Kenya ni ndugu zetu, majirani zetu na washindani wetu

Kenya ni ndugu zetu, majirani zetu na washindani wetu

Sizitaki mbichi kivipi, mbona huwa mna uzito wa kuelewa chochote. Mimi nimekupa darasa kwamba biashara za kimataifa hazina cha undugu au fadhila bali maslahi, sasa hapo nini usichokielewa. Hamna cha undugu na Uganda au hizo pumba za ujamaa za watu kuishi wakitegemeana.

Bomba tulilipoteza kwa sababu mwekezaji Total alipiga mahesabu na maslahi yake. Hivyo hapakua na jinsi ila kuachia maana yeye ndiye mwenye hela, sio Kenya, sio Tanzania wala Uganda, yeye ndiye mwenye mahesabu. Tulichokua tunafanya ni kujaribu kumshawishi kibiashara na Kisayansi bila kufuata mambo ya undugu au fadhila.

Yeye alipopiga hayo mahesabu, yakaegemea upande wa Tanzania, simple science hamna cha undugu, narudia hilo. Hayo mambo ya ujamaa yawatoke, ulimwengu wa sasa hauna hayo mambo. Mlizungushwa na huo ujamaa hadi mkawa na kiherehere cha kufuata ugomvi wa nchi za Afrika Kusini na Uganda, leo hii mpo maskini kwa ajili yake. Hamkujufunza kitu, bado mnafuata fuata mambo ya ukaka na udada.
Hahahaaaaa kweli kuachwa kubaya sana unaweza hata kuchanganyikiwa sasa feasibility study ilikua imeshafanyika muda mrefu na feasibility report ilikua imeshatoka muda mrefu hata kabla Kenyatta hajaanza kuzurura Total HQ Paris kutafuta muarobaini wa kujengewa Kenya.

Ina maana hakuzingatia report na upembuzi yakinifu kazi ya Total ilikua ni kuishauri Uganda government kuhusu route nzuri swala la ipite wapi hilo lilikua la Museveni himself thanks to Museveni remembered the redemption of his country Tanzania fought for Museveni got his higher education in Tanzania, Tanzania had powered Museveni with military service to get in regiment and many more we did for Uganda moreover Magufuli accountability.

Nyamaza kama hauijui mausiano yetu na Uganda.
 
6. Ujenzi wa hosteli mpya Chuo kikuu cha DSM na ulipaji madeni kwa wakandarasi wote waliosimamisha ujenzi wa barabara na miradi mingine.

i am eternally greatful that kenya moved away from roadside presidential declarations.

but if it keeps tanzania on the right path i am all for it

maghufuli says "sisi tutaleta pesa TBA.....nitawapa kazi..... mimi sindiye rais" that was a cold reminder of kenya under moi.
 
MK254, Total watalipa 60% ya total cost wakati 40% watagawana Uganda na Tanzania. Ila uzuri DRC nao wako kwenye mazungumzo kwa hiyo hiyo 40% itagawanywa zaidi. Wakati South Sudan wameanza nao mazungumzo.
 
Hahahaaaaa kweli kuachwa kubaya sana unaweza hata kuchanganyikiwa sasa feasibility study ilikua imeshafanyika muda mrefu na feasibility report ilikua imeshatoka muda mrefu hata kabla Kenyatta hajaanza kuzurura Total HQ Paris kutafuta muarobaini wa kujengewa Kenya.

Ina maana hakuzingatia report na upembuzi yakinifu kazi ya Total ilikua ni kuishauri Uganda government kuhusu route nzuri swala la ipite wapi hilo lilikua la Museveni himself thanks to Museveni remembered the redemption of his country Tanzania fought for Museveni got his higher education in Tanzania, Tanzania had powered Museveni with military service to get in regiment and many more we did for Uganda moreover Magufuli accountability.

Nyamaza kama hauijui mausiano yetu na Uganda.

Kama ilivyo kawaida kwa Watanzania, huwa mna "thickness" ya kiaina, na inachukua nguvu nyingi kumwelewesha Mtanzania chochote. Nakujibu kwa mara ya mwisho, maamuzi ya kutumia mkondo wa Tanzania yalifanywa kwa kutumia pure scientific observations, "least cost option".

Hapakua na hizo pumba za undugu wala nini. Mojawapo wa sababu kubwa ni kwamba ardhi Tanzania ni ya serikali, hivyo serikali ina uwezo wa kunyofoa kipande chochote cha ardhi wakati wowote na bila pingamizi ya aina yoyote, tofauti na ilivyo Kenya ambapo lazima ununue ardhi kutoka kwa raia.

Kenya kama capitalist, tunapiga mahesabu yetu na kujaribisha kujinadi, na ndio kitu tulikua tunafanya. Rais wetu anachokifanya kinaridhisha sana, hata kwenye hili la bomba, alijaribu kupindisha kama mwanabiashara, japo mwekezaji wa Total ambaye ndiye mwenye hela akagoma.

