Kenya, Mauritius, Rwanda and South Africa to form first African Civil Aviation Alliance

Deal kama hilo haliwezi kubaliwa na Tz, deal za ambazo hazieleweki Tz tunazikataa.
Uzuri ni kwamba Tanzania inakarabati viwanja 11 plus vilivyopo 8 ni 19 ndege za atcl zinaweza maximize soko la ndani kwa ajili ya breakeven. Kenya wana viwanja local si zaidi ya 6.Tanzania at a maximize kwa local market then foreign tayari wamesaini mkataba na china wa kuleta 10000 tourist from there. Tanzania ya leo rasilimali haikamatiki
 
Rwanda ni loss maker for number of years now as far as inside information is concerned. Atcl will preveal cause of local market maximization
 
You seem to be more aware of other people's problems than you do with your own. Hivi ATCL imekuwa a player in aviation industry since 1977 but the only thing to show for it are 2 planes rotting away in hangers. You cannot even be compared to landlocked miniature Rwanda and Uganda. Ligi ya KQ na SAA Wacha big players nyie mkashindane na kina Fast Jet.
 
Deal kama hilo haliwezi kubaliwa na Tz, deal za ambazo hazieleweki Tz tunazikataa.
Deal ya ndege moja ambayo hata nyumbani inakabiliwa na ushindani mkali jutoka kwa kampuni zingine za kibinafsi??? Sio eti hamuwezi kubali ila hamna uwezo wa kui gia kwenye negotiation Table kuwasilisha matakwa yenu. Mkubali udhaifu wenu kwanza ili muingie kwenye The Round Table of MEN.
 
Mkuu, nami nimeona hilo. ATC walishafanya mchezo huo na SAA, jamaa waliishia kuuza nyumba za marubani na ofisi zote za ATC nchini na kutokomea wakiiacha ATC ikiwa zofle hali. Hali kadhalika kwenye NBC, tulishuhudia juhudi za Wazalendo wakiishia kuanzisha NMB ingawa WAJANJA (I CAN...) walijifutia madeni makubwa waliyokuwa wanadaiwa na NBC. Wahenga walisema "MILUZI MINGI HUPOTEZA MBWA NYIKANI".
 
Umenichekesha sana ulivyosema i CAN [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa hiyo KQ na washirika wake wapo level ya masters wakisomea economics of making losses..
 
kq ndege 40, southafrican 64, rwandair 12 , na air mauritius 14.... total fleet size ni ndege 130! kwa ushirikiano wa karibu ndani ya africa mambo sio mabaya
Hahaha kuna companies ndogo ndogo naona zikipata passenger zero outside their home country
 
kq ndege 40, southafrican 64, rwandair 12 , na air mauritius 14.... total fleet size ni ndege 130! kwa ushirikiano wa karibu ndani ya africa mambo sio mabaya

Ahaaa haaa haaa
it's true that the fleet size is impressive. but the issue is, the alliance is going to be formed with desperate air line companies (except Mauritius). may be a big desperate alliance is in the making.
 
Ahaaa haaa haaa
it's true that the fleet size is impressive. but the issue is, the alliance is going to be formed with desperate air line companies (except Mauritius). may be a big desperate alliance is in the making.
Where is ATCL with it's rotting 1plane?
 
please if you can't decipher the discussion at hand, it's better you keep quite.

sihitaji mipasho.
Nakuuliza swali unashikwa na mori kwa nini? ATCL na ndege yake moja si inapumulia mashine??? πŸ˜€
 
Sijaelewa unachotaka kusema, labda ungeendelea kutiririka, sijui labda unataka kusema hawafai kuunganisha jitihada zao kisa wanapitia hali ngumu, au vipi...
Nilikua nasema huo si muungano bora, hao SAA ndio balaa kabisa wala hata msijaribu kushirikiana nao. Ktk hao wote walau mngeshirikiana na Air Mauritius kwa sababu ya market potential na ku-improve business efficiency kutoka kwao...
 
Hahahahahaha. Can ATCL be called an airline when it only has 1 plane 😱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…