eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Sawa,tuseme you are right for whatever!
Niambie ni kwanini mnaogopa hivyo kukosoelewa?
Mnakosa usingizi wa nini kama mnajua mlifanyalo?
Teh teh teh tihiii
bwana mdogo, hata katika level ya familia haturuhusu kukosolewa, na HAMNA anayependa.
lkn lililo kuu wengine hukosoa jambo wakati hawana taarifa sahihi na zilizojitosheleza, matokeo yake ni kuleta sintofahamu kwenye jamii na kuleta mikanganyiko, pia upotoshaji.