Kenya ni taifa lililokomaa katika ubepari. Badala ya kuwapiga vita na kuwachukia tujifunze kutoka kwao na historia yetu

Kenya ni taifa lililokomaa katika ubepari. Badala ya kuwapiga vita na kuwachukia tujifunze kutoka kwao na historia yetu

Familia Kuishi kibepari ni kupi na kuishi kijamaa ni kupi
mfano wewe unahangaika na makalio yako tu,hujijhusishi na wazazi wako wala ndugu zako kwa lolote.

lakini kama mwisho wa mwezi kuna watu nje ya nyumba yako wanakumiza kichwa,kachambe ulale.hujui hata unachokishabikia.
 
siku ukijua alikuwa sehemu ya serikali hiyo utaacha undezi.
Kwa hiyo ulivyo pimbi kuwa sehemu ya serikali ya Jiwe ndio kukubaliana na Jiwe? Haya kunywa sumu ukamsaidie kuongoza malaika mama ndio huyoo kafungua nchi na anakwenda opp na Jiwe waliokuwa nae,huoni ulivyo fala?

Na kwenye chama alipata kura zote na hakuna wa kusogeza pua hiyo ni mpaka 2030,ukiwea hamia North Korea kuna watu mnaofanana mawazo kenge wewe
 
Aliyekuwa rais wa Urusi Joseph Stalin baada ya kifo chake alirithiwa na Nikita Khrushchev. , Siku moja Rais Nikita akiwa ana hutubia Kamati Kuu huku akipinga sera nyingi ya mtangulizi wake, Mjumbe mmoja bila ya kujitambulisha alikereka na akamuandikia ki note cha kumshutumu na kumlaumu, "we Nikita ulikua msaidizi wa Stalin, "kwa nini hukusