Kenya ndio ya pili Afrika kuwa na handaki refu la reli

Kenya ndio ya pili Afrika kuwa na handaki refu la reli

haijafikia kiwango cha kuabudu nchi kana kwamba ni mbinguni watz wanavopenda kufanya...😀😀ila haina noma...kila mtu na tabia zake...
Nafurahi umejua kila mtu na tabia zake maana kuna Raila Odinga hapo Kenya kila kitu yeye anachojua ni mfano USA utadhani ndio wamemtuma
 
haijafikia kiwango cha kuabudu nchi kana kwamba ni mbinguni watz wanavopenda kufanya...😀😀ila haina noma...kila mtu na tabia zake...

Sisi hatuwaabudu wa RSA wala nini, kwa mimi binafsi rafiki yangu ni Julius Malema tu, kwa sababu anajitambua, Wengine wale xenophobia imewajaa vichwani mwao.
 
Sisi hatuwaabudu wa RSA wala nini, kwa mimi binafsi rafiki yangu ni Julius Malema tu, kwa sababu anajitambua, Wengine wale xenophobia imewajaa vichwani mwao.
Mwalimu wao ni malema hao wa xenophobia
 
Mwalimu wao ni malema hao wa xenophobia
Hapana namkatalia, kuna clip moja niliiona akiwa bungeni alimlaani sana Rais Zuma kwa kushindwa kuelimisha vijana wa RSA na kutoa wito kwa vijana kuwa there is no country that can be live in isolation, even the USA can not be isolation.
 
ndio.... ila Tanzania Kenya Rwanda na wengine pia wanaweza wakafikia kiwango hicho...vipi wewe? watz wana tabia mbaya sana ya kuabudu afrika kusini..😀😀.ndio maana unaona waimbaji wote wamepanga laini kwenda ku shoot video zao kule...aibu🙁🙁🙁...hamjiamini ama vp? huwa naaibika sana nikiwaona akina diamond kule wamebanana kama vibiriti kana kwamba ni wakimbizi...😀😀
Ulishajiuliza kwa nini wengi wanenda ku shoot SA? Ukumbuke na wasanii wa Kenya wapo wengi wanashoot huko
 
haijafikia kiwango cha kuabudu nchi kana kwamba ni mbinguni watz wanavopenda kufanya...😀😀ila haina noma...kila mtu na tabia zake...
Shida yako ni hiyo kauli ya kuabudu, labda uweke wazi kuwa tunaabudu SA kwa mtazamo upi?

Nchi tuliyoisadia kupata uhuru ndo tuiabudu? Wao ndo wanatuabidu japo wanatuzidi maendeleo lakini wanatuheshimu sana kwa msaada tuliowapa!
 
Shida yako ni hiyo kauli ya kuabudu, labda uweke wazi kuwa tunaabudu SA kwa mtazamo upi?

Nchi tuliyoisadia kupata uhuru ndo tuiabudu? Wao ndo wanatuabidu japo wanatuzidi maendeleo lakini wanatuheshimu sana kwa msaada tuliowapa!
tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana...msiwe na hii mambo ya kila kitu afrika kusini...matibabu ya Lissu, afrika kusini, video afrika kusini, vyumba vya kifahari akina diamond wananunua afrika kusini...mtoto kabla azaliwe mnakimbiza mama hospitali za afrika kusini eti ndio mtoto awe mwafrika kusini....mnatoa pesa nchi tukufu ya tanzania mnapeleka kwa waafrika kusini, watu ambao wana dharau sana nchi zingine za afrika...mnatajirisha nchi nyingine mnaipa yenu umaskini...foreign exchange zote mmeelekeza kule...
 
tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana...msiwe na hii mambo ya kila kitu afrika kusini...matibabu ya Lissu, afrika kusini, video afrika kusini, vyumba vya kifahari akina diamond wananunua afrika kusini...mtoto kabla azaliwe mnakimbiza mama hospitali za afrika kusini eti ndio mtoto awe mwafrika kusini....mnatoa pesa nchi tukufu ya tanzania mnapeleka kwa waafrika kusini, watu ambao wana dharau sana nchi zingine za afrika...mnatajirisha nchi nyingine mnaipa yenu umaskini...foreign exchange zote mmeelekeza kule...
Mifano yako hii yote inalenga mtu mmoja tu, diamond platinums!

Sass ndugu yangu, hii ni nchi ya watu 50m. Kama huyo anapendelea huko SA, waliobaki wanafanya hapa mambo yao! Haina tofauti na wanariadha wa huko Kenya wanaochukua uraia nchi nyingine kila siku,

BTW, Diamond kanunua nyumba hapo Kenya pia, mbona hii husemi?
 
