Kenya ni ndugu zetu, majirani zetu na washindani wetu

Kenya ni ndugu zetu, majirani zetu na washindani wetu

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Ni ukweli uliowazi kuwa Kenya na Tanzania ni washindani wakubwa sana kiuchumi kwa Afrika Mashariki. Majirani zetu hawa ambao ni watani wetu, uchumi wao ndio mkubwa Afrika Mashariki. Kuna mengi sana sisi Tanzania tunajifunza kwenu ili kwenda sambamba nanyi ikiwezekana kuwapiku kabisa. Tanzania uchumi wetu unakuwa kwa kasi kubwa japo bado majirani zetu hawa wako mbele yetu. Na sisi tunasema tunajitutumua ili kukimbizana.

Pamoja ushindani wetu huu wakenya ni watu wazuri sana ukilinganisha na majirani wengine wa Afrika Mashariki. Watanzania na wakenya wakikutana nje hujiona karibu zaidi kuliko kuliko mataifa mengine ya majirani. Hawana majivuni, hawana dharau, hawana roho mbaya, tabia tabia za ajabu alafu wako frank. Tumekuwa na maingiliano makubwa sana baina yetu . Binafasi nikumuona mkenya namuona kama mtani wangu vile, kuna watanzania wengi sana wanafanya shuguli zao kenya,kuna watanzania wengi wanafamilia, ndugu na jamaa zao Kenya. Kuna wengine kwenda kenya ni kama kwenda mkoa ndani ya Tanzania. Binafsi najisikia niko na amani nikiwa Kenya kuliko nchi nyingine jirani. Huwa nacheka sana nikisikia mkenya akiongea kiswahili ( acha ile naongea swahili fasaha, nazungumzia ila natamka maneno vibaya).

Mbali na habari tofauti jukwaa hili, lakini naona zaidi ni ushindani wa kiuchumi, huu ushindani naupenda. Hakuna ushindani mzuri kama wa maendeleo na uchumi.

Je na ninyi mnajisikia hivyo kwetu? Mnatuona na kutuchukulia vipi sisi waTZ?
 
Watu wakenya bana wanajivunia sana kingereza sasa sijui kwavile ni wadhaifu kwenye kiswahili ama vipi....ukija Tanzania kingereza watu wanaongea kwenye seminar tu mtaani sahau na ukimkuta Mtz anazungumza kingereza sawasawa basi ujue kasoma haswaa. ....ni lugha ya kiofisi tu mtaani ni kiswahili nyumbani ni kiswahili hadi raha
 
Haina mambo jirani na watani zetu, ni hali ya kuchangamshana na kukumbushiana tu. Japo hilo la kuipiku Kenya naona mtasubiri sana, labda kizazi cha baadaye sana. Leo hii ukuaji wenu upo kwenye 7.9% wakati wetu upo 6.2%, ikumbukwe hata sisi hatujakaa kitako tukisubiri mje. Tunasepa tena kwa speed kali sana, taifa letu lina dira ya nchi ambayo tunaifuata, hata waje viongozi wa upinzani, kila Mkenya anajua tunakokwenda.

Kidogo wakati wa awamu ya Kikwete niliona mkija kwa kasi ya kiaina, kachukua uongozi wakati uchumi wenu unachezea kwenye 4% na kuacha ukiwa 7%. Kafanikisha MDGs nne. Lakini awamu hii ya leo, sioni zaidi ya matamko na kushtukizana maofisini, na kuogopa ogopa vikao vya kimataifa ambavyo ndio muhimu sana katika kuinadi nchi kiuwekezaji. Mnabanana na kupigana vikumbo hadi haieleweki mnakwenda wapi, niliona sehemu mada eti hata rais mstaafu Ali Mwinyi anawasiwasi na jinsi nchi inavyokwenda.

Anyway tuendelee kukimbizana na kunywa beer pamoja, japo mtoke kwenye LDC kwanza ndio tuongee haya ya ushindani.

