Km vile kiswahili kilivyokuathiri hku ukisahau mila zenu na kuanza kutukuza watu baada ya kujiunga katika lile kabila kuuBado wanatawaliwa kifikra
Wanaojua kingereza tanzania wanatusua, kwnza awe ana proffessional flani...basi utamshinda wapi wewe katika interview, yani anachukuliwa juu juu ili wapate kumtumia kuiwakilisha kampuni nje ya mipakaMkuu, embu rudi ukaanze kusoma chekechea, nadhani haujabahatika kuelimika
Akili za watu wa saint kayumba hzo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati ukienda kutafuta kazi unakuta eti lazima uwe unajua kuandika au kuongea kingereza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hkubwatu wa ze ze ze wakiambulia patupu[emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, unanipa tabu sana kujua unacho maanisha, embu tafuta mtu akuandikieKm vile kiswahili kilivyokuathiri hku ukisahau mila zenu na kuanza kutukuza watu baada ya kujiunga katika lile kabila kuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachina wanaojua kingereza nakwambia kwa idadi wanaweza kuwa wengi hta kuliko wana EA woteJamaa jinga sana
Hicho kiingereza mbona hakijawatoa kwenye Njaa
Tukubari wana washinda Wachina kiingereza ila mchina kawapa Mitungi ya Chang'aa Na kiingereza chao
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wenyewe hutesana sana kwa hicho hicho kingereza, ila waliosomea na kuishi Kenya hutafuna vitamu huko kwao, yaani huwa kama wanakula na vipofu vile, ukiingia kikao na wabongo halafu kihusu watu kutokea matafa tofauti, yaani Watz huganda na kuufyata kisa kingereza, ila muda wa mapumziko wakati wa kunywa chai wanatirirka ideas kibao kwa lugha ya Kiswahili.
Watz waliosomea Kenya hupata nafuu sana hata kwenye soko la ajira, ona hili tangazo...
View attachment 1340729
Bwahahaaaa!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu, unanipa tabu sana kujua unacho maanisha, embu tafuta mtu akuandikie
vipi wanaopata degrees za university hadi uprofesa (sayansi, uchumi, nk) - jee, hawa nao waone aibu kwa kuwa tu elimu ni ya wakoloni?Hivi hauoni aibu kujisifia umahiri wa kutumia lugha za wakoloni wako? Utumwa wa kiakili ni utumwa mbaya zaidi na huko Kenya mnahitaji ukombozi wa kiakili.
Amekimbiavipi wanaopata degrees za university hadi uprofesa (sayansi, uchumi, nk) - jee, hawa nao waone aibu kwa kuwa tu elimu ni ya wakoloni?
rais wetu TZ amewapa nafasi nyeti serekalini Drs, Professors, etc - jee, naye ni mtumwa wa kiakili?
Mkuu, elimu na vyeti vinavyotolewa si vya wakoloni, ni kitu cha kidunia kama dini zilivyo, kwa bahati mbaya au nzuri hao wakoloni iliwabidi wavilete ili angalau waelewane na hao watawaliwa kwa wakati ule. Usije ukaacha kusoma kwa kuogopa mambo ya wakoloni, utakwamavipi wanaopata degrees za university hadi uprofesa (sayansi, uchumi, nk) - jee, hawa nao waone aibu kwa kuwa tu elimu ni ya wakoloni?
rais wetu TZ amewapa nafasi nyeti serekalini Drs, Professors, etc - jee, naye ni mtumwa wa kiakili?
...kama Kiingereza kilivyo "kitu cha kidunia".Mkuu, elimu na vyeti vinavyotolewa si vya wakoloni, ni kitu cha kidunia kama dini zilivyo, kwa bahati mbaya au nzuri hao wakoloni iliwabidi wavilete ili angalau waelewane na hao watawaliwa kwa wakati ule. Usije ukaacha kusoma kwa kuogopa mambo ya wakoloni, utakwama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majibu yako yapo kule juu, mkiona mnabanwa mnasema lugha ya mkoloni...
