sector contributed 5.6% to the country’s GDP in 2014 with USD 2.69bn, compared to USD 1.47bn in 2009, representing an increase of 82%.

Read more at: Tanzania Industry - TanzaniaInvest and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest
Yeah, kwa midomo it's better than that.[emoji23][emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya kwa miaka mingi ilitawala katika "manufacturing sector " katika ukandaa huu, jambo KILIMO sababu sawa na uwekezaji mkubwa uliofanywa na Wazungu hata kabla ya Uhuru.

Wakati Tanzania na Uganda zikifanywa kama mashamba ya kuzalisha Mali ghafi kwa ajili ya viwanda vya waingereza vilivyojengwa Kenya. Baada ya Uhuru, jitihada za Tanzania kujenga viwanda zilipunguzwa kutokana na nchi za Magharibi kuitenga Tanzania kiuchumi kutokana na kujihusisha kwake ktk vita vya ukombozi vya Afrika, na kitendo cha Tanzania kukataa kufuata siasa za Kibepari.

Baada ya vita baridi "Cold war" kumalizika, uwanja wa biashara ulianza kuwa sawa sawa kwa nchi nyingi duniani, ndipo Tanzania ilipoanza kazi ya kujenga viwanda vyake, huku Kenya ikiwa mbali sana katika "manufacturing sector".

Taarifa za mwaka Jana zinaonyesha kwamba, Tanzania imeipita Kenya tena kwa mbali sana katika mapato yanayopatikana katika " manufacturing sector", na mwelekeo wa ukuaji wa sector ya uzalishaji Kenya ni "hasi" na Tanzania ni chanya.

Kwa mwaka wa Fedha ulioishia June 2019, Manufacturing sector iliingizia Kenya kiasi cha $712 M, wakati Tanzania ilipata $996M.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawai ona mjinga kama wewe wah!!!alafu bado ukirekebiswha bado unabisha smh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania manufacturing is more than that! Over $5 bln!

Manufacturing in Tanzania Tanzania’s manufacturing sector contributed 5.6% to the country’s GDP in 2014 with USD 2.69bn, compared to USD 1.47bn in 2009, representing an increase of 82%.

Read more at: Tanzania Industry - TanzaniaInvest and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest
That was 2014, in 2018 things are worse with only $996m export of manufactured goods.[emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania manufacturing is more than that! Over $5 bln!

Manufacturing in Tanzania Tanzania’s manufacturing sector contributed 5.6% to the country’s GDP in 2014 with USD 2.69bn, compared to USD 1.47bn in 2009, representing an increase of 82%.

Read more at: Tanzania Industry - TanzaniaInvest and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest
Look at your manufacturing trend how it is reducing significantly.
In 2014, your manufacturing sector exported $2.69b
In 2015, the export reduced to $1.4b
Now in 2018, the export is at $996m.
I'm sure 2019 the export will stand at $300m with that of Kenya standing at $15b in 2019[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That was 2014, in 2018 things are worse with only $996m export of manufactured goods.[emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
The value for Kenya is total manufacturing and NOT total export for manufactured goods! Fool that hunger stricken Kunyaland can never export $7bln worth of manufactured goods! Keep dreaming!
 
Look at your manufacturing trend how it is reducing significantly.
In 2014, your manufacturing sector exported $2.69b
In 2015, the export reduced to $1.4b
Now in 2018, the export is at $996m.
I'm sure 2019 the export will stand at $300m with that of Kenya standing at $15b in 2019[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
jiwe ameaua uchumi wa tz mazeee dah, poleni waswahili...
 
According to Bank Of Tanzania 1.032bil usd revenue from manufacturing EXPORTS ..Bidhaa nyingnie huwa haziwi exported ... So hio sio total value ya manufacturing
Screenshot_20200108-155002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are either reading a different article or are completely retarded.

Total manufacturing revenue - Sh712.34 billion ($7.12 BILLION)
Tax from manufacturing revenue - Ksh 164.3 billion ($1.64 BILLION)

View attachment 1315754
Kumbe alichemsha hadi kwenye conversion ya KES-$? Sikuona hilo hapo awali. Yaani inamaanisha hata ushuru tu ambao GOK inapata kutoka kwa sekta ya manufacturing nchini Kenya, USD1.6b, ni zaidi ya mapato yote ya TZ kutoka kwenye sekta hiyo hiyo? [emoji15]
 
These albino eaters are quick to forget about the industry of 4 sewing machines and a juice blender?
 
Huo ndio ukweli, japo nimeishia "form4", ninawapelekesha "Degree holders" toka Kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah wapi, labda darasa la saba ndio maana unawapelekesha kwa pumba na hata wakikusahihisha bado hauelewi. 😀 Jombaa hata mwanafunzi wa darasa la nne hawezi akasema kwamba KES 712billion ni $712million wakati tayari 'exchange rate' anaijua. Itakuwa labda ulienda shuleni kuiba miwa. [emoji1]
 
Back
Top Bottom