Kwa taifa ambalo ni imara,Usalama wa Taifa ni taasisi inayotakiwa kufanya kazi kwa weledi. Lakini ukifatilia weledi wa NIS kwa muda mlefu wamekuwa wakifanya intelejensia ya kijasusi Africa Mashariki kwa muda mlefu.
Intelejensia ya kijasusi Kenya wamekuwa wakifundishwa na Israel lakini mkazo ukiwa umetiliwa kumaliza uchumi wa Tanzania. Toka Nyerere alipokata mausiano na Israel waliweza kuitumia Kenya kupolomosha uchumi wa Tanzania.
Waliweza kufanikisha mkakati wao kwakutumia IMF na World Bank. Kipindi chanyuma viwanda vingi vya Tanzania vilikuma chini ya serikali. Monetary insititutes ziliweza kuiamlisha serikali ya Tanzania iachane nampango wakumiliki viwanda
Tanzania iliambiwa kama wakibinafusisha viwanda wangeweza kuifanya serikali ipate mapato mengizaidi nakupunguza spending ya serikali. Jambo hilo lilikubaliwa na Mkapa lakini matokeo yake nikwamba tulikuwa tumepotea njia.
Moja kati ya mambo ambayo Mkapa alikili kipindi cha utawala wake ulifanya makosa nikubinafusisha viwanda.
Mkapa hakujua kuwa huu ulikuwa ni mpango wa Kenya na Israeli kupolomosha uchumi wa Tanzania.
Viwanda vingi vikubwa (strategic industries ) viliweza kuchukuliwa na Kenya. Hivi vilikuwa nivile viwanda vinavyo zalisha maligafi zinazotokana na kilimo.
Kwamfano kiwanda cha maziwa cha Arusha kilichokuwa kikubwa East Africa kilichukuliwa na Bidco ya Kenya. Walichofanya walitoa mashine za kiwanda wakazipeleka Kenya nakuanza kutuletea packaged milk kutoka Kenya. Pia kiwanda cha Mara Musoma kiliuliwa na intelegensia ya wakenya.
Kwa sasa Magufuli ameanza ushilikiano na Israel. Wamekubali watashilikiana na kwenye nyanda za usalama. Kwa sasa Israel imegundua huwezi kuitenga Tanzania ndani ya Africa kiuchumi. Pamoja na fitina zote Tanzania imekuwa ikiendelea kiuchumi.
Magufuli ameweza kuuwa soko la Tanzanite nchini Kenya nakukataa damping ya bidhaa za Kenya nchini Tanzania. Haiwezikani watuletee maziwa sisi alafu ya kwetu wakatae yasiende kwao.
Walikuwa wamesha ujumu kiwanda cha Tanga Fresh pia wakishilikiana na watendaji serikalini.
Je Israeli itaifundisha Tanzania intelejensia ya kiuchumi ?? Usaliti nikitu kibaya sana.
Intelejensia ya kijasusi Kenya wamekuwa wakifundishwa na Israel lakini mkazo ukiwa umetiliwa kumaliza uchumi wa Tanzania. Toka Nyerere alipokata mausiano na Israel waliweza kuitumia Kenya kupolomosha uchumi wa Tanzania.
Waliweza kufanikisha mkakati wao kwakutumia IMF na World Bank. Kipindi chanyuma viwanda vingi vya Tanzania vilikuma chini ya serikali. Monetary insititutes ziliweza kuiamlisha serikali ya Tanzania iachane nampango wakumiliki viwanda
Tanzania iliambiwa kama wakibinafusisha viwanda wangeweza kuifanya serikali ipate mapato mengizaidi nakupunguza spending ya serikali. Jambo hilo lilikubaliwa na Mkapa lakini matokeo yake nikwamba tulikuwa tumepotea njia.
Moja kati ya mambo ambayo Mkapa alikili kipindi cha utawala wake ulifanya makosa nikubinafusisha viwanda.
Mkapa hakujua kuwa huu ulikuwa ni mpango wa Kenya na Israeli kupolomosha uchumi wa Tanzania.
Viwanda vingi vikubwa (strategic industries ) viliweza kuchukuliwa na Kenya. Hivi vilikuwa nivile viwanda vinavyo zalisha maligafi zinazotokana na kilimo.
Kwamfano kiwanda cha maziwa cha Arusha kilichokuwa kikubwa East Africa kilichukuliwa na Bidco ya Kenya. Walichofanya walitoa mashine za kiwanda wakazipeleka Kenya nakuanza kutuletea packaged milk kutoka Kenya. Pia kiwanda cha Mara Musoma kiliuliwa na intelegensia ya wakenya.
Kwa sasa Magufuli ameanza ushilikiano na Israel. Wamekubali watashilikiana na kwenye nyanda za usalama. Kwa sasa Israel imegundua huwezi kuitenga Tanzania ndani ya Africa kiuchumi. Pamoja na fitina zote Tanzania imekuwa ikiendelea kiuchumi.
Magufuli ameweza kuuwa soko la Tanzanite nchini Kenya nakukataa damping ya bidhaa za Kenya nchini Tanzania. Haiwezikani watuletee maziwa sisi alafu ya kwetu wakatae yasiende kwao.
Walikuwa wamesha ujumu kiwanda cha Tanga Fresh pia wakishilikiana na watendaji serikalini.
Je Israeli itaifundisha Tanzania intelejensia ya kiuchumi ?? Usaliti nikitu kibaya sana.