Kenya msipoomba msaada wa kijeshi TZ kuna siku mtaamka nchi nzima imetekwa

Kenya msipoomba msaada wa kijeshi TZ kuna siku mtaamka nchi nzima imetekwa

Status
Not open for further replies.

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kila siku mnapigwa kama hamna jeshi vile,Mara Mandela mara westgate yaana mabalaa kila siku.
Ombeni msaada huku undugu ni kusaidiana sio kufanana.
Screenshot_2018-11-21-10-33-44.png
 
Kenya haifikia hatua ya kutaka msaada wa kijeshi. Adui wa Kenya anamjua vizuri Kenya kuliko Kenya amjuavyo ndiyo maana Kenya anapata hizi suprise.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom