barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Siku 30 za kenya hazijafika mbona?Kuanzia sasa madereva wa Tanzania na Kenya kila mmoja atapimwa nchini kwake na kupewa cheti kisha atavuka mpaka bila bughudha yoyote.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Kamwelwe.
Source: ITV habari!