Ujinga mzigo. Hata huelewi nato ni nini. Ndio maana unaandika takataka hizi.Ziara ya Rais wa Kenya William Ruto nchini Marekani imeibua jambo. Ruto kapokelewa na mwenyeji Rais Joe Biden na kuzungumzia Mengi.
Biden kamuomba Ruto waanzishe ushirikiano kabambe ikiwa ni pamoja na kujiunga na NATO. Pia kuna tetesi kuwa Rais wa Rwanda atafuata mkumbo huo mwezi July mwaka huu.
Mpango huu ukifanikiwa NATO itakuwa na wanachama wanne nje ya bara la ulaya ambao ni USA, Canada, Kenya na Rwanda.
Source: BBC Swahili