Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati Misa ikiendelea Bro alikuwa akipiga kelele na kumbughuzi mdada aliyekuwa amisimama jirani yake.Umeniacha njia panda, alifanya nini uyo bro?
Mma angeita uma[emoji1]
tuko uncivilized, it is not a matter of sensitivity!Yaan weusi tupo sensitive sana
Hawa expose uwezo wao bila sababu maana kiuhalisia ni maspyKuna wale mapadri wanaitwa majesuit nasikia ni wacheza ngumi na wana viwango vya juu vya mapambano na mapigano, huyo mwehu angekutana nao angerudi kwenye akili zake.
Kabisa Rc sisi tupo cool sana.Dah ila wakatoliki wapole sana.