joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Uchaguzi wa Marudio Jubilee ilishinda kwa asilimia ngapi?Hio ya 99% inaonyesha T.Z ni dictatorship. Sijui mbona wanajifanya ati wana demokrasia. Kufuli amefungia rights and freedoms za Watz.
Wacha siasa tu,ninaelewa jinsi mlivyo corrupt, tribalists, na mlivyo na uwezo mdogo wa kuelewa mamboSo you think. Siasa za Kenya huzielewi bro...hapa low IQ yako labda uanzishe Uzi wa vile huko Moshi watu walidanganywa na mhubiri mmoja...vipi hujaanzisha nyuzi za Moshi Stampede?
Sina uhakika lakini ninachojua ni kuwa upinzani wetu ambao ni asilimia zaidi ya arubaini za kura, waligoma kushiriki katika uchaguzi wa pili. Sisi sio dictators kama nyinyi. Mnakandamiza uhuru wa Watanzania wa kujieleza na kupiga kura. Mnaiba kura wakati wa uchaguzi. 99% ina maana kuwa opposition walipata 1%? Opposition wenu hawakugoma kushiriki katika uchaguzi huo. Wacheni ujinga, tafuteni watu wengine wa kudanganya.Uchaguzi wa Marudio Jubilee ilishinda kwa asilimia ngapi?
Hahaha,Tony254 Kama wewe ambaye ni miongoni mwa wakenya wachache sana angalau wenye nafuu Katika kufuatilia mambo lakini umeamza kupoteza huo uwezo, ni kitu cha kusikitisha Sana.Sina uhakika lakini ninachojua ni kuwa upinzani wetu ambao ni asilimia zaidi ya arubaini za kura, waligoma kushiriki katika uchaguzi wa pili. Sisi sio dictators kama nyinyi. Mnakandamiza uhuru wa Watanzania wa kujieleza na kupiga kura. Mnaiba kura wakati wa uchaguzi. 99% ina maana kuwa opposition walipata 1%? Opposition wenu hawakugoma kushiriki katika uchaguzi huo. Wacheni ujinga, tafuteni watu wengine wa kudanganya.
Huu ndio ustaarabu ungelipenda tuige toka kwenu? Mbona unakwepa hili swali.Hahaha,Tony254 Kama wewe ambaye ni miongoni mwa wakenya wachache sana angalau wenye nafuu Katika kufuatilia mambo lakini umeamza kupoteza huo uwezo, ni kitu cha kusikitisha Sana.
NASA walisusia uchaguzi wa marudio kwa madai kwamba hawana imani na tume ya Uchaguzi na kutaka Chibukati na wenzake wajiuzulu. Mahakama iliamuru tume ya uchaguzi ifungue "servers" zake zikaguliwe jambo ambalo halikufanyika, matokeo yake upinzani ukagoma kwenda ktk uchaguzi, Jubilee kwa kuungwa mkono na vyama rafiki ikashindwa kwa zaidi ya 90%, huo sio udictator?. Tangu Kenya ipate uhuru wake 1963, imekua ikiongozwa na udikteta na watu wengi wameuliwa hadi leo
Kumbe kauli ya mbunge mmoja inawakilisha Taifa?, kauli za Duale thidi ya Tanzanians pale bungeni ndio mtazamo wa Kenya?. Jifunzeni siasa za kistaarabu acheni ubishiIkiwa huu ndio ustaarabu ungelipenda tuige heri twendelee na ushenzi wetu.
1)SGR ya umeme $3.2BNchi haina fedha, Ndege zakamatwa kila uchao, wanafunzi zaidi ya 50,000 hawana shule za kusomea, siasa za 80s n.k. Kweli mko na ushenzi.
