Sawa,tuseme you are right for whatever!
Niambie ni kwanini mnaogopa hivyo kukosoelewa?
Mnakosa usingizi wa nini kama mnajua mlifanyalo?
Teh teh teh tihiii
bwana mdogo, hata katika level ya familia haturuhusu kukosolewa, na HAMNA anayependa.
lkn lililo kuu wengine hukosoa jambo wakati hawana taarifa sahihi na zilizojitosheleza, matokeo yake ni kuleta sintofahamu kwenye jamii na kuleta mikanganyiko, pia upotoshaji.
ndomana hatuishi kuwatukanaTunanua bidhaa kutoka kwenu, tunaviongeza thamani kwenye viwanda vyetu alafu tunawarudishia vikiwa vinapendeza zaidi na kwa bei ya juu zaidi. Sema amina.
Huo ni udhaifu kwa upande wenu...yanini hampendi?
Mnaogopa mkanganyiko kwa jamiii?Hahahahaaaaa...mnaogopa kuonekana na wapiga kura kua nyie ni vilaza!
Ndio mfumo wa vyama vingi,hamna jinsi,ni lazima mkubali...maana leo wewe ni mtawala na mwingine anang'ang'anie akutoe nae atawale kwa njia mlizojiwekea kama nchi!
Kujifanya hamtaki ndio mnachekesha...futeni basi multipartism!
Opposition inafanya kazi yake halisi na nyie fanyeni kazi yenu halisi,sio mnakata!
Hamuwezi tawala comfortable kwenye democratic country,government in waiting lazima iwaweka tumbo joto kama hivi.
Cha ajabu mnatumia mibavu ya ajabu mnashindwa hoja na ushawishi...what a joke!
Acha ujingaSo ina maana Kenyans mna buy sana Tanzania recently??
Tukibana kuwauzia msisosi mtakufa njaa manyang'au...
Teh teh teh tihiii
acha povu, ongea hoja iliyoko mezani,
uhuru bila mipaka. kama una swali kuhusu hili niulize.
Katiba ndio na sheria ndizo zinaweka mipaka ya uhuru..Uhuru bila mipaka ni upotovu, na katiba ni sauti ya walio wengi watakavyo taka kutawaliwaUhuru wenye mipaka sio uhuru!
Na nani anaeweka mipaka kwamba hapa ni mwisho?CCM au nani?
Nani anajivisha mamlaka ya kuwaambia wanadamu wenzake eti hapa ndio mpka wa uhuru wako?Na yeye nani anamwambia?
Absolute power corrupts absolutely!
Uhuru wenye mipaka sio uhuru!
Na nani anaeweka mipaka kwamba hapa ni mwisho?CCM au nani?
Nani anajivisha mamlaka ya kuwaambia wanadamu wenzake eti hapa ndio mpka wa uhuru wako?Na yeye nani anamwambia?
Absolute power corrupts absolutely!
Hatimaye chini ya mwaka mmoja baada kuchoma vifaranga upungufu mkubwa wa kuku aina ya broiler jiji la Dar umepelekea bei kupanda zaidi ya Mara mbili. Serikali mbioni kufungua dirisha la augizaji broiler Brazil pamoja na kuwepo broiler wa kutosheleza soko nchi jirani.Mkiangalia kiundani, hakuna chokochoko yoyote Tz imewafanyia, ni kufuata sheria zetu tu
Uhuru wowote una mipaka.ukikosa mipaka hugeuka na kuwa uwendawazimu.
Unaweza kuwa na uhuru wa kuikosoa serikali,ikifikia hatua huiheshimu mamraka iliyopo tayari wewe ni kichaa,hata wanaokusikiliza wataanza kukupuuza.
Njooni wabongo mjitetee kwa kuiponda Kenya kama kawa
Jeuri kama hizi ndizo zilitufanya tukatelekeza hayo masoko mengine ukiwa timamu utashukuru kuwa tunakuletea mkate badala ya kuleta jeuri.
Ikiwa tumeondoka huko tulikokuwa nini kinakufanya uamini kuwa hatuwezi kuondoka kwenu, acha jeuri za kijinga