Kenya Navy Fleet; The Biggest Navy Fleet Along The Eastern Coast Of Africa



Sawa njoo mtu chokoze tuone kama missile zitalipuliwa zitakuwa na Puppies and ice cream
Nyie mapimbi mziki wa jwtz hamuuwezi, mkomae na hao alshabab size yenu japokuwa wanawapiga vidole daily.
 
Sawa njoo mtu chokoze tuone kama missile zitalipuliwa zitakuwa na Puppies and ice cream
Shabab wamewachokoza mmefanya nini! Sada hao ni wanamgambo wakija JWTZ si ndo mtakuwa vumbi...
 
Haaaa kenya mnachekesha sana
Sisi vita huwa ikianza wananchi wote wanakuwa wanajeshi
Hatujawa kushindwa vita
Sisi vijana wote huwa ni wazalendo huwa tunaenda vitani
Hatupendagi ujinga hatuwaachiagia wanajeshi pekee
 
Shabab wamewachokoza mmefanya nini! Sada hao ni wanamgambo wakija JWTZ si ndo mtakuwa vumbi...
Shabab wanaishi na Wananchi hauwezi watofautisha kila saa tukifanya Airstrike somalia Parliament mogadishu inazua , wasomali wanaanza protest usa britain netherlands na Canada UN inaanza kusema tunaua mimea na wanyama ya wasomali kama collateral damage.....kama unadhani hzo zitatiliwa maanani kati ya vita ya nchi mbili tofauti sijui uko dunia gani.....tuta lipua kulipua ....angalia kama israel palestine hawajali mahali mabomu yanaanguka bora yameanguka .....
 
Haaaa kenya mnachekesha sana
Sisi vita huwa ikianza wananchi wote wanakuwa wanajeshi
Hatujawa kushindwa vita
Sisi vijana wote huwa ni wazalendo huwa tunaenda vitani
Hatupendagi ujinga hatuwaachiagia wanajeshi pekee
Venye Idi amin Dada in 1973 alisema kuwa ataingia kenya Kuchukua ardhi wanainchi wote walisimama toka kisumu wakamwambia ajaribu aone ....Idi amin akaamua aende Kuchukua the next best thing Bukoba .....kama unadhani wakenya hawata simamia huo ujinga unajidanganya Tayari Kenya kuna 2.4mn illegal guns kwa Civilians ......cjui CCM inawapa propaganda gani lakini fanyeni hivi Jaribu Kuichokoza kenya ....kama umoja wetu hapa JF haijakufanya ubadili mind yako uko kwingine

Wakenya ni kama wasomali

Tutachukiana siku mzima lakini 3rd party akiingilia vita hivi tu sote tuta ungana kumtoa ....
 
Hehehe hawa watani ndio zao, sasa hivi Google inapata traffic balaa kwao wakijaribu kutafuta mitumbwi yao ya kuja kushindana na hivi vifaa vyetu. Wewe subiri hapo, watakuja muda usio mrefu. Watakesha waki-Google
Wasomali tu apo wamewashinda mnaishi kwa kukosa amani nw mnataka na TZ? Acheni ujinga nyie watu wa kibera.
 
C muende mkapigane vita ya chini? Mbona wao hawaji kwnu na vifaru na ndege? Pale waste gate ni katikati ya mji ila waliwachapa na wakasepa hamjashika ata mmoja...shida yenu mnakuaga wajuaji alafu ni mapumbavu ya kufa mtu.
 
Uimara na uzuri wa Kenya uko kwenye social networks nawapenda sana wakenya kwa tabia yao ya kujipromote kwenye mitandao
Wapi watu Al-shabab wamsalimie ndugu yao MK254?
 
Hata mtukane kiasi gani ardhi Tanzania hampati ng'o! Maana hicho hasa ndio kinachowakera manyang'au stupidass nyie!
 
Sammuel999 Hebu tazama kiumbe hiki dhaifu .Sijawai kukiona kimeandika sentensi zaidi ya moja, kiashirio tosha ilipo ukomo wa uwezo wake kifikra.
Unamuita shoga mwenzio.......dhaifu ni nyie msiojua wapi mnapotakiwa kila siku kukaa kupiga taarab kwa wenzenu kama mmekosa uwanja huko kwenu au unataka niandike kwa lugha ya mabasha wenu muelewe
 
Kumbe mnaiga hamjaenda kwa plan yenu wenyewe .....israel hazami huko kwa kujikomba kisa anasaidiwa na kidume mwingine
 
Kelele nyingi....hamna uwezo
 
Ombeni mechi ya kirafiki na JWtz muone moto wake,ndani ya masaa mawili watakuwa wakivinjari mitaa ya Nairobi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…