Halafu naona kuna wale hamkawii kuibuka na mambo ya lugha Kenya, nimesema mara nyingi sisi tuna uhuru kwetu wa kutumia lugha nyingi. Tunaongea zetu za asili, halafu pia Kiswahili na Kingereza. Hatujasindikwa kizimbani cha lugha moja, utafiti wa Kisayansi umebaini IQ ya mtu huboreka pale anajifunza na kuongea lugha kadhaa.
 
Kweli wakenya ni ndugu zetu wala sichukuagi any quarrels here serious lakini kwenye uchumi saivi naona ndugu zetu zaidi ni Uganda kwa kweli nitawaenzi daima waganda kwa hili

God bless Uganda
God bless Museveni.
 
Haina mambo jirani na watani zetu, ni hali ya kuchangamshana na kukumbushiana tu. Japo hilo la kuipiku Kenya naona mtasubiri sana, labda kizazi cha baadaye sana. Leo hii ukuaji wenu upo kwenye 7.9% wakati wetu upo 6.2%, ikumbukwe hata sisi hatujakaa kitako tukisubiri mje. Tunasepa tena kwa speed kali sana, taifa letu lina dira ya nchi ambayo tunaifuata, hata waje viongozi wa upinzani, kila Mkenya anajua tunakokwenda.

Kidogo wakati wa awamu ya Kikwete niliona mkija kwa kasi ya kiaina, kachukua uongozi wakati uchumi wenu unachezea kwenye 4% na kuacha ukiwa 7%. Kafanikisha MDGs nne. Lakini awamu hii ya leo, sioni zaidi ya matamko na kushtukizana maofisini, na kuogopa ogopa vikao vya kimataifa ambavyo ndio muhimu sana katika kuinadi nchi kiuwekezaji. Mnabanana na kupigana vikumbo hadi haieleweki mnakwenda wapi, niliona sehemu mada eti hata rais mstaafu Ali Mwinyi anawasiwasi na jinsi nchi inavyokwenda.

Anyway tuendelee kukimbizana na kunywa beer pamoja, japo mtoke kwenye LDC kwanza ndio tuongee haya ya ushindani.

Halafu naona kuna wale hamkawii kuibuka na mambo ya lugha Kenya, nimesema mara nyingi sisi tuna uhuru kwetu wa kutumia lugha nyingi. Tunaongea zetu za asili, halafu pia Kiswahili na Kingereza. Hatujasindikwa kizimbani cha lugha moja, utafiti wa Kisayansi umebaini IQ ya mtu huboreka pale anajifunza na kuongea lugha kadhaa.

Hujui usemalo zaidi ya kudandia treni kwa mbele mitandaoni.
Mzee Ali Hassan Mwinyi alizungumzia Watanzania kwa ujumla ila gazeti la Mbowe (Tanzania Daima) likapotosha kwa kichwa cha habari cha ovyo.


"Lakini awamu hii ya leo, sioni zaidi ya matamko na kushtukizana maofisini, na kuogopa ogopa vikao vya kimataifa ambavyo ndio muhimu sana katika kuinadi nchi kiuwekezaji".
Ukiangalia habari za kudokoa mtandaoni basi unadhani kuwa unajua kila kitu.Wewe endelea kutafuta habari za wapinzani uchwara ili ujifurahishe. Baadhi ya mafanikio ya Magufuli hadi sasa,hapo hata mwaka mmoja madarakani hajamaliza:
1. Kufufua shirika la ndege, ATCL.
2. Elimu ya msingi hadi sekondari bure na kumaliza tatizo la ukosefu wa madawati.
3. Kurudisha nidhamu na maadili kwa watumishi wa umma, kuondoa watumishi hewa na kuimarisha ukusanyaji wa mapato.
4. Reli ya SGR kuanza kujengwa karibuni na mradi wa bomba lla mafuta Hoima-Tanga.
5. Sera nzuri za uwekezaji zimefanya kuanza kujengwa viwanda vingi kama:
NSSF kujenga kiwanda kipya cha sukari Moro
http://habarileo.co.tz/index.php/bi...oup-kujenga-viwanda-vya-sukari-morogoro-pemba
Ujenzi wa kiwanda cha marumaru waanza Mkuranga - TBC.go.tz
MICHUZI BLOG: KIWANDA CHA NONDO KUIINGIZIA SERIKALI BILIONI 200 ZA KODI
http://www.habarileo.co.tz/index.php/biashara-na-uchumi/15911-kampuni-kujenga-kiwanda-cha-pick-up
https://issamichuzi.blogspot.fi/2016/10/rais-dkt-magufuli-afungua-rasmi-kiwanda.html

6. Ujenzi wa hosteli mpya Chuo kikuu cha DSM na ulipaji madeni kwa wakandarasi wote waliosimamisha ujenzi wa barabara na miradi mingine.
 
