Makambo zali
Senior Member
- Sep 23, 2017
- 180
- 433
Kwa haya yaliyotokea Raila anafaa kulaumiwa,Kiongozi wa chama cha Upinzania nchini Kenya Raila Odinga amerejea leo nchini humo akitokea Marekani. Raila amepokelewa na wafuasi wake wengi kuanzia uwanja wa ndege hadi barabarani.
View attachment 632294
Wafuasi awa NASA wakiwa barabarani kwenye maandamano ya kumpokea Raila Odinga
View attachment 632266
Wafusi wa NASA wakiwa uwanja wa ndege wakimpokea Raila Odinga
========================
Hali si shwari kwenye mapokezi ya Odinga nchini Kenya, angalieni matangazo mubashara ya citizen mabomu na risasi zinarindima
Maandamano ya watu wengi yalikuwa barabara ya Mombasa wakaelekea mpaka barabara ya Likoni inayounganisha barabara ya Mombasa na ile ya Jogoo. Baadae wakaelekea katika soko la Mudhurua.
Baadae wakaingia Jijini Nairobi na kutoka ila juhudi zao za kufika katika bustan ya Uhuru ziligonga mwamba baada ya kudhibitiwa na maafisa wa Polisi wa kutuliza ghasia kwa kuwarushia mabomu ya Machozi
Kumekuwa na taarifa kuwa baadhi wamepigwa risasi na hata gari la Polisi kutiwa moto.
Kwa sasa wanaelekea maeneo ya Kangemi ambapo kutakuwa na mkutano wa hadhara
View attachment 632299
View attachment 632297
View attachment 632295
View attachment 632313
Kwa kuwa mlishawahi kutoa tamko la kumuunga mkono mwanademokrasia Uhuru Kenyata sasa ni wakati muafaka wa kumuunga mkono kwa kuwacharaza mabomu wapinzani wanaoleta fyokofyoko.
Msijidai mmesahau katika hili.
Kazi yetu sisi ni kuwakumbusha tu.
Unayatibua mabavicha.Kwa kuwa mlishawahi kutoa tamko la kumuunga mkono mwanademokrasia Uhuru Kenyata sasa ni wakati muafaka wa kumuunga mkono kwa kuwacharaza mabomu wapinzani wanaoleta fyokofyoko.
Msijidai mmesahau katika hili.
Kazi yetu sisi ni kuwakumbusha tu.
Uwezo mdogo Wa ufahamu unasababisha unatoa hoja kama unajisaidia. Hakuna kufikiri bali ni kuachia tuu itoke
chadema kila wanachogusa baadae kinawaumiza wao
Nani kakuambia fikra hizo ni za Chadema? Mie ndio nimemjibu kutokana na mawazo ya kijinga aliyoleta. Huoni anatujazia nafasi kwa ujinga anao andika? Au nawe ni kama yeye?Hiyo ndo namna yenu ya kufikiri Chadema so anacheza vizuri na uwezo wenu mana Sisi wengine tulishashindwa you are so unreasonable.
Hii ni lugha ya yule bwana anayetoka mtaa wa Lumumba kwa sababu CHADEMA hawaelekezwi nini cha kufanya wenye haki ya kupongeza katika hili ni wale wanaotumia lugha kama hii.fyokofyoko
Sifa za Vibendera ni kujifanya wasahulifuKwa kuwa mlishawahi kutoa tamko la kumuunga mkono mwanademokrasia Uhuru Kenyata sasa ni wakati muafaka wa kumuunga mkono kwa kuwacharaza mabomu wapinzani wanaoleta fyokofyoko.
Msijidai mmesahau katika hili.
Kazi yetu sisi ni kuwakumbusha tu.
sasahivi huwasikii wakimtetea UhuruSifa za Vibendera ni kujifanya wasahulifu
na wanakula matapishi yao
Kwa nini useme hivyo ikiwa mahakama ilithibitisha kama Uhuru aliiba kura?Uhuru anamvumilia sana odinga,
halafu odinga akiona kick zimepungua anabuni safari ya kwenda nje ili anaporudi apokewe kwa maandamano,
zote ni mbinu tu,
odinga atamsumbua mno uhuru,na huo ucxhaguzi utarudiwa rudiwa mpaka 2040,
anachotakiwa uhuru ni kuchapa kazi tu na hata urudiwe mara 20,kuna shida gani maadamu bado ni rais