Kenya mna mengi ya kujifunza kuhusu Tanzania

Kenya mna mengi ya kujifunza kuhusu Tanzania

Hao aliowasifia labda Nyerere na Mwinyi tu. Ben, Kikwete na Huyu wa sasa they dont deserve that
 
Na nyinyi WaTanzania mna mengi zaidi ya kujifunza kutoka kwa Kenya
 
Na nyinyi WaTanzania mna mengi zaidi ya kujifunza kutoka kwa Kenya
Labda tujifunze ni jinsi gani watu watu wanaweza kuishi katika slums mbaya zaidi duniani mf kibera,kawangware,korogocho na Bangaladesh slums
 
Na nyinyi WaTanzania mna mengi zaidi ya kujifunza kutoka kwa Kenya
Mimi ni mtanzania, nimefanya biashara Kenya na Tanzania. nakuunga mkono wewe kwa asilimia kubwa kuliko yule wa kwanza.
Specifically kwenye uchumi(kilimo, ufugaji, viwanda na exportation ya bidhaa za kenya)
 
Labda tujifunze ni jinsi gani watu watu wanaweza kuishi katika slums mbaya zaidi duniani mf kibera,kawangware,korogocho na Bangaladesh slums
Kuna mengi ya kujifunza, wewe utaamua ni nini ya manufaa kwako.
Hatulazimishi
 
Mimi ni mtanzania, nimefanya biashara Kenya na Tanzania. nakuunga mkono wewe kwa asilimia kubwa kuliko yule wa kwanza.
Specifically kwenye uchumi(kilimo, ufugaji, viwanda na exportation ya bidhaa za kenya)
Asante, kuna mambo ambayo yananipendeza na Tanzania , kama umoja wenu, ukabila ni nadra sana.
Mkichagua viongozi hamwangalii ni wa kabila gani..
 
Haya hapa chini ndio ya kujifunza??? Tanzania ya leo mnaishi maisha tuliyoishi miaka ishirini iliyopita, yaani tukiiga chochote cha kwenu tutakua tunarudi nyuma mbali sana...

IMG_20190813_110037.jpeg
 
Saana...Ningependa kujua sana inakuaje binadamu aweza kuua namna gani binadamu anayeishi na albinism
 
Kuna mengi ya kujifunza, wewe utaamua ni nini ya manufaa kwako.
Hatulazimishi
Mbona mm mtz nataka kujifunza idadi ya slum zilizopo Kenya mnanipiga chenga amtaki kunijulisha please any one ...tell me the number of slum in Kenya I need to know
 
Inashangaza pia namna watu wanavyoweza kuuwana kisa ukabila alafu hao albino kufanyiwa vitendo viovu ni past tense wakati hapo kwenu ukabila ni current news [emoji23][emoji23][emoji23].
Saana...Ningependa kujua sana inakuaje binadamu aweza kuua namna gani binadamu anayeishi na albinism
 
Back
Top Bottom