Naxvegas254
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 542
- 316
Buku Saba weweHuo ndio ukweli, japo nimeishia "form4", ninawapelekesha "Degree holders" toka Kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, ukweli unaujua kwamba ninawatoa kamasi mijitu yenye degree hapa JF, wewe ukiwa mmoja wapo. Degree zenu zaidi ya Kiingereza hazina lolote, pumba tupu [emoji23][emoji23][emoji23]Aaah wapi, labda darasa la saba ndio maana unawapelekesha kwa pumba na hata wakikusahihisha bado hauelewi. 😀 Jombaa hata mwanafunzi wa darasa la nne hawezi akasema kwamba KES 712billion ni $712million wakati tayari 'exchange rate' anaijua. Itakuwa labda ulienda shuleni kuiba miwa. [emoji1]
Juu mashule zimefungwa, I think it is not fair to abandon you at this time of need. Because of that I have decided to give you some homework.Hahahaha, ukweli unaujua kwamba ninawatoa kamasi mijitu yenye degree hapa JF, wewe ukiwa mmoja wapo. Degree zenu zaidi ya Kiingereza hazina lolote, pumba tupu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Do not engage his idiocy. As Mark Twain said "Never argue with a fool, onlookers will not be able to tell the difference". Truth is it hurts him and his ilk that Kenya is the most developed country in the region and growing faster than they thought. They were fooled that by now they would have overtaken Kenya, that was 20 years ago. They suffer a chronic case of "sour grapes", that is why he must always compare TZ to Kenya and add on top idiocy and lunacy.Juu mashule zimefungwa, I think it is not fair to abandon you at this time of need. Because of that I have decided to give you some homework.
1. 1+3= ?
2. 7-3.5= ?
3 . 2+5= ?
Joto start with those for today. I expect to see your work by tomorrow so that I can mark them.
Sent using Jamii Forums mobile app
They were told the Kenyan sgr will fail, now it is doing 30 cargo trains a day carrying 216 teus each. They were told Naivasha is "Nowhere", now international companies are fighting for space in Naivasha sez to manufacture for Africa from Naivasha especially Agro Processors. They were told the Kenyan financial sector will collapse, now the banks rake in more revenue than 10 years ago and it is more stable. The y were told they would overtake kenya in 10 years, 20 years later the infrastructural, financial and economic gap widens in favor of Kenya.Juu mashule zimefungwa, I think it is not fair to abandon you at this time of need. Because of that I have decided to give you some homework.
1. 1+3= ?
2. 7-3.5= ?
3 . 2+5= ?
Joto start with those for today. I expect to see your work by tomorrow so that I can mark them.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanikumbusha yule mbongolala mwenzako ambaye alidhani GDP ni government income.
Bongolala mgani huyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuishia form4 sio kigezo cha kumfanya mtu awe mjinga kiasi hicho jomba..Huo ndio ukweli, japo nimeishia "form4", ninawapelekesha "Degree holders" toka Kenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app