Mifano yako hii yote inalenga mtu mmoja tu, diamond platinums!

Sass ndugu yangu, hii ni nchi ya watu 50m. Kama huyo anapendelea huko SA, waliobaki wanafanya hapa mambo yao! Haina tofauti na wanariadha wa huko Kenya wanaochukua uraia nchi nyingine kila siku,

BTW, Diamond kanunua nyumba hapo Kenya pia, mbona hii husemi?
Ali kiba, rayvanny waimbaji karibu wote wana shoot video zao Afrika Kusini...sio Diamond tu..ama nikuletee list...sasa najiuliza, hivi hamna video producers nchi tukufu ya Tanzania au? njoo Kenya, Jaguar na Prezzo wanaweza kuwa wana pesa nyingi hata kumshinda Diamond ila huwezi ukamwona yeyote ameenda nje ku shoot video...make kenya build kenya..wakenya wana ile kujipenda kwanza...
 
Ali kiba, rayvanny waimbaji karibu wote wana shoot video zao Afrika Kusini...sio Diamond tu..ama nikuletee list...sasa najiuliza, hivi hamna video producers nchi tukufu ya Tanzania au? njoo Kenya, Jaguar na Prezzo wana pesa nyingi hata kumshinda Diamond ila huwezi ukamwona ameenda nje ku shoot video...make kenya build kenya...
Na mimi nikuulize, kama suala ni ku shoot video SA, wakenya wanaoshoot huko shida ni nini hapo kenya?


Unasema Jaguar hashoot video SA? Hapa umesoma?
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ggkMAA&usg=AFQjCNHAUsYjoVEZ6x3OHnof4Tnlq_31QA
 
Na mimi nikuulize, kama suala ni ku shoot video SA, wakenya wanaoshoot huko shida ni nini hapo kenya?
wakenya wachache sana wanaenda nje kushoot video zao...ila njoo Tanzania...janga! Afrika Kusini ishakua Mungu wenu wa pili...hivi karibuni naona watanzania wakianza kukamatwa kule kama wakimbizi...😀😀😀 diamond mtz, mke wake mganda...wote wamekwamilia kule...😀😀😀kujishusha hadhi...
 
wakenya kidogo sana wanaenda nje kushoot video zao...ila njoo Tanzania...janga! Afrika Kusini ishakua Mungu wenu wa pili...hivi karibuni naona watanzania wakianza kukamatwa kule kama wakimbizi...😀😀😀
Nimeanza kukupa orodha kama sio kukuprove wrong, Jaguar anashoot south africa, hata prezoo
 
Sisi tumekubali tunashoot SA, wewe unasema wakenya hawashoot huko, je nikuletee na za prezoo alozoshoot SA? kabla sijafika kwa sauti soul, avril na wengine?
?
sawa mkuu wameshoot pia wao ila moja moja....njoo kwa kiba ama diamond duh! wacheni hii uabudu wa afrika kusini,...tanzania ni nchi beautiful sana...panda Kilimanjaro shoot video kule...nenda Zanzibar shoot pale...kaa Dar shoot hapo pia...sio kila uchao Cape Town...mnaanza kudharauliwa...kama tu wazungu wanavowadharau waafrika wanaokufa kule Mediterranean kisa walikuwa wakivuka bahari na maboti madogo ili wafike Europe...
 
sawa mkuu wameshoot pia wao ila moja moja....njoo kwa kiba ama diamond duh! wacheni hii uabudu wa afrika kusini,...tanzania ni nchi beautiful sana...panda Kilimanjaro shoot video kule...nenda Zanzibar shoot pale...kaa Dar shoot hapo pia...sio kila uchao Cape Town...mnaanza kudharauliwa...kama tu wazungu wanavowadharau waafrika wanaokufa kule Mediterranean kisa walikuwa wakivuka bahari na maboti madogo ili wafike Europe...
Uweza ukawa na logic, lakini idadi ya video za nje bado ni ndogo sana ukilinganisha na zile za ndani!

Nakubaliana na wewe kwenye suala la kupoteza mapato kupitia kufanya video nje, lakini muziki ni biashara, na inahitaji uwekezaji! Kinachotakiwa kwa nchi zetu hizi ni kuweka mazingira ambayo yatakuwa rafiki kwa hawa wasanii wetu!

Kukurupuka kuzuia kunaweza kuwa kama serikalinya Nigeria ilivokurupuka kuzuia kushoot nje kabla ya kuandaa mazingira!
 
Back
Top Bottom