Kenya na tanzania

Kenya na tanzania

Malinganisho mazuri ya Kenya na Tanzania ni sawa na Kulinganisha Ujamaa na ubepari.
Ni kwenye Inchi ya Kibepari miji yake mikuu inakuwa imejengwa kisasa sana lakini vijijini kunakuwa hoi sana. Hii ni kwa sababu, ubepari haujali kabisa maendeleo ya mtu moja moja kama siasa za kijamaa zinavyofanya.
Sasa hivi Inchi yetu ina mixed economy yaani kuna ubepari na ujamaa ndani.
Hii inaifanya Tanzania kupata maendeleo ya haraka kwa maskini na Tajiri na Inchi kuwa na kipato cha kutosha kwa kuhakikisha kila mtu anayestahili kulipa kodi analipa.
 
Tunazungumzia misingi ya siasa za nchi, sio utawala wa mtu au kipindi cha utawala mmoja. Kenya msingi wao wa siasa ni ukabila, haijalishi nani atakayekuwa rais.

Kuhusu Tanzania, acha kulazimisha mambo kwasababu umekosa points. Ukiacha tatizo la kuminya Uhuru wa kujieleza, Magufuli hana upendeleo wa aina yoyote, tena bora hata Kikwete alikua na ujamaa na kuwalinda marafiki zake, Magufuli sio mkabila, dini wa ukanda, yeye anachojali ni Kazi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Magufuli hana upendeleo wowote na ubaguzi?

Misingi ya nchi ipi?

TZ tuna ukabila sema sisi ni wanafiki hatusemi kwa sauti!

Ni wabaguzi kama walivyo Wakenya or anywhere else

Tunaishi kwa bubble full of lies...Sisi Watanzania hatupo straight forward na ni wanafiki

Kokoto is the most national unity divisive figure ever happen to this land

Utakataa maana wewe ni mnafiki kama tulivyo Watanzania wengine wote!

Kama Watanzania we are living a big lie...everybody knows it sema tupo kwenye denial kama ulivyo wewe hapo!
 
Katika siasa wakenya kaeni kimya kabisa, Kenya hakuna siasa yoyote ni ukabila mtupu, (No political ideology, what exists in Kenya is tribe pilitics), Kikuyu, Kalenjin na Jaluo, kama haupo ktk kabila hizo, sahau kuwa rais wa Kenya.
Unakariri tu, huna jipya. Kwani siasa huwa ni kwa nafasi ya urais pekee yake? Tz mnaingiza uchama hadi kwenye miradi ya serikali. Mnaona sifa kusema kwamba wapinzani sio wazalendo au sio watz. Ona mbunge wenu Zitto Kabwe alivyolialia kwamba Raila Odinga, akiwa upinzani, alitumiwa na rais Uhuru Kenyatta kumshawishi 'swahiba' yake Jiwe kuachana na mradi wa bandari ya Bagamoyo ili bandari ya Lamu ifaidi. Hivi kuna uzalendo zaidi ya hiyo? Nyie endeleeni tu na huo ushamba wenu wa kujiona kwamba nyinyi ndio wazalendo wa kweli. Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 
Unakariri tu, huna jipya. Kwani siasa huwa ni kwa nafasi ya urais pekee yake? Tz mnaingiza uchama hadi kwenye miradi ya serikali. Mnaona sifa kusema kwamba wapinzani sio wazalendo au sio watz. Ona mbunge wenu Zitto Kabwe alivyolialia kwamba Raila Odinga, akiwa upinzani, alitumiwa na rais Uhuru Kenyatta kumshawishi 'swahiba' yake Jiwe kuachana na mradi wa bandari ya Bagamoyo ili bandari ya Lamu ifaidi. Hivi kuna uzalendo zaidi ya hiyo? Nyie endeleeni tu na huo ushamba wenu wa kujiona kwamba nyinyi ndio wazalendo wa kweli. Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]Hahahaha, ama kweli akili ni nywele kila mtu ana akili zake, hivi wewe kwa akili yako unaweza kuamini ujinga kama huo?, kwamba Magufuli aachane na Bagamoyo port ili kuinufaisha Lamu Port ili kumridhisha Raila?.