Tunaelewa kuwa Africa yote Nchi zunazotambulika Ni South Africa, Nigeria, Egypt and Kenya. Nyinyi mnatambulika kwa kukamatiea Ndege zaidi ya Mara 3 na bila kusahau pia pande ya kusamehewa Madeni. Na kwani pesa zenu mnapeleka wapi juu uchumi wenu mdogo karibia wa Uganda?Wacha siasa tu,ninaelewa jinsi mlivyo corrupt, tribalists, na mlivyo na uwezo mdogo wa kuelewa mambo
1)SGR ya umeme $3.2B
2)Hydroelectric dam $3B
3)Ndege $800M
4)Dar - Kibaha high way $64M
5)Daraja LA Busisi $300M
6)Meli Mpya $70M
Hakuna mkopo ni cash
Hujaona jinsi malofa wenzake walivyompigia makofi? Itakuwaje kauli ya mtu mmoja. Tena hio video nyingine umeivalia miwani ya mbao? Huyo kijana wa CCM amejawa chuki namna na akifikia umri wa makamu je?Kumbe kauli ya mbunge mmoja inawakilisha Taifa?, kauli za Duale thidi ya Tanzanians pale bungeni ndio mtazamo wa Kenya?. Jifunzeni siasa za kistaarabu acheni ubishi
Cash alafu World Bank wamekuwa wakiwapa misaada tangu 2008 ya kuwalisha kina mama na kuwaelimisha watoto wenu na kuwatibu wananchi mahospitalini. Hayo yote kwasababu ya ongezeko kubwa la umasikini Tz kutoka mwaka wa 2008. Yaani hata bila majanga kama kiangazi na uvamizi wa nzige na ardhi yenye rotuba na mvua ya kutosha bado dona kantri hamna uwezo wa kuwaelimisha watoto wenu na kuwapa huduma bora ya afya? Kweli sisiemu yenu ni janga la taifa, wachawi ambao hawana idea isipokuwa ubabe wa peni mbili na kusifia miungu watu. Bure kabisa!1
1)SGR ya umeme $3.2B
2)Hydroelectric dam $3B
3)Ndege $800M
4)Dar - Kibaha high way $64M
5)Daraja LA Busisi $300M
6)Meli Mpya $70M
Hakuna mkopo ni cash
That's 2022 politics,ngilu ameiba pesa za county so she knows Kama halambi uhuru mkunduni DCI watamkujia, right now hata ukiiba mabilioni Cha msingi tu umsifu uhuru wewe hautaguzwa lakini usipo muabudu hata Kama hujaiba lazima utawekewa kesi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha gan hii umetumiaWakenya wanaokuja tz wapimwe
Sawa umeeleza vizuri mambo ya Kenya, lakini hujapinga hoja yangu kuhusu TZ. Hebu tueleze jinsi CCM ilivyopata kura 99% huku upinzani ukiwa unashiriki kwenye uchaguzi huo.Hahaha,Tony254 Kama wewe ambaye ni miongoni mwa wakenya wachache sana angalau wenye nafuu Katika kufuatilia mambo lakini umeamza kupoteza huo uwezo, ni kitu cha kusikitisha Sana.
NASA walisusia uchaguzi wa marudio kwa madai kwamba hawana imani na tume ya Uchaguzi na kutaka Chibukati na wenzake wajiuzulu. Mahakama iliamuru tume ya uchaguzi ifungue "servers" zake zikaguliwe jambo ambalo halikufanyika, matokeo yake upinzani ukagoma kwenda ktk uchaguzi, Jubilee kwa kuungwa mkono na vyama rafiki ikashindwa kwa zaidi ya 90%, huo sio udictator?. Tangu Kenya ipate uhuru wake 1963, imekua ikiongozwa na udikteta na watu wengi wameuliwa hadi leo
Yes, bado hatujajitosheleza kila kitu, lakini mahitaji ya muhimu kwa binadamu kama chakula, makazi, Security na Afya, tunajitosheleza hatuombi misaada ya chakula.Cash alafu World Bank wamekuwa wakiwapa misaada tangu 2008 ya kuwalisha kina mama na kuwaelimisha watoto wenu na kuwatibu wananchi mahospitalini. Hayo yote kwasababu ya ongezeko kubwa la umasikini Tz kutoka mwaka wa 2008. Yaani hata bila majanga kama kiangazi na uvamizi wa nzige na ardhi yenye rotuba na mvua ya kutosha bado dona kantri hamna uwezo wa kuwaelimisha watoto wenu na kuwapa huduma bora ya afya? Kweli sisiemu yenu ni janga la taifa, wachawi ambao hawana idea isipokuwa ubabe wa peni mbili na kusifia miungu watu. Bure kabisa!Five Million Tanzanians to Benefit from Improved Safety Nets
Over five million Tanzanians, more than half of them women, will benefit from improved social safety nets supported by new financing approved today by the World Bank Board of Executive Directors.www.worldbank.org
Ndio sababu nilianza kwa kukushangaa sana na kwa masikitiko makubwa kwamba hata wewe ambaye tulidhani uwezo wako wa kuelewa na kufuatilia mambo ni mzuri ukilinganisha na wakenya walio wengi, sasa umeamua kujiunga na kundi lao.Sawa umeeleza vizuri mambo ya Kenya, lakini hujapinga hoja yangu kuhusu TZ. Hebu tueleze jinsi CCM ilivyopata kura 99% huku upinzani ukiwa unashiriki kwenye uchaguzi huo.
