Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,019
- 579
Hivi Kenya hawana high schoo? Wanaongelea kwenda chuo kikuu baada ya Kidato cha nne, au vipi hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Kenya hawana high schoo? Wanaongelea kwenda chuo kikuu baada ya Kidato cha nne, au vipi hiyo?
Siamini kuwa system ya Kenya ni nzuri kuliko ya Tanzania. Tatizo la Tanzania ni kuwa bado miundo mbinu ya kufundishia siyo mizuri. Kuna tofauti kubwa sana kati ya system na miundo mbinu. Tatizo letu kubwa ni kusifia ya wengine na kudharau vyetu hata bila uchunguzi bora!
Duh naona waliofanya vizuri hapo ni wakikuyu? Kwa nini wakikuyu wanawazidi wajaluo kielimu?
Siamini kuwa system ya Kenya ni nzuri kuliko ya Tanzania. Tatizo la Tanzania ni kuwa bado miundo mbinu ya kufundishia siyo mizuri. Kuna tofauti kubwa sana kati ya system na miundo mbinu. Tatizo letu kubwa ni kusifia ya wengine na kudharau vyetu hata bila uchunguzi bora!
There was a remarkable drop in Mathematics, Biology, Physics, Chemistry, CRE, IRE, Arts and Design and Business studies.
can you believe that they outlwaed caning in kenyan public schools??? WTF??? when i was a student we were caned so hard that we had bumbs on our buttocks(no lie). kenyan children nowadays are spoiled.
FIMBO IRUDISHWE!!!!!!!!
Are you still emancipating on colonial ways of imparting knowledge to our kids/young bros n sisters?
C'me on,you could have done better than this.this conservatism is not going to take us anywhere!