Kenya ndio ya nne kwa wingi wa matajiri Afrika

Kenya ndio ya nne kwa wingi wa matajiri Afrika

No 4 no 9 no 10
Mliwahi kuongoza kwenye nn Africa hii ukiachia riadha ?
Btw pesa heshima Mimi na umri wangu bado sijashika hata $20k ya mkupuo

Ile siku nilikamata $5k tu kwa mara ya kwanza niliona utamu wa pesa..
Lazima upambane zaidi ya unavyofanya sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
$20k ya mkupuo unafikiria ni mchezo[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Use your brains ti figure this out...

Nigeria population 190 million
Kenya population 50 million
Acha ujinga ww, population 50 million unashindwaje kuwa na matajiri japo 900 tu, vp kuhusu nchi zilizobaki zenye population kubwa kuliko nyie mbn mmezizid idadi ya billionaires( kwa mujibu wenu).
Excuses will never help u.
 
Kenya has been ranked fourth in Africa with individuals worth over 30 million US dollars.

This translates to Sh3 billion.

According to Knight Frank's global wealth report, 42 individuals in the country have a net worth over Sh3 billion.
South Africa is leading the continent with 1,033 such individuals followed by Nigeria 724 and Morocco 215.
More to follow..........

=======


Kenya has 42 billionaires, ranked fourth in Africa - Report

Kenya has been ranked fourth in Africa with individuals worth over 30 million US dollars.
This translates to Sh3 billion.

According to Knight Frank's global wealth report, 42 individuals in the country have a net worth over Sh3 billion.
South Africa is leading the continent with 1,033 such individuals followed by Nigeria 724 and Morocco 215.
The report notes that Kenya's wealthiest are generating a new league of angel investors showing a surge in direct investments into new and growing businesses.

Two thirds of the wealth managers surveyed in Kenya reported that their high net worth and ultra high net worth clients increased their private equity investments in 2019.

This jump in investment to support the growth of Kenya’s innovative young businesses came as more than two-thirds of the country’s wealthy also reported an increase in their interest in philanthropic activities, and in ethical investments.
The biggest increases in investments were in equity investments through the stock market.

“The survey points a sharp rise in social and environmental awareness by the country’s wealthy as reflected in their investment strategies and behaviours,” Managing director Ben Woodhams said. The shift coincided with a general move in investments towards lower risk holdings, with Kenya’s wealthy increasing their holdings of bonds, gold and cash.

Managers reported the wealthy were most worried about the impact of global economic uncertainty, followed by poor governance, and Brexit. As a result, two-thirds of the wealthy investors had reduced their holdings of now volatile cryptocurrencies, while holding their investments broadly static in property and collectibles, such as works of art.
The wealthy also indicated an exceptional rise in interest in action on climate change as a cause.

The surge in philanthropic interest by Kenya’s wealthy marked a stronger rise than in South Africa but ties with a growing trend across Africa’s super rich ‘giving back’ by driving development and improved welfare in their own nations.

Source: The Star
Maamaee shuzi lazima likutoke hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-03-05-13-45-05.jpeg
 
Huu ni ukweli Kenya kiuchumi wamepiga hatua kuliko nchi zote za ukanda huu wa mashariki hivyo kuwa katika orodha ya juu kabisa ya nchi yenye mabilionea wengi kwa Afrika ni sawa kabisa,jamaa wanajua kuitafuta hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unauza mechi mzee baba hili sio jukwaa la kuungana mkono humu ni kubishana kwa kwenda mbele hii ndio vita ya kiuchumi sasa😂 ukiyasapot haya manyang'au yanazidish kibri wakat yanakufa na njaa
 
Kenya has been ranked fourth in Africa with individuals worth over 30 million US dollars.

This translates to Sh3 billion.

According to Knight Frank's global wealth report, 42 individuals in the country have a net worth over Sh3 billion.
South Africa is leading the continent with 1,033 such individuals followed by Nigeria 724 and Morocco 215.
More to follow..........

