KENYA: Mapambano makali yanaendelea kati ya Polisi na Wafuasi wa Odinga kwenye mapokezi yake

Hata ile coúp ya Zibambwe imetulia kuliko mapokezi ya huyu Odinga
 
Leo Nakodoa tu macho
kiukweli inashangaza sana
 
Hakika ,Hayati Mwl. JK. Nyerere, alikuwa mtulivu, mwenye hekima, akili , busara na Mtakatifu!!

Siku ile mwaka 1995, A. Mrema, anapokolewa kwa kusukumwa gari lake ,,, Polisi ilitaka kufanya kama hiki kilichofanyika Kenya.

Ila, Mwl. Nyerere, alikuwa ni akili kubwa akasema, Muacheni hata wakimbeba juu haibadilishi chochote!!

Laiti, kama.Kenyatta angekuwa na akili , hekima na democracy ya kweli basi haya yanayoendelea saa hivi yasingekuwepo kabisa.

Any way, R.I.P , The late, our Father of the Nation, President , Saint Mwl. JK. Nyerere, forever we will remember you.
 
Kenya haijawahi kukaa salama. Hili linaeleza yote
 
Uhunye amezungukwa na wataalamu na waandamizi wa kukandamiza upinzani, aombe ushauri kutoka kwa majirani wake, kabla hajatolewa kitini
 
Wananchi atutumii akili muda mwingine...wanaumia...wanakufa huku wenzao akina raila wako salama na familia zao
 
mmh hatari sana,tuwaombee jirani zetu wavuke salama kipindi hiki
 
Uhuru anamvumilia sana odinga,

halafu odinga akiona kick zimepungua anabuni safari ya kwenda nje ili anaporudi apokewe kwa maandamano,
zote ni mbinu tu,
odinga atamsumbua mno uhuru,na huo ucxhaguzi utarudiwa rudiwa mpaka 2040,
anachotakiwa uhuru ni kuchapa kazi tu na hata urudiwe mara 20,kuna shida gani maadamu bado ni rais
 
Wananchi atutumii akili muda mwingine...wanaumia...wanakufa huku wenzao akina raila wako salama na familia zao
Kielelezo cha ujinga wa Wajaluo! Wanauwawa na kutiwa vilema ktk maandamano kwa sababu ya Raila. Wanakaa wanajidanganya kwamba ni wengi,kama wangekuwa na wingi wa Wakikuyu si wangekwisha choma moto Kenya kwa ulimbukeni wanaonyesha!!
 
Hawa jamaa Mungu awasaidie tuuh

"Hilo nyomi la watu barabarani kama linafanana na nyomi litakaloenda kumpokea Mh Tundu Antipas Lissu pale JKNIA siku atakayorejea kutoka kwenye matibabu".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…