Kenya na Ethiopia ndio nchi zilizotumia pesa nyingi kujihami mwaka 2019

Kwani hujasoma article? Ndege zimenunuliwa kutoka Marekani na Italy. Ila nyie mumenunua zero yaani sufuri. Aibu kubwa. Nyie mngekuwa ni kanchi kando kabisa na Africa huko karibu na Antactica pekee yenu huko.
Sasa haibu ya nini au ndio Kiswahili sio lugha yako eeeh ? Kwahiyo kutokununua vifaa vya vita **** haibu kubwa ipi ? Jaribu kuangalia muda mwengine wa matumizi ya maneno ktk sehem husika .mfano sasa hv silaha za ulinzi wa anga zinazotamba ni S400 kwahiyo uturuki kununua S 400 misri aone haibu kutokununua ? Kila nchi ina kipaombele chake kutokana na mahitaji yake na pia TZ mambo ya ulinzi ni siri sana hatunaga maonesho kama huko kwenu hata hiyo baajeti ya kununuliwa silaha sijui inatoka au kupangwa muda gani
 
Kwa kujimwambafai hujambo kaka? Ila dunia nzima inafahamu fika kuwa Kenya ni baba yao hapa Afrika Mashariki na kati.
Labda Kwa kutiwa vidole na alshababi , hivi wale walevi wangeingia labda kariakoo shimoni unazani wangechukua hata masaa 3
 
Hahahha
 
So kambi zenu za kesho huwa zinatembea? Hiyo mgoma button ikibonyezwa kwenye Target yenu hakuna ata sisimizi atabaki...itapiga kila kilichopo hapo within targeted area
 
when is the last time a TZ air force pilot fired against any target even for exercise purposes???

then those chipsi karai men in TPDF fight against this...
Hizo fighter Ni f2au F3
 
Unanunua silaha upigane na Alshabab?unajihami kwa lipi haswa?
 
Stupid hizi ndo mnajivunia..
 
Pakistan huwa Ni utaratibu wao huo kumodify...ata ndege Vita huwa wanafanya hivyo..so si Jambo jipya
 
Umewafinya jamaa mbaya..ntafuatilia mtanange..mkifika kwenye fighter jets itakua bakaa
 
Kama mnaweza co ordinate different unit vipi KDF waliwashoot vichwa GSU kwenye Ile Waste gate mall siku shabab walipowavamia...
 
Second hands kwenye ubora wenu..mnanunua scraper mnazipiga fancy colours..umeona zinavyotoa Moshi..
 
Kama mnaweza co ordinate different unit vipi KDF waliwashoot vichwa GSU kwenye Ile Waste gate mall siku shabab walipowavamia...

unakumbuka vita vyenu na Iddi Amin? TPDF ground forces walipiga na kuangusha ndege za TPDF air force ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…