Habari nilizozipata toka Kenya ni kuwa mungiki wamepewa silaha na wanauwa wafuasi wa upinzani huku polisi wakiwafungia macho
hizo ni baadhi za picha za maiti mitaa ya kariobangi leo hii ambapo inasemekana wameuwawa na mungiki .Naona kuna watu watarudishwa tena kwenye mahakama ya uholanzi