SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,016
- 13,780
Wote njia ni mojaGk akukosea alipoimba ntakufaje wote njia moja.
Wengine watakufa kwa panga, wengine kwa shoka na wengine watakufa......
Huwezijua utakufa kwa Style gani japo njia ni moja.
Muuzaji alikosa uvumilivu kwa mteja wake wa kila siku!
Kweli dunia twapita tu.
Mungu amuweke mahala anapostahili