Kenya na Ethiopia ndio nchi zilizotumia pesa nyingi kujihami mwaka 2019

Kenya na Ethiopia ndio nchi zilizotumia pesa nyingi kujihami mwaka 2019

Kwani hujasoma article? Ndege zimenunuliwa kutoka Marekani na Italy. Ila nyie mumenunua zero yaani sufuri. Aibu kubwa. Nyie mngekuwa ni kanchi kando kabisa na Africa huko karibu na Antactica pekee yenu huko.
Sasa haibu ya nini au ndio Kiswahili sio lugha yako eeeh ? Kwahiyo kutokununua vifaa vya vita **** haibu kubwa ipi ? Jaribu kuangalia muda mwengine wa matumizi ya maneno ktk sehem husika .mfano sasa hv silaha za ulinzi wa anga zinazotamba ni S400 kwahiyo uturuki kununua S 400 misri aone haibu kutokununua ? Kila nchi ina kipaombele chake kutokana na mahitaji yake na pia TZ mambo ya ulinzi ni siri sana hatunaga maonesho kama huko kwenu hata hiyo baajeti ya kununuliwa silaha sijui inatoka au kupangwa muda gani
 
Kwa kujimwambafai hujambo kaka? Ila dunia nzima inafahamu fika kuwa Kenya ni baba yao hapa Afrika Mashariki na kati.
Labda Kwa kutiwa vidole na alshababi , hivi wale walevi wangeingia labda kariakoo shimoni unazani wangechukua hata masaa 3
 
Hahahha
Huku Kenya na Ethiopia zikijihami, marafiki wenzetu wanaendelea kulala usingizi wa pono. Yaani hawakutumia hata $1 million kwa kununua silaha halafu wanataka kutuniana vifua na sisi. Hatuko ligi moja. Nyie tunawapa siku tatu tu na mumekaa chini mkiomba msamaha.

=======

Ethiopia, Kenya raise military spend as East Africa arms budget hits $104 million

IN SUMMARY
  • African countries have over the years been criticised for perceived over-spending on weapons at the expense of their development budgets.
  • Kenya spent $32 million, most of which went to upgrading its airpower. Uganda spent $1 million, down from the $9 million it spent in 2018 while Tanzania and Rwanda did not spend on weapons.
  • Ethiopia received six G-120TP trainer aircrafts from Germany last year. It also received 100 57E6 SAM missile systems from Russia for its pantsyr-S1 air defense systems. Addis also received four 96K9 Pantsyr-S1 Mobile air defense system last year, from an order it made in 2018.
  • Russia accounts for 49 per cent of arms exports to Africa, followed by the US at 14 per cent and China at 13 per cent.
Eastern African countries spent $104 million on arms last year as Ethiopia and Kenya raced to modernise their defense systems, even as Rwanda, Tanzania and Uganda reduced their military spending in the same period.

The Stockholm International Peace Research Institute (Sipri) 2019 Arms transfer database report shows that Ethiopia topped military spending in the region, paying $71 million to arms suppliers last year, the highest in the region. The bulk of the money was set aside for modernising its air defense systems.

Kenya spent $32 million, most of which went to upgrading its airpower. Uganda spent $1 million, down from the $9 million it spent in 2018 while Tanzania and Rwanda did not spend on weapons. The Sipri report captures the actual delivery of arms in 2019.

African countries have over the years been criticised for perceived over-spending on weapons at the expense of their development budgets.

Ethiopia received six G-120TP trainer aircrafts from Germany last year. It also received 100 57E6 SAM missile systems from Russia for its pantsyr-S1 air defense systems. Addis also received four 96K9 Pantsyr-S1 Mobile air defense system last year, from an order it made in 2018.

Nairobi received the last batch of the three C-27J Spartan Transport aircraft from Italy ordered in 2017. It also received two of the AW139 Helicopter ordered in 2018. This delivery, Sipri says, included one helicopter “for VIP transport” from Poland.

The Kenyan military received one of two M28 Skytruck planes from the United States, which was part of a military aid deal, with the planned delivery of the last one set for later this year.

The country also received six of the Rolls-Royce AE-2100 engines for the C-27J Spartan Transport aircrafts it had ordered from Italian manufacturer Leonardo at a cost of Ksh20 billion ($200 million). They are expected to replace the ageing fleet of De Havilland Canada DHC-5 Buffalos.

Washington also delivered six armed MD 530F Cayuse Warrior helicopters to Nairobi, which were ordered in 2018. The deal also included initial logistics support (ILS) for the aircraft, aircraft systems and ground support equipment.

Kenya recorded a rise in its ranking on the amount spent in military arms to position 62 in 2019, from 95 the previous year, showing its increased appetite for arms imports.

The country has traditionally preferred to purchase its arms and weapons from Serbia, Russia, China and Israel; with some of these purchases now coming in from Italy and the United States.

Tanzania received three (H125 version) of the ten Airbus AS-350 helicopters for its military last year, from an order of ten it made in 2017, which included eight AS-350/AS-550 Fennec light helicopters and two other AS-532 Cougar/AS-332 transport helicopters produced from a Romanian line.

