Kenya ndio ya pili Afrika kwenye umahiri katika lugha ya Kiingereza

Kenya ndio ya pili Afrika kwenye umahiri katika lugha ya Kiingereza

Mkuu, embu rudi ukaanze kusoma chekechea, nadhani haujabahatika kuelimika
Wanaojua kingereza tanzania wanatusua, kwnza awe ana proffessional flani...basi utamshinda wapi wewe katika interview, yani anachukuliwa juu juu ili wapate kumtumia kuiwakilisha kampuni nje ya mipaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za watu wa saint kayumba hzo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati ukienda kutafuta kazi unakuta eti lazima uwe unajua kuandika au kuongea kingereza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hkubwatu wa ze ze ze wakiambulia patupu[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app

Wenyewe hutesana sana kwa hicho hicho kingereza, ila waliosomea na kuishi Kenya hutafuna vitamu huko kwao, yaani huwa kama wanakula na vipofu vile, ukiingia kikao na wabongo halafu kihusu watu kutokea matafa tofauti, yaani Watz huganda na kuufyata kisa kingereza, ila muda wa mapumziko wakati wa kunywa chai wanatirirka ideas kibao kwa lugha ya Kiswahili.

Watz waliosomea Kenya hupata nafuu sana hata kwenye soko la ajira, ona hili tangazo...

ajira.jpg
 
Wenyewe hutesana sana kwa hicho hicho kingereza, ila waliosomea na kuishi Kenya hutafuna vitamu huko kwao, yaani huwa kama wanakula na vipofu vile, ukiingia kikao na wabongo halafu kihusu watu kutokea matafa tofauti, yaani Watz huganda na kuufyata kisa kingereza, ila muda wa mapumziko wakati wa kunywa chai wanatirirka ideas kibao kwa lugha ya Kiswahili.

Watz waliosomea Kenya hupata nafuu sana hata kwenye soko la ajira, ona hili tangazo...

View attachment 1340729
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari sana, misifa mingi wakiwa mitandaoni...

Si ajabu wengi wao hapa wana classes kw ajili ya kujifunza kingereza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, unanipa tabu sana kujua unacho maanisha, embu tafuta mtu akuandikie
Bwahahaaaa!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukwel mchungu kwel, yani mpka unajitia upofu...
Ze ze ze ndugu haikupeleki mahali na siku zote ukweli haupingiki jomba..

We komaa na kujitia uwehu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hauoni aibu kujisifia umahiri wa kutumia lugha za wakoloni wako? Utumwa wa kiakili ni utumwa mbaya zaidi na huko Kenya mnahitaji ukombozi wa kiakili.
vipi wanaopata degrees za university hadi uprofesa (sayansi, uchumi, nk) - jee, hawa nao waone aibu kwa kuwa tu elimu ni ya wakoloni?

rais wetu TZ amewapa nafasi nyeti serekalini Drs, Professors, etc - jee, naye ni mtumwa wa kiakili?
 
vipi wanaopata degrees za university hadi uprofesa (sayansi, uchumi, nk) - jee, hawa nao waone aibu kwa kuwa tu elimu ni ya wakoloni?

rais wetu TZ amewapa nafasi nyeti serekalini Drs, Professors, etc - jee, naye ni mtumwa wa kiakili?
Mkuu, elimu na vyeti vinavyotolewa si vya wakoloni, ni kitu cha kidunia kama dini zilivyo, kwa bahati mbaya au nzuri hao wakoloni iliwabidi wavilete ili angalau waelewane na hao watawaliwa kwa wakati ule. Usije ukaacha kusoma kwa kuogopa mambo ya wakoloni, utakwama
 
Mkuu, elimu na vyeti vinavyotolewa si vya wakoloni, ni kitu cha kidunia kama dini zilivyo, kwa bahati mbaya au nzuri hao wakoloni iliwabidi wavilete ili angalau waelewane na hao watawaliwa kwa wakati ule. Usije ukaacha kusoma kwa kuogopa mambo ya wakoloni, utakwama
...kama Kiingereza kilivyo "kitu cha kidunia".
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majibu yako yapo kule juu, mkiona mnabanwa mnasema lugha ya mkoloni...

Hivi nyie msiojisifu na lugha ya mkoloni wenu, mnajua hata kujieleza kutumia kijerumani[emoji848]
Ila kw uvivu mlokua nao, sidhani km mnakijua

Sent using Jamii Forums mobile app

Kujua si jambo baya, upumbavu ni kuja na kujisifu kujua Lugha ya Mkoloni dunia ya leo ambapo inaaminika Vijana wanahoji mambo.
Hao wazungu wamejaa kwenye mitaa yetu huku tz na tunaelewana vema kwa Hicho Kingereza bila shida yoyote, inashangaza kuona karne hii Mtu mweusi anajisifu kuishi Kama mzungu ikiwa yeye ni Mwafrika,
Nahisi njaa imeharibu sana Ubongo wa Wakenya, sababu ni lishe duni wakati wa utoto, Inasemekana lishe bora wakati wa siku 1000 za kwanza za maisha ya mtoto huwa ina impact kwenye ukuaji wa ubongo wa mtoto, Huko kenya kuna njaa sana ndio maana tunakuwa na nyuzi za kipumbavu kama hizi.
 
