Kenya: Mchina auawa na Kiboko wakati akimpiga picha

neema shamuhenya

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
312
Reaction score
216

MTALII mmoja raia wa China, Chang Ming Chuang (66) amefariki baada ya kuvamiwa na kiboko juzi jioni wakati alipokuwa akimpiga picha.

Mamlaka ya Hifadhi ya Wanyama Pori ya Kenya, imeandika kwenye mtandao wake wa kijamii wa Tweeter kuwa Mchina huyo alivamiwa na kiboko alipokuwa anampiga picha katika Ziwa Naivasha, eneo la Sopa Resort huko Nakuru. Wakati mtalii huyo akikumbwa na majanga hayo, mwenzie Wu Peng Te (62) aliyekuwa naye kwenye tukio hilo, sasa anaendelea kupatiwa matibabu kwenye hospitali zilizopo mjini hapo.
 
Ndio wakome maana MTU anakazana tu na PC anasahau usalama wake[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
Selfie zitawamaliza watu
Kuna wakati nlikuwa na Tajiri yangu mchina huko mto rufiji akataka apige Selfie sehemu ambayo mamba wapo nkamwambia asitake kukuletea balaa hapa..
Hawa wanyama hawatabiriki!

Ova
 
Wachina na Kong fu zote izo tena wapo wawili si huwa wanapiga na ma dragon hao[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Hao walizuga wamezimia walivo ona msala umezidi ndo mmoja akachomoka
 
kiboko aliamua kulipiza hasira zake kwa mchina baada ya kenya kuletewa gari moshi chakavu na wachina.

nimempenda sana huyo kiboko. [emoji23][emoji23][emoji23]
Any man who reads too much and uses his own brain too little falls into lazy habits of thinking.
 
kiboko aliamua kulipiza hasira zake kwa mchina baada ya kenya kuletewa gari moshi chakavu na wachina.

nimempenda sana huyo kiboko. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mbona mbona mbona....

Umetupa mbaoo vinoma hapa aisee!
 
kiboko aliamua kulipiza hasira zake kwa mchina baada ya kenya kuletewa gari moshi chakavu na wachina.

nimempenda sana huyo kiboko. [emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€dadeki!
 
kiboko aliamua kulipiza hasira zake kwa mchina baada ya kenya kuletewa gari moshi chakavu na wachina.

nimempenda sana huyo kiboko. [emoji23][emoji23][emoji23]
lijizee lijinga ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…