Ukikumbuka Toyota walifanya upembuzi yakinifu mwanzo na kupokeza taarifa kwamba kupitia Lokichar-Lamu ingekua nafuu kwa Mganda. Lakini kama ilivyo kwa Waafrika, Muganda hana hela, hata leo hii kiwanda cha kusafisha mafuta/refinery amekipiga kalenda hadi 2020 kwa sababu Mrusi amegoma kutoa hela. Hivyo inabidi asalimu amri. Hata hayo mafuta hakua anajua kwamba anayo, ilibidi Mzungu aje na kufanya utafiti wa kuyagundua, kama ilivyo gesi kwenu, miafrika hamkujua mna hizo raslimali, na ndio maana Mtwara wakapiga makelele lakini wakazimwa kwa sababu hata wangeachiwa hawangeweza kuichimba wao wenyewe.

Mambo ya undugu tupa kuleee, ingekua hayo ndio yanazingatiwa, Museveni (ambaye mlimwaga damu Uganda ili kumpa yeye madaraka ya udikteta) leo hii angefanya biashara na Tanzania zaidi ya Kenya. Lakini leo hii trade relation ya Kenya na Uganda imezidi pakubwa ile ya Tanzania na Uganda, nenda kwenye matakwimu ujifunze kitu. Leo hii Kenya tunatamba SADC na kutanua, nyie kiherehere kiliwatuma mkaingilia ugomvi wa nchi za watu, leo hii mnabeba mabox tu kule Afrika Kusini wakati sisi tunawekeza. Wakianza kusaka makwerekwere mitaani, mnapigwa pia. Hebu jaribu kuwaambia hao vijana wa leo wa Afrika Kusini eti mnabeba mabox kwao kwa sababu mliwapigania, watakucharanga mapanga. Hilo hawalijui na hawana muda nalo.

Haya kwaheri ndio ya mwisho kukujibu kwenye hili suala maana "thickness" yenu ni nzito sana, na ndio maana mpo nyuma kiasi hiki. Hadi waajiri Tanzania wanaona heli wawatafute wageni, wawalipie vibali, nauli, na gharama za mahoteli waje wafanye kazi ambazo Watanzania wazawa wapo ambao wanaweza kuzifanya, lakini uzembe na ubumbumbu wa kiaina unawalemaza nyie.
 
Rafiki wa kweli ni Uganda huwa nina amani zaidi nikiwa na Mganda kuliko Mnigeria wa Afrika Mashriki means Mkenya
 
Kuna mkenya mmoja namjua karibu na kazini kwangu ana maringo kiburi na zarau anawaharibia sifa wakenya yaani imefikia hatua hata vijana wa bodaboda wakimuona hawana habar naye hawataki hata kumpakia.
 
Kama ilivyo kawaida kwa Watanzania, huwa mna "thickness" ya kiaina, na inachukua nguvu nyingi kumwelewesha Mtanzania chochote. Nakujibu kwa mara ya mwisho, maamuzi ya kutumia mkondo wa Tanzania yalifanywa kwa kutumia pure scientific observations, "least cost option".

Hapakua na hizo pumba za undugu wala nini. Mojawapo wa sababu kubwa ni kwamba ardhi Tanzania ni ya serikali, hivyo serikali ina uwezo wa kunyofoa kipande chochote cha ardhi wakati wowote na bila pingamizi ya aina yoyote, tofauti na ilivyo Kenya ambapo lazima ununue ardhi kutoka kwa raia.

Kenya kama capitalist, tunapiga mahesabu yetu na kujaribisha kujinadi, na ndio kitu tulikua tunafanya. Rais wetu anachokifanya kinaridhisha sana, hata kwenye hili la bomba, alijaribu kupindisha kama mwanabiashara, japo mwekezaji wa Total ambaye ndiye mwenye hela akagoma.

Ukikumbuka Toyota walifanya upembuzi yakinifu mwanzo na kupokeza taarifa kwamba kupitia Lokichar-Lamu ingekua nafuu kwa Mganda. Lakini kama ilivyo kwa Waafrika, Muganda hana hela, hata leo hii kiwanda cha kusafisha mafuta/refinery amekipiga kalenda hadi 2020 kwa sababu Mrusi amegoma kutoa hela. Hivyo inabidi asalimu amri. Hata hayo mafuta hakua anajua kwamba anayo, ilibidi Mzungu aje na kufanya utafiti wa kuyagundua, kama ilivyo gesi kwenu, miafrika hamkujua mna hizo raslimali, na ndio maana Mtwara wakapiga makelele lakini wakazimwa kwa sababu hata wangeachiwa hawangeweza kuichimba wao wenyewe.

Mambo ya undugu tupa kuleee, ingekua hayo ndio yanazingatiwa, Museveni (ambaye mlimwaga damu Uganda ili kumpa yeye madaraka ya udikteta) leo hii angefanya biashara na Tanzania zaidi ya Kenya. Lakini leo hii trade relation ya Kenya na Uganda imezidi pakubwa ile ya Tanzania na Uganda, nenda kwenye matakwimu ujifunze kitu. Leo hii Kenya tunatamba SADC na kutanua, nyie kiherehere kiliwatuma mkaingilia ugomvi wa nchi za watu, leo hii mnabeba mabox tu kule Afrika Kusini wakati sisi tunawekeza. Wakianza kusaka makwerekwere mitaani, mnapigwa pia. Hebu jaribu kuwaambia hao vijana wa leo wa Afrika Kusini eti mnabeba mabox kwao kwa sababu mliwapigania, watakucharanga mapanga. Hilo hawalijui na hawana muda nalo.