=======


Kenya has 42 billionaires, ranked fourth in Africa - Report

Kenya has been ranked fourth in Africa with individuals worth over 30 million US dollars.
This translates to Sh3 billion.

According to Knight Frank's global wealth report, 42 individuals in the country have a net worth over Sh3 billion.
South Africa is leading the continent with 1,033 such individuals followed by Nigeria 724 and Morocco 215.
The report notes that Kenya's wealthiest are generating a new league of angel investors showing a surge in direct investments into new and growing businesses.

Two thirds of the wealth managers surveyed in Kenya reported that their high net worth and ultra high net worth clients increased their private equity investments in 2019.

This jump in investment to support the growth of Kenya’s innovative young businesses came as more than two-thirds of the country’s wealthy also reported an increase in their interest in philanthropic activities, and in ethical investments.
The biggest increases in investments were in equity investments through the stock market.

“The survey points a sharp rise in social and environmental awareness by the country’s wealthy as reflected in their investment strategies and behaviours,” Managing director Ben Woodhams said. The shift coincided with a general move in investments towards lower risk holdings, with Kenya’s wealthy increasing their holdings of bonds, gold and cash.

Managers reported the wealthy were most worried about the impact of global economic uncertainty, followed by poor governance, and Brexit. As a result, two-thirds of the wealthy investors had reduced their holdings of now volatile cryptocurrencies, while holding their investments broadly static in property and collectibles, such as works of art.
The wealthy also indicated an exceptional rise in interest in action on climate change as a cause.

The surge in philanthropic interest by Kenya’s wealthy marked a stronger rise than in South Africa but ties with a growing trend across Africa’s super rich ‘giving back’ by driving development and improved welfare in their own nations.

Source: The Star
Sindano za motooo😀😀😀💉💉💉💉💉





Screenshot_20200305-133831_Chrome.jpg
 
Unauza mechi mzee baba hili sio jukwaa la kuungana mkono humu ni kubishana kwa kwenda mbele hii ndio vita ya kiuchumi sasa[emoji23] ukiyasapot haya manyang'au yanazidish kibri wakat yanakufa na njaa
Kuna watu bado wana mentality ya uwoga, hawajiamini km wanaweza ila co kesi, cz watz wa hvyo ni wachache sn and lots of them ni wale wapinga kila kitu mpk maendeleo, atakuambia miaka mitatu ss maji hakuna maji yakiletwa atakuambia nishukuru nn wkt pesa zng mwnyw tax payer bila kujua kwmb pesa zinaweza kuwa zake na zicmsaidie vile vile, nadhani Wakenya wanajuwa namaanisha nn.
 
Pia nmefuatilia forums zao nimegundua majaa yanatohofia sana na yanataman yangua sisi tunwatimulia vumbi vibaya mno
Kuna watu bado wana mentality ya uwoga, hawajiamini km wanaweza ila co kesi, cz watz wa hvyo ni wachache sn and lots of them ni wale wapinga kila kitu mpk maendeleo, atakuambia miaka mitatu ss maji hakuna maji yakiletwa atakuambia nishukuru nn wkt pesa zng mwnyw tax payer bila kujua kwmb pesa zinaweza kuwa zake na zicmsaidie vile vile, nadhani Wakenya wanajuwa namaanisha nn.
 
Huu ni ukweli Kenya kiuchumi wamepiga hatua kuliko nchi zote za ukanda huu wa mashariki hivyo kuwa katika orodha ya juu kabisa ya nchi yenye mabilionea wengi kwa Afrika ni sawa kabisa,jamaa wanajua kuitafuta hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweli sababu ni kwamba Kenya Pesa ya serikali siyo mali ya uma ni mali ya viongozi wa serikali na familia zao na mabeberu huko ndiko kikwete alitaka kuipeleka tz ,asante magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom