Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
KENYA: Wananchi wamekasirishwa na taarifa kuwa Wabunge 20 wamesafiri kwenda nchini Urusi kutazama Kombe la Dunia kwa fedha za umma
Wabunge hao walikwenda kutazama michezo minne na watakaa nchini humo kwa muda wa wiki 2 huku wakitarajiwa kutumia maelfu ya dola
Kwa upande wake Waziri wa Michezo Rashid Echesa, amesema kwamba alitoa idhini kwa Wabunge 6 pekee kusaifiri, ili wakajifunze jinsi matukio makubwa ya kimataifa yanavyoandaliwa
Wananchi kupitia mitandao ya kijamii wamehoji kwamba inakuwaje Wabunge wasafiri maelfu ya kilomita kwenda kushuhudia tukio ambalo hawana uwezo wa kuliandaa?
Pia Wananchi wamehoji ni kwanini Wabunge hao hawawezi kuhudhuria michezo ya ligi ya nchi Kenya lakini wamesafiri hadi Urusi kushudia michuano washiyoshiriki
Wabunge hao walikwenda kutazama michezo minne na watakaa nchini humo kwa muda wa wiki 2 huku wakitarajiwa kutumia maelfu ya dola
Kwa upande wake Waziri wa Michezo Rashid Echesa, amesema kwamba alitoa idhini kwa Wabunge 6 pekee kusaifiri, ili wakajifunze jinsi matukio makubwa ya kimataifa yanavyoandaliwa
Wananchi kupitia mitandao ya kijamii wamehoji kwamba inakuwaje Wabunge wasafiri maelfu ya kilomita kwenda kushuhudia tukio ambalo hawana uwezo wa kuliandaa?
Pia Wananchi wamehoji ni kwanini Wabunge hao hawawezi kuhudhuria michezo ya ligi ya nchi Kenya lakini wamesafiri hadi Urusi kushudia michuano washiyoshiriki