Mada yeyote kuhusu kiingereza huwa inaibua hisia kali na povu kutoka kwa watz. Huwa sielewi hoja zao kwasababu wao wenyewe walichagua kutumia kiingereza kutoka shule ya upili. Tatizo kuu nadhani ni mfumo mbovu wa elimu. Maanake haingii akilini kwamba mtu mwenye shahada tatu (alizosomea kwa lugha ya kiingereza) anaweza akaongea kiingereza kibovu kama... Cc. Naton Jr
 
Wazee wa "sizitaki mbichi" mkishindwa na Kiingereza kwa mlivyo wazembe mnaanza kukitukana eti ni cha mkoloni, lakini wajanja wa lugha tumejua umuhimu wake na tunakitumia pakubwa katika kukuza uchumi wa nchi na kujiendeleza kila mmoja kwenye nafasi yake.

Mnaopenda kukitukana, unakuta huko kwenu wenye hela wamewapeleka watoto wao wakapate elimu kwenye shule za kimataifa, huko wanafunzwa na kuongea Kiingereza, maskini ndio wanasotea kwenye shule za saint kayumba wakiambiwa wakomae na Kiswahili eti ndio uzalendo na wasijifunze lugha yoyote nyingine, ila ikija kwenye soko la ajira, tangazo linaandikwa kwamba moja wapo wa vigezo ni lazima uwe na uwezo wa "kuzungumza na kuandika kwa Kiingereza". Watu wa ze ze ze wanaishia kuambulia patupu.

Rais wetu leo hii anashusha deals kali kali za kimataifa, hii imetokana na umahiri wake kwenye kujieleza kwa hii lugha, inampa kujiamini.

Leo hii hata Wachina, Warusi wote wanahangaika kujifunza Kiingereza.

Binafsi napenda sana Kiswahili na huwa nipo kwenye mstari wa mbele kwenye kukipigia debe, ila siwezi nikaganda kwenye lugha moja kama zezeta.

======
Kenya rated second best in English fluency test

Kenyans are the second most fluent English speakers in Africa, according to a ranking by global private language tutor, Education First (EF), a ranking which primes the country to attract foreign investment.

The English Proficiency Index (EPI) by the Switzerland-based company ranks Kenya behind South Africa even though
Nairobi still emerged as the highest placed African city. Globally, Kenya was placed at position 18 while South Africa came in sixth, followed by Nigeria (29) and Ethiopia at 63. The Netherlands is ranked top in competency level.

English, considered the global lingua franca of business, has been adopted in the world as a bridging language to lower transaction costs across borders.

The EF report links English proficiency to innovation, public investment in research and development, number of researchers per a population of one million as well as technicians per capita. According to the firm, countries with higher ranks in English language skills experience higher labour productivity and stand a higher chance of economic growth compared to others, as language skills help economies to remain competitive by removing the communication barrier.

“Although there is evidence that the pace of globalisation is slowing, international trade is a significant portion of the world economy, with exports making up around 20 percent of the world’s economic output. We consistently find a correlation between ease of doing business and a country’s English proficiency, as well as speaking English and a range of logistics-related indicators,” the report says.

The growth projected from efficiency in the language has also been tied to the services sector where communication is essential and also holds the larger share of economic activities.

“iPhones can be shipped anywhere, accountants cannot,” the report notes. “Language use is tied to a country’s service exports as well as the value added per worker in services. As the complexity and sophistication of economic exchange increases, so does the demand for linguistic competencies. A growing number of MBA programmes demand fluency in English and a second, sometimes third, language”.

The mastery of English has also been used as one measure of the level of skilled workforce in a country, with EF saying it could increase employability.

Source: Business Daily
yah ni kweli kenya imeishinda Urusi hadi China kwa matumizi ya kiingereza , hongereni sana wakenya kwa Ubwege huo, bigup
 
Hivi hauoni aibu kujisifia umahiri wa kutumia lugha za wakoloni wako? Utumwa wa kiakili ni utumwa mbaya zaidi na huko Kenya mnahitaji ukombozi wa kiakili.

Aisee hawa jamaa sijui kama bongo zao zimekaa sawa mkuu. Yaani hadi wenye lugha wao wenyewe wanawashangaa vile wanavyowashobokea.

Wakenya,jitahidini kubalance shobo basi.
 
Mtu anajisifia kujua Lugha ya Mkoloni wake, mkoloni wala hahitaji kujua Lugha yake, hii ni functional cognitive disorder,
Kenya inaaibisha sana Africa. Nimeona aibu mimi.

Mkuu hunizidi mimi kwa aibu nayoisikia nikimwona mwafrika mwenzangu bado anawaabudu hao wakoloni,na ndio maana hadi leo asilimia kubwa ya watu wa magharibi wanatuona sisi ni kama manyani tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari sana, misifa mingi wakiwa mitandaoni...

Si ajabu wengi wao hapa wana classes kw ajili ya kujifunza kingereza

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna wale hujifunza kingereza kwa kubishana na Wakenya huku JF, ukiangalia mada zao za kitambo kuna tofauti na walvyo leo, kidogo wamejiboresha. Kuna kipindi tulikua tunajadili hoja humu kwa kingereza, ilikua inawatesa sana wenzetu mpaka ikabidi tuwaonee huruma na kushuka kwenye level yao.
 
Back
Top Bottom