Kenya mungiki imefufuka na inauwa wafuasi wa upinzani

murume

Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
90
Reaction score
80
Habari nilizozipata toka Kenya ni kuwa mungiki wamepewa silaha na wanauwa wafuasi wa upinzani huku polisi wakiwafungia macho hizo ni baadhi za picha za maiti mitaa ya kariobangi leo hii ambapo inasemekana wameuwawa na mungiki .Naona kuna watu watarudishwa tena kwenye mahakama ya uholanzi
 
 
Duh hii hali ya hatari sana. Rais Kenyatta arekebishe mambo
 
Dah juzijuzi tu watu walipendekeza tuige demokrasia ya Kenya, tuungane tusithubutu kuiga mambo ya jirani zetu tubakie kama tulivyo.
 
ndo laaana ya ubaguzi kenya ukabila umeota mizizi kwa nini nchi itawaliwe na kabila moja tu la kenyatta?
 
ndo laaana ya ubaguzi kenya ukabila umeota mizizi kwa nini nchi itawaliwe na kabila moja tu la kenyatta?

Acha kuandika usichokijua wewe. Moi alitawala Kenya miaka mangapi? Na yeye ni ukoo wa Kenyatta?
 
chadema watoe tamko kujitenga na hii Serikali dhalimu ya Kenya.
 
Dah juzijuzi tu watu walipendekeza tuige demokrasia ya Kenya, tuungane tusithubutu kuiga mambo ya jirani zetu tubakie kama tulivyo.
Uzii huuu wale manyumbu wanaosema kenya kuna democrasia hawawezi changia lolote
 
chadema watoe tamko kujitenga na hii Serikali dhalimu ya Kenya.
Kwani walijiunga lini na kenya? Na siku hizi cdm ni nchi? Nijuavyo nchi na nchi ndio hujiunga na kutengeneza muungano fulani hivi kama huu wa zanzibar na hapa au wa jumuiya ya afrika mashariki lakini huu wa cdm na kenya unaitwaje? Usipende kurush to conclusion.
 
Duh! Mapanga hayo maamae. RIP.
Bora Bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…