Uganda received 31 of the 45 Mamba APC. The South African Manufactured Mamba vehicles are meant for internal security purposes, and are to be assembled in the country, having been imported as knocked-down units.

The Sipri arms transfer data shows that Russia accounted for 49 per cent of arms exports to Africa, followed by the US at 14 per cent and China at 13 per cent.

The data also showed that Russia accounted for 36 per cent of arms imports by African States, China 19 per cent and France 7.6 per cent. The five largest arms importers in sub-Saharan Africa were Angola, Nigeria, Sudan, Senegal and Zambia.

Source: The East African
 
Atakwambia ipo ila ndo nimeisahau tu[emoji205]
Vipi?
IMG_20200814_203910.jpg
 
Bro I understand how various weapon systems work am not like you hata hujui difference Kati ya Operational na firing range.😂😂

The Rocket launchers you are showing can only be used against sitting ducks.I.e can only be used to attack specific places at a specific time. They would be very ineffective when facing a mobile opponent. Which is the nature of morden warfare.
So kambi zenu za kesho huwa zinatembea? Hiyo mgoma button ikibonyezwa kwenye Target yenu hakuna ata sisimizi atabaki...itapiga kila kilichopo hapo within targeted area
 
when is the last time a TZ air force pilot fired against any target even for exercise purposes???

then those chipsi karai men in TPDF fight against this...

Hizo fighter Ni f2au F3
 
Huku Kenya na Ethiopia zikijihami, marafiki wenzetu wanaendelea kulala usingizi wa pono. Yaani hawakutumia hata $1 million kwa kununua silaha halafu wanataka kutuniana vifua na sisi. Hatuko ligi moja. Nyie tunawapa siku tatu tu na mumekaa chini mkiomba msamaha.
Unanunua silaha upigane na Alshabab?unajihami kwa lipi haswa?
 
Talking of that Nimekuambia MLRS will only be effective when your opponent is a sitting duck not against a constantly moving Target.
Kenya have been operating about BM 12s that are now retired.
We now use field artillery which can easily be airdropped using helicopters making them more manuaverable.
Plus we have 40 Nora b52 self-propelled artillery .
Stupid hizi ndo mnajivunia..
Screenshot_2020-08-15-06-07-50-634_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2020-08-15-06-07-50-634_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2020-08-15-06-05-45-945_com.android.chrome.jpg
 
The PHL-03 is very different , A-100 MRL is the shit they export to poor countries...
and by the way only TZ is using the A-100 MRL from China, The Pakistanis have bought right to modify and manufacture in their own Nation...

That shit was only sold to TZ.. the way it's cheap, if it was a high quality system, most developing nations would have it.
It failed the Chinese tests for accuracy and reliability . Its carries too much fuel and leaves little room for the war-head, this design flaw affected most early Chinese Missiles.
Pakistan huwa Ni utaratibu wao huo kumodify...ata ndege Vita huwa wanafanya hivyo..so si Jambo jipya
 
I told you wewe hujui kitu. Unaongea maneno meeengi. Mimi nipo na A-100 what do you have!?

Wewe utaweza respond back kwa kutumia nini!?

If you use ur fighter jet, I force you down by
SA.
Hapa tunaongea kati ya kenya na Tanzania.
Not imagination na maneno mengi

Let talk head to head. Wacha maneno mengi.

You have only 12 BM-21 we have more than 100
Your artillery fire one per 10 seconds. And you have only 6 Nora-B 52.

hebu niambie you are head to head with Tanzania what you gonna do!?
Umewafinya jamaa mbaya..ntafuatilia mtanange..mkifika kwenye fighter jets itakua bakaa
 
Kenya and TZ have never gone to war... so we can only analyse the current capabilities and strengths.
Practical and theoretical...

And based on that, Kenya would win,
From Budget, Equipment (attack, defensive and logistical capability), training, most recent battle experience and ability to coordinate different military units. And that is why in general most military ratings put KDF ahead of TPDF..

On each of those items, Kenya is ahead.

Please state the facts, not CCM imaginations..

Hope we can have an intellectual discussion, not rambling
Kama mnaweza co ordinate different unit vipi KDF waliwashoot vichwa GSU kwenye Ile Waste gate mall siku shabab walipowavamia...
 
Bana weee!!!! Si uache tu sasa ni ujinga gani huu??.. Utaenda vita vya nani na mikebe aina hii????
maybe Burundi, ambao hata watuwapa kichapo. amphibious attacks ziko kwenye level ya juu nchi kama Kenya. They require stealth, accurate and fast machine. Not things that move at 0.02 nots .
KENYA NAVY
View attachment 1412791
View attachment 1412795View attachment 1412796View attachment 1412797View attachment 1412798


KENYA POLICE:KENYA COAST GUARD

View attachment 1412799
View attachment 1412800
Second hands kwenye ubora wenu..mnanunua scraper mnazipiga fancy colours..umeona zinavyotoa Moshi..
 
Kama mnaweza co ordinate different unit vipi KDF waliwashoot vichwa GSU kwenye Ile Waste gate mall siku shabab walipowavamia...

unakumbuka vita vyenu na Iddi Amin? TPDF ground forces walipiga na kuangusha ndege za TPDF air force ..
 
Back
Top Bottom