Haina mambo jirani na watani zetu, ni hali ya kuchangamshana na kukumbushiana tu. Japo hilo la kuipiku Kenya naona mtasubiri sana, labda kizazi cha baadaye sana. Leo hii ukuaji wenu upo kwenye 7.9% wakati wetu upo 6.2%, ikumbukwe hata sisi hatujakaa kitako tukisubiri mje. Tunasepa tena kwa speed kali sana, taifa letu lina dira ya nchi ambayo tunaifuata, hata waje viongozi wa upinzani, kila Mkenya anajua tunakokwenda.

Kidogo wakati wa awamu ya Kikwete niliona mkija kwa kasi ya kiaina, kachukua uongozi wakati uchumi wenu unachezea kwenye 4% na kuacha ukiwa 7%. Kafanikisha MDGs nne. Lakini awamu hii ya leo, sioni zaidi ya matamko na kushtukizana maofisini, na kuogopa ogopa vikao vya kimataifa ambavyo ndio muhimu sana katika kuinadi nchi kiuwekezaji. Mnabanana na kupigana vikumbo hadi haieleweki mnakwenda wapi, niliona sehemu mada eti hata rais mstaafu Ali Mwinyi anawasiwasi na jinsi nchi inavyokwenda.

Anyway tuendelee kukimbizana na kunywa beer pamoja, japo mtoke kwenye LDC kwanza ndio tuongee haya ya ushindani.

Halafu naona kuna wale hamkawii kuibuka na mambo ya lugha Kenya, nimesema mara nyingi sisi tuna uhuru kwetu wa kutumia lugha nyingi. Tunaongea zetu za asili, halafu pia Kiswahili na Kingereza. Hatujasindikwa kizimbani cha lugha moja, utafiti wa Kisayansi umebaini IQ ya mtu huboreka pale anajifunza na kuongea lugha kadhaa.
Leta source ya utafiti huo tuupime.
 
Bomba la mafuta likikamilika tutakua tunaingiza 4,992,000,000 Tsh kwa siku hivyo hapo kwangu naona Uganda ndio mshindani mzuri wa Tanzania wala sio Kenya hapo bado biashara nyingine kama za Bandari na bidhaa za kawaida.

Washirika wakuu wa Tanzania ni

Uganda
Congo DRC
Rwanda
Burundi
South Sudan
Zambia
Malawi
Kenya
Mozambique
Commoro
 
Yeah majirani pia ndio hupigana vita vikali

Germany/france/uk/russia
Iran/iraq
Yemen/saudi arabia
Ethiopia/somalia/eritrea
Kenya/somalia
SA/Namibia

Na tanzania yaenda huko huko na huyo magu wenu
 
I hate that i crapped on this thread before i read it!!

Pole mtunga mada!
 
Chongchung , pia kiwanda cha viatu Moshi kupitia PPF, pia kiwanda cha nafaka iringa kupitia Nssf. Na largest textile plant Pwani itakayoajiri watu 14000. Na Bakhresa fruit plant Kahama. Umeacha fertilizer plant Mtwara $2 bln. Na coal n steel mines Mchuchuma $3 bln. Three more cement factories by Dangote. Several power generation projects. Wakati LNG plant of $30 bln on drawboards.
 
Msisahau 3 more dangote cement plants plus several power generating plants, Zanzibar port aside mega $11 bln Bagamoyo port that awaits SRG to start. FDI will hit $4 bln very soon.
 
Kweli wakenya ni ndugu zetu wala sichukuagi any quarrels here serious lakini kwenye uchumi saivi naona ndugu zetu zaidi ni Uganda kwa kweli nitawaenzi daima waganda kwa hili

God bless Uganda
God bless Museveni.

