Kenya ndio ya nne kwa wingi wa matajiri Afrika

Of course. What did you expect from a country where a few people hold the reigns of the national economy?
 
Of course. What did you expect from a country where a few people hold the reigns of the national economy?
 
No 4 no 9 no 10
Mliwahi kuongoza kwenye nn Africa hii ukiachia riadha ?
Btw pesa heshima Mimi na umri wangu bado sijashika hata $20k ya mkupuo

Ile siku nilikamata $5k tu kwa mara ya kwanza niliona utamu wa pesa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona nyuzi tunaanzisha nyingi za vitu ambavyo Kenya imetajwa kuongoza Afrika, hehehehe Wabongo mnavyopenda kujitia upofu.
Halafu dah! Unanishangaza eti hujatia kapuni $20k kwa mkupuo hiyo Bongo kwenye mafursa yote hayo kuanzia kwenye madini mpaka utalii, ndio maana mnatulaumu sana sisi wageni maana tukijanga huwa tunaserebuka tu na $$$$$.
 
Bado bado napambana niikamate

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ukweli Kenya kiuchumi wamepiga hatua kuliko nchi zote za ukanda huu wa mashariki hivyo kuwa katika orodha ya juu kabisa ya nchi yenye mabilionea wengi kwa Afrika ni sawa kabisa,jamaa wanajua kuitafuta hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwenye Forbes, Kenya hawana billionaire hata mmoja..in fact, The first and second billionaire ever recorded in Forbes magazine na ukanda wote huu wa Africa mashariki na kati ni kutoka Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mkalenjin unaesongwa na maiinzi kila kona ya mwili bao mabilionea wanakusaidiaj?
 
Nenda kwenye Forbes, Kenya hawana billionaire hata mmoja..in fact, The first and second billionaire ever recorded in Forbes magazine na ukanda wote huu wa Africa mashariki na kati ni kutoka Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanahesabu mabilionea kwa pesa zao za Kenya hahaha.... Hawajui watu tunatumia USD
 
Ss kule nairaland mnawezaje kubishana na watu wamewazidi pakubwa hv, pathetic [emoji16][emoji16]
 
@Moderator,naomba kichwa cha habari kiwe
Kenya nchi ya tatu kwa africa kwa kuwa na matajiri waliojipatia utajiri kwa mlango wa rushwa...

Sent using Iphone 11 pro
 
Ss kule nairaland mnawezaje kubishana na watu wamewazidi pakubwa hv, pathetic [emoji16][emoji16]
Use your brains ti figure this out...

Nigeria population 190 million
Kenya population 50 million
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…