Kenya naomba maelezo yanayojitosheleza where's all this money went to?😠

Kenya naomba maelezo yanayojitosheleza where's all this money went to?😠

Have you ever been to Kenya?
Kenya hata barabara zote hadi za Kibera mkiweka lami, urefu wake ni sawa na 30% ya barabara za Tanzania, Hakuna nchi hapa East and central Africa inayoweza kujilinganisha na Tanzania, hapa JF kuna baadhi ya wakenya wamepata bahati ya kuizunguka Tanzania, ninauhakika wanasoma hii post wanajua ukweli, ila kutokana na kwamba tupo ktk mpambano hawawezi watakaa kimya.
 
70% ya umeme wa Tanzania ni kutoka natural gas ambayo infrastructures zake zilijengwa kwa huo mkopo nafuu kutoka China

Sisi tunaweza kukuonesha faida zake ambazo zinamgusa mtanzania directly hata wa pale kijijini tena huo ni mradi mmoja lakini kuna maelfu ya kilometers za tarmac roads huo mkopo umegharamia

Nyinyi hata mradi mmoja tu wa maana ambao unagusa maisha ya mkenya one way hakuna

Hiyo pesa sijui mlienda kugharimia zile chaguzi zenu za hovyo?
Mmmm!!!miradi gani ya maana tz mko nayo..ama ni ile flyover ya tazara[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kenya hata barabara zote hadi za Kibera mkiweka lami, urefu wake ni sawa na 30% ya barabara za Tanzania, Hakuna nchi hapa East and central Africa inayoweza kujilinganisha na Tanzania, hapa JF kuna baadhi ya wakenya wamepata bahati ya kuizunguka Tanzania, ninauhakika wanasoma hii post wanajua ukweli, ila kutokana na kwamba tupo ktk mpambano hawawezi watakaa kimya.
Comment ya kijinga sana...na wakati takwimu zinasema
 
Kenya hata barabara zote hadi za Kibera mkiweka lami, urefu wake ni sawa na 30% ya barabara za Tanzania, Hakuna nchi hapa East and central Africa inayoweza kujilinganisha na Tanzania, hapa JF kuna baadhi ya wakenya wamepata bahati ya kuizunguka Tanzania, ninauhakika wanasoma hii post wanajua ukweli, ila kutokana na kwamba tupo ktk mpambano hawawezi watakaa kimya.
Kenya ni nchi ndogo ila inawazidi kwa mengi. Ukubwa wa makalio sio wingi wa kinyesi
 
Kenya hata barabara zote hadi za Kibera mkiweka lami, urefu wake ni sawa na 30% ya barabara za Tanzania, Hakuna nchi hapa East and central Africa inayoweza kujilinganisha na Tanzania, hapa JF kuna baadhi ya wakenya wamepata bahati ya kuizunguka Tanzania, ninauhakika wanasoma hii post wanajua ukweli, ila kutokana na kwamba tupo ktk mpambano hawawezi watakaa kimya.

You're either retarded or a troll.
Hata kabla Jubilee iingie rapid tarmacking period, Kenya's tarmacked roads were already almost than double Tanzania.
Sasa hivi I'm sure we're almost tripling you.
 
You're either retarded or a troll.
Hata kabla Jubilee iingie rapid tarmacking period, Kenya's tarmacked roads were already almost than double Tanzania.
Sasa hivi I'm sure we're almost tripling you.
Hahahaha hahahaha, may be you were born with down syndrome or with congenital syphilis.
 
Back
Top Bottom