Kwanza uwezo wangu wa kuelewa mambo huwezi kuufahamu kwani hunijui. Hapa JF watu wachache sana wana kiwango cha masomo kama changu. Sina haja ya kukufurahisha wewe au mtu yeyote, nipo hapa kujua mambo yanayofanyika hapa Afrika Mashariki. Sikujua kuwa upinzani wenu pia walisusia uchaguzi.Yes, bado hatujajitosheleza kila kitu, lakini mahitaji ya muhimu kwa binadamu kama chakula, makazi, Security na Afya, tunajitosheleza hatuombi misaada ya chakula.
Acheni kusingizia ukame,mbona chai na maua mnazalisha kwa wingi, au hivyo havihathiriwi na ukame?. Galana Kulalu Project ili
Ndio sababu nilianza kwa kukushangaa sana na kwa masikitiko makubwa kwamba hata wewe ambaye tulidhani uwezo wako wa kuelewa na kufuatilia mambo ni mzuri ukilinganisha na wakenya walio wengi, sasa umeamua kujiunga na kundi lao.
Tanzania upinzani uliamua kutoshiriki uchaguzi kizembe bila hata kwenda mahakamani kama ilivyofanya NASA huko Kenya. Angalau huko Kenya upinzani ulitumia njia za kisheria kudai haki zao, angalau NASA walipata kisingingizio cha kusema "Bila ya servers kufunguliwa kama ilivyoamuriwa na mahakama, hatutoshiriki uchaguzi", Huku Tanzania hata kwenda mahakamani walikataa wakaamua Kutoshiriki chaguzi, unategemea nini?. Tanzania kwa sasa hakuna upinzani ni wababaishaji tu.
Na hii ndio shida ya wakenya wengi humu, hampendi kufanyia kitu kautafiti kidogo kwanza kabla ya kucomment na ndio maana tunawaona mko na akili fupi na ndio ni kweli mko na akili fupi.Sikujua kuwa upinzani wenu pia walisusia uchaguzi.
Nani aliyekuambia kusoma sana kunaongeza akili?, vipi unaishutumu CCM kushinda kwa 90% kumbe hata hujui mazingira ya uchaguzi ulivyokua?, sasa huko kusoma kwako kunakusaidia nini kama unazungumza mambo usiyoyajua katika mijadala mikubwa kama hapa?. Makosa kama haya ndio yanayotufanya sisi tulioishia "Form Four" tunawadharau ninyi wasomi, hasa wakenyaKwanza uwezo wangu wa kuelewa mambo huwezi kuufahamu kwani hunijui. Hapa JF watu wachache sana wana kiwango cha masomo kama changu. Sina haja ya kukufurahisha wewe au mtu yeyote, nipo hapa kujua mambo yanayofanyika hapa Afrika Mashariki. Sikujua kuwa upinzani wenu pia walisusia uchaguzi.
Jaguar alivyopigiwa makofi hukuona?, wabunge wa Kenya na speaker wa Bunge la Kenya kushindwa kumuamuru Duale kufuta shutuma zake dhidi ya Tanzania ni ishira ya kukubaliana na mawazo yakeHujaona jinsi malofa wenzake walivyompigia makofi? Itakuwaje kauli ya mtu mmoja. Tena hio video nyingine umeivalia miwani ya mbao? Huyo kijana wa CCM amejawa chuki namna na akifikia umri wa makamu je?
Hawa wanakwaya wasijaribu kukuhadaa kwamba ule ushindi wa CCM kwa asilimia 99% ulikuwa wa haki. Tume ya uchaguzi ilishirikiana na CCM kuhujumu upinzani kwa kukataa fomu zao za usajili kwa visingizio vya kipuuzi kama errors kwenye details za waliokuwa wanataka kugombea kwenye nyathfa mbali mbali. Wengi wa wapinzani walipata ofisi zimefungwa na officials wa tume ya uchaguzi wamezamia kusikojulikana. [emoji1]Kwanza uwezo wangu wa kuelewa mambo huwezi kuufahamu kwani hunijui. Hapa JF watu wachache sana wana kiwango cha masomo kama changu. Sina haja ya kukufurahisha wewe au mtu yeyote, nipo hapa kujua mambo yanayofanyika hapa Afrika Mashariki. Sikujua kuwa upinzani wenu pia walisusia uchaguzi.