Hivi nyie msiojisifu na lugha ya mkoloni wenu, mnajua hata kujieleza kutumia kijerumani[emoji848]
Ila kw uvivu mlokua nao, sidhani km mnakijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kukariri, jivunie kimatumbi lugha ya kwenu...kama Kiingereza kilivyo "kitu cha kidunia".
na wewe usisifie degree za wakoloni, jivunie uganga wa kienyeji!Acha kukariri, jivunie kimatumbi lugha ya kwenu
yah ni kweli kenya imeishinda Urusi hadi China kwa matumizi ya kiingereza , hongereni sana wakenya kwa Ubwege huo, bigupWazee wa "sizitaki mbichi" mkishindwa na Kiingereza kwa mlivyo wazembe mnaanza kukitukana eti ni cha mkoloni, lakini wajanja wa lugha tumejua umuhimu wake na tunakitumia pakubwa katika kukuza uchumi wa nchi na kujiendeleza kila mmoja kwenye nafasi yake.
Mnaopenda kukitukana, unakuta huko kwenu wenye hela wamewapeleka watoto wao wakapate elimu kwenye shule za kimataifa, huko wanafunzwa na kuongea Kiingereza, maskini ndio wanasotea kwenye shule za saint kayumba wakiambiwa wakomae na Kiswahili eti ndio uzalendo na wasijifunze lugha yoyote nyingine, ila ikija kwenye soko la ajira, tangazo linaandikwa kwamba moja wapo wa vigezo ni lazima uwe na uwezo wa "kuzungumza na kuandika kwa Kiingereza". Watu wa ze ze ze wanaishia kuambulia patupu.
Rais wetu leo hii anashusha deals kali kali za kimataifa, hii imetokana na umahiri wake kwenye kujieleza kwa hii lugha, inampa kujiamini.
Leo hii hata Wachina, Warusi wote wanahangaika kujifunza Kiingereza.
Binafsi napenda sana Kiswahili na huwa nipo kwenye mstari wa mbele kwenye kukipigia debe, ila siwezi nikaganda kwenye lugha moja kama zezeta.
======
Kenya rated second best in English fluency test
Kenyans are the second most fluent English speakers in Africa, according to a ranking by global private language tutor, Education First (EF), a ranking which primes the country to attract foreign investment.
The English Proficiency Index (EPI) by the Switzerland-based company ranks Kenya behind South Africa even though
Nairobi still emerged as the highest placed African city. Globally, Kenya was placed at position 18 while South Africa came in sixth, followed by Nigeria (29) and Ethiopia at 63. The Netherlands is ranked top in competency level.
English, considered the global lingua franca of business, has been adopted in the world as a bridging language to lower transaction costs across borders.
The EF report links English proficiency to innovation, public investment in research and development, number of researchers per a population of one million as well as technicians per capita. According to the firm, countries with higher ranks in English language skills experience higher labour productivity and stand a higher chance of economic growth compared to others, as language skills help economies to remain competitive by removing the communication barrier.
“Although there is evidence that the pace of globalisation is slowing, international trade is a significant portion of the world economy, with exports making up around 20 percent of the world’s economic output. We consistently find a correlation between ease of doing business and a country’s English proficiency, as well as speaking English and a range of logistics-related indicators,” the report says.
The growth projected from efficiency in the language has also been tied to the services sector where communication is essential and also holds the larger share of economic activities.
“iPhones can be shipped anywhere, accountants cannot,” the report notes. “Language use is tied to a country’s service exports as well as the value added per worker in services. As the complexity and sophistication of economic exchange increases, so does the demand for linguistic competencies. A growing number of MBA programmes demand fluency in English and a second, sometimes third, language”.
The mastery of English has also been used as one measure of the level of skilled workforce in a country, with EF saying it could increase employability.
Source: Business Daily
Hivi hauoni aibu kujisifia umahiri wa kutumia lugha za wakoloni wako? Utumwa wa kiakili ni utumwa mbaya zaidi na huko Kenya mnahitaji ukombozi wa kiakili.
Majirani zetu kuna mahali wanakwamaAisee hawa jamaa sijui kama bongo zao zimekaa sawa mkuu. Yaani hadi wenye lugha wao wenyewe wanawashangaa vile wanavyowashobokea
Mtu anajisifia kujua Lugha ya Mkoloni wake, mkoloni wala hahitaji kujua Lugha yake, hii ni functional cognitive disorder,
Kenya inaaibisha sana Africa. Nimeona aibu mimi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari sana, misifa mingi wakiwa mitandaoni...
Si ajabu wengi wao hapa wana classes kw ajili ya kujifunza kingereza
Sent using Jamii Forums mobile app