Siku zote nahangaika kuwapa Watanzania darasa kwamba biashara za kimataifa hazina cha undugu ila maslahi, rejelea taarifa za kuhusu bomba na sababu za kufanya mwekezaji Total kukomaa na Bongo.
Hamna cha undugu wala nini, mahesabu yaliwekwa wazi kwenye meza na wakakokotoa basi.....
 
MK254, if that the case, why were u celebrating when Uhuru was criss- crossing Europe trying to change Total's stand?
 
Chongchung , pia kiwanda cha viatu Moshi kupitia PPF, pia kiwanda cha nafaka iringa kupitia Nssf. Na largest textile plant Pwani itakayoajiri watu 14000. Na Bakhresa fruit plant Kahama. Umeacha fertilizer plant Mtwara $2 bln. Na coal n steel mines Mchuchuma $3 bln. Three more cement factories by Dangote. Several power generation projects. Wakati LNG plant of $30 bln on drawboards.
Mkuu Geza upcoming investments ni nyingi mno pamoja na hizi ulizotaja kuwa multi billion dollars projects lakini ambazo hazijawa exposed yet ni hatari usisahau the new proposed kiwanda cha kutengeneza magari ambacho kitaanza na assembly kabla ya Christmas then after fully manufacturing.
450-T.png


Soon to be made in Tanzania the company got in terms with JWTZ for the project.
 
chongchung, hawa jamaa ni wanafiki kuna thread humu nilianzisha juu ya bomba la Uganda kipindi cha shuttle diplomacy ilifika hits 20,000 juu ya majigambo yao leo anajaribu kula matapishi.
 
Yeah majirani pia ndio hupigana vita vikali

Germany/france/uk/russia
Iran/iraq
Yemen/saudi arabia
Ethiopia/somalia/eritrea
Kenya/somalia
SA/Namibia

Na tanzania yaenda huko huko na huyo magu wenu
Heheh we jamaa inaonekana ni corrosive sana cause sijaona sababu ya vita kati ya tz na kenya!!!!
Au sababu ni Tz kujitoa kwa visa ya pamoja kwenye utalii!!!!!? Au Magu kukomaa kusain EPA!!!? Embu sema Magu amewafanya nn nyinyi mpk kufananisha na sababu ya vita ya hizo nchi jiran ulizozitaja hapa sabab naona post zako nyingi zinaonyesha unamchukia uyu kiongoz? Alaf vita si lelemama na kumbuka msababishaj wa vita mara nyingi ndiye looser mana naona mnavyojidanganyag sijui mtalipua Dar kwa saa mara sijui kimepanda kimeshuka.
 
Sizitaki mbichi hizi.

Sizitaki mbichi kivipi, mbona huwa mna uzito wa kuelewa chochote. Mimi nimekupa darasa kwamba biashara za kimataifa hazina cha undugu au fadhila bali maslahi, sasa hapo nini usichokielewa. Hamna cha undugu na Uganda au hizo pumba za ujamaa za watu kuishi wakitegemeana.

Bomba tulilipoteza kwa sababu mwekezaji Total alipiga mahesabu na maslahi yake. Hivyo hapakua na jinsi ila kuachia maana yeye ndiye mwenye hela, sio Kenya, sio Tanzania wala Uganda, yeye ndiye mwenye mahesabu. Tulichokua tunafanya ni kujaribu kumshawishi kibiashara na Kisayansi bila kufuata mambo ya undugu au fadhila.

Yeye alipopiga hayo mahesabu, yakaegemea upande wa Tanzania, simple science hamna cha undugu, narudia hilo. Hayo mambo ya ujamaa yawatoke, ulimwengu wa sasa hauna hayo mambo. Mlizungushwa na huo ujamaa hadi mkawa na kiherehere cha kufuata ugomvi wa nchi za Afrika Kusini na Uganda, leo hii mpo maskini kwa ajili yake. Hamkujufunza kitu, bado mnafuata fuata mambo ya ukaka na udada.
 
Back
Top Bottom