Kenya ni failed state,ona hichi kituko kwenye elimu yao

Kenya ni failed state,ona hichi kituko kwenye elimu yao

Kwa nini watanzania tunawasakama sana Wakenya na wao hawana time na sisi?. Je hii itatufanya tusahai changamoto zetu na kuwakumbusha zao iliwazofanyie kazi?
Angalia shule zetu
 

Attachments

  • Screenshot_20210103-130100.jpg
    Screenshot_20210103-130100.jpg
    102.5 KB · Views: 2
Kwa nini watanzania tunawasakama sana Wakenya na wao hawana time na sisi?. Je hii itatufanya tusahai changamoto zetu na kuwakumbusha zao iliwazofanyie kazi?
Angalia shule zetu

Subiri wakujibu.
♨️😂🤣
 
How can I know all these? All I know is that it's an advert in Tanzania

Next time avoid to use crap in this forum.
If you can not substantiate the its origin, it's better you shut up.
 
Next time avoid to use crap in this forum.
If you can not substantiate the its origin, it's better you shut up.
😂 😂 😂 is that how much it has hurt you? Ouch! It really pains 😂
 
mpaka bango limewekwa mean hakuna tena wanaotokea kenya kusoma[emoji38][emoji38].

simply huyo katafuta mpaka kachoka.
You should have asked yourself why they are giving priority to those who schooled in Kenya 😂
 
You should have asked yourself why they are giving priority to those who schooled in Kenya [emoji23]
kwani si huwa tunasema hapa kila siku walikuwa wakifuata kiingereza huko[emoji38][emoji38][emoji38]nowadays kinafundishwa shule za hapa hapa.unfortunatlly huwezi mpa kazi ya ualimu mtoto wa watu aliyesoma private hapa bongo[emoji23][emoji23].

ila wale wakora wahamiaji haramu ndio ilikuwa kimbilio la wamiliki wa hizo kindergartens[emoji23][emoji23]
 
Next time avoid to use crap in this forum.
If you can not substantiate the its origin, it's better you shut up.
Wacha upuuzi. Hii advert imewahi kupostiwa humu mara nyingi sana na ni advert kutoka lazyland republic. Nadhani Mk254 amewahi kulizungumzia hili jambo. MK254 ona huyu jamaa anapinga kwamba ile advert inayotafuta walimu waliosomea Kenya sio advert kutoka TZ
 
kwani si huwa tunasema hapa kila siku walikuwa wakifuata kiingereza huko[emoji38][emoji38][emoji38]nowadays kinafundishwa shule za hapa hapa.unfortunatlly huwezi mpa kazi ya ualimu mtoto wa watu aliyesoma private hapa bongo[emoji23][emoji23].

ila wale wakora wahamiaji haramu ndio ilikuwa kimbilio la wamiliki wa hizo kindergartens[emoji23][emoji23]
Kwa hivyo mtu kuhitimu ualimu Bongo Nora to ajue kiingereza basi?! 😂 😂. Stop looking for excuses. That employer is specifically interested in Tanzanians who schooled in Kenya and there's nowhere he/she has mentioned that the applicant must be English-profficient. He just wants those who went to college in Kenya. Period
 
Wacha upuuzi. Hii advert imewahi kupostiwa humu mara nyingi sana na ni advert kutoka lazyland republic. Nadhani Mk254 amewahi kulizungumzia hili jambo. MK254 ona huyu jamaa anapinga kwamba ile advert inayotafuta walimu waliosomea Kenya sio advert kutoka TZ

Kwa hiyo ikipostiwa mara nyingi hapa JF na MK254 akiizungumzia, then it's already justified to be coming from the credible source. Bichwa lako litakuwa na hitilafu 🤣😂🤣.

Jibu swali: umejuaje kama hapo ni Dar?
 
Back
Top Bottom