Haya kwaheri ndio ya mwisho kukujibu kwenye hili suala maana "thickness" yenu ni nzito sana, na ndio maana mpo nyuma kiasi hiki. Hadi waajiri Tanzania wanaona heli wawatafute wageni, wawalipie vibali, nauli, na gharama za mahoteli waje wafanye kazi ambazo Watanzania wazawa wapo ambao wanaweza kuzifanya, lakini uzembe na ubumbumbu wa kiaina unawalemaza nyie.
Eti pesa za kujenga kiwanda!!! investor anajenga kwa gharama zake then anakua anapata percentage Fulani kuendana na share zake kwenye investment companies nyingi za mafuta lazima wawe permanent share holders kwenye projects hii issue ya Uganda wapo investors sio chini ya watatu hao wote watatoa technical, technology, financial and other material support to facilitate the project Uganda itakua share holder kwenye project kama owner wa hiyo resource.

Hivyo kila share holders kwenye project atadhaminishwa share value kuendana na contribution yake kwenye project ambapo obviously total na Chinese companies must play major part in technology and infrastructures enhancing the project and Uganda should stand with her oil as major contribution to the project then after shares will be divided and valued according to the terms of agreements.

Kama swala hulijui uliza upewe shule that's how they are doing even Mideast and many other OPEC countries.
 
MK254 so how do we call lobbying done by Uhuru to Hollainde in Paris after Total gave technical deliberations that pipeline will go through Tanzania? Was that u boasting ati mko aggresive with that off the norms approach on procurement n tendering process? Au Uhuru alidhani Hollainde ni Mkikuyu mwenzie afanye mpango wa kando ashinde pipeline deal kwa corruption. Uache ujinga.
 
chongchung, hawa jamaa roho inawauma ile mbaya! Tangu wakose pipeline ntafurahi tukizindua mradi wa reli ya kati, JPM aalike maraisi wote wa EAC hata DRC ila Uhuru asialikwe kumkumbushia fitna za Uhuru kwa JK ili wapige kelele zaidi.
 
Kafrican pole sana najua frustration za kupigwa nje kila wakati zinaleta hasira.
I've never been more proud of my country than these times.... Juzi nilikua natembea town nikaskia wimbo wa taifa unapigwa, nikasimama attention proud kabisa!!!!! watu wengine walikua bado wanatembea, waliponiona nimesimama pia hao wakaanza kusimama.... after wimbo umeisha wakaanza ku smile, tukaanza kusalimiana na ma strangers.... yani it was one of thise moment unarealise watu wamezidi kua patriotic.....

kwahivyo if you think kukosa deal moja ya pipeline itani frustrate, pole sana, deal ni nyingi tu.... but I am proud that sisi huendea kila deal, na tunatumia nguvu na uwezo wetu wote ili tupate hizo deals, hatuogopi kuteguka, hatuogopi kukosa, tukipata tunashukuru na kusherekea, tukikosa na kuanguka, tunajiokota na kujikuta vumbi na tunasonga mbele kutafuta nyengine...
this is a country that did not exists 1 century ago, tumezoea kutafuta kile tunachotaka, mambo ya kungoja kua favoured na rotuba sisi hatuyajui
 
chongchung, hawa jamaa roho inawauma ile mbaya! Tangu wakose pipeline ntafurahi tukizindua mradi wa reli ya kati, JPM aalike maraisi wote wa EAC hata DRC ila Uhuru asialikwe kumkumbushia fitna za Uhuru kwa JK ili wapige kelele zaidi.
Geza pamoja na kwamba Tutaanza na trillion moja zetu wenyewe kuwaonyesha ni jinsi gani tupo serious kwenye hii project Chinese financiers exim bank wamesema walikua na speed ya 100 per hour lakini saivi ni 200 per hour kuendana na hari ya JPM kuipeleka nchi kwenye industrial economy.

“Mheshimiwa Rais Magufuli nimeielewa dhamira yako na kiu uliyonayo, naona kabisa kwamba dhamira ya kisiasa ipo ya kutosha, tunachotakiwa kukifanya ni kuwasukuma wataalamu wetu waongeze kasi, na mimi nakuahidi kuwa tulikuwa tunakwenda kwa kasi ya kilometa 100 kwa saa, sasa tutaongeza na kwenda kilometa 200 kwa saa” amesema Mhe. Qian Keming.

MICHUZI BLOG: RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI WA BIASHARA WA JAMHURI YA WATU WA CHINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
 
Kafrican niambie habari ya kuchokora mdufu! Huko kenya huwa mnachokora hadharani kwani hamna choo? Au hamtawadhi?
 
Back
Top Bottom