KENYA: Mbunge awasili na helicopter kuzindua kidaraja cha mbao!

KENYA: Mbunge awasili na helicopter kuzindua kidaraja cha mbao!

Hawana tofauti na sisi Tanzania. Mwanasiasa anachagia madawati matano shuleni anaitwa vyombo vyote vya habari.
...halafu hapo kaenda na msafara wa magari kama ishirini hivi ya bei isiyopungua milioni 100+ kwa kila gari...
 
utasikia hiyo daraja imekosti dollar million moja
 
Kijijini viongozi hupata kura wakionyesha show za hivyo. Inafaa civic education itolewe kabisa.
Nlikua natamani kusikia from you guys. . .
Maana mi kama mtz hata cjui ni comment nini. . .
Ila upo sahihi hiyo ni show
 
Ideally yes. Lakini kumbuka Waiguru buying pens each more expensive than that bridge [emoji23][emoji23]
The level of corruption in this country is just incredible. And that she has the temerity to vie for a public office despite the scandal.
Anyway, regarding that wooden bridge, there was no corruption involved in that project, or rather no evidence of that. And really I do not think there was any wrong doing by that gentleman MP arriving at the bridge's commissioning in a chopper. Lakini, was it really worth all that pomp? The cost of fuel used onn that chopper alone far exceeds the entire cost of that bridge.

But it is election year yet again, such are the antics used by our politicians to draw the crowds, and mesmerize them. Pointless flamboyance is part of the game in our politics.
 
Wakenya wanasema nimecheka yangu yote! This is hilarious! Duh!
 
Back
Top Bottom