Ungejua jinsi Magufuli anavyoichukia Kenya, usingediriki hata kutaja huo ujinga wa Zitto, Magufuli anafanya kila liwezekanalo kuhakikisha Tanzania inakamata njia zote kuu za uchumi ukanda huu. Eti aachane na project ya $10B kwasababu ya kushawishiwa na Raila kweli?. Kweli uwezo wa akili zenu ni mdogo Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, watz huwa wana ubaguzi mkali sana wa kisiasa. Nadhani ni madhara ya kutawalwa na chama kimoja kwa muda mrefu Wakenya wanaelewa kwamba leo unaweza ukawa kwenye upinzani kesho uunge mkono chama tawala. Kwa mfano waliomsupport rais Uhuru mara ya kwanza alipowania urais 2002 na akashindwa na Mwai Kibaki walibaki kwenye upinzani. Kisha uchaguzi uliofata 2007 chama chao na U.K. wakamsupport Mwai Kibaki dhidi ya Raila Odinga. Yaani kuwa kwenye upinzani huwa haichukuliwi kama kukosa uzalendo. Infact wengi wa wanaounga mkono chama tawala huwa wanaheshimu na wanaelewa jukumu ambalo huwa linatimizwa na upinzani. Mfano mzuri ni Raila Odinga ambaye ushawishi na appeal yake huwa ni zaidi ya uungwaji mkono wake kisiasa.

Kenya has been ruled by only one party since independence, But due to Greed and Kikuyu extravagance it has been switching from one name to another.
 
Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili..
Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo hautoi suluhisho la matatizo yetu ni upumbavu
Tanzania iko na matatizo yake ambayo watanzania wenyewe ndio wenye uwezo wa kuyatatua vivyo hivyo pia kenya
Ni wakati wakufungua macho na kutafuta suluhisho la matatizo yanayokumba nchi zetu si ushindani wakijinga usio na faida yoyote
HAPPY 2020

Acha kulinganisha upuuzi wa Kenya na Tanzania wewe kenge
 
Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili..
Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo hautoi suluhisho la matatizo yetu ni upumbavu
Tanzania iko na matatizo yake ambayo watanzania wenyewe ndio wenye uwezo wa kuyatatua vivyo hivyo pia kenya
Ni wakati wakufungua macho na kutafuta suluhisho la matatizo yanayokumba nchi zetu si ushindani wakijinga usio na faida yoyote
HAPPY 2020

Ukabila.......kenya
Uchoyo......kenya
Weusi tiiiii .....kenya
Kutokutawadha wakienda chooni......kenya
Umasikini wa kupindukia ......kenya
Wahamiaji haramu......kenya
Kiswahili kibovu......kenya
 
Kenya has been ruled by only one party since independence, But due to Greed and Kikuyu extravagance it has been switching from one name to another.
Endelea na ukabila wako na kujiliwaza, chama cha KANU bado kipo hadi sasa hivi, kinaongozwa na Nick Salat. Kina wabunge na maseneta, mmoja wao akiwa Gideon Moi. Chama cha PNU ambacho ndio kilichukua hatamu baada ya KANU bado kipo na kinaongozwa na Martha Karua. ODM ambayo ilitengeneza serikali ya muungano na PNU bado ipo na ndio wapinzani sasa hivi. Siasa za Kenya huzielewi, komalia kwenye siasa zenu za peni mbili. Kama tungebaki kwenye utawala wa KANU, baada ya miaka 24 ya dikteta Moi hata sisi pia tungechanganyikiwa kama nyinyi. Tupoteze hela nyingi na tuchemshe hata kwenye mambo simple. Kama mlivofanya kwenye mchakato wenu wa kuandika katiba mpya.
 
I'm Zambian, I don't think if there is any competition between Kenya and Tanzania. I see Tanzanians minding their own business until these Matter kor from the pig shit, ass holes, chimpanzee shithole country start the chaos.



ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Am Congolese from Mai Ndombe, kanda ya nini juu yenu ba Tanzania na Kenya, Hakuna fasi ile inabamba zaidi ya Kinshasa muye muone wenyewe. Sisi tutaendelea kuwaburudisha na music yetu mukuje kwa show. Don't fight each others guys, you are Just wasting your energy over nothing! After all nyie iko dugu moya.
Mutu ya congo,Beta makasi.
 
I am South African, I don't think if there is any competition between Kenya and Tanzania. I see Kenyans minding their own bizniz, not until these lazy lowlifes from the neighbouring country want to drag them in to the gutter.
Am very sorry,unakataa u-kenya wako!!???
Unaona aibu hadi kujitambulisha mkenya!shiit
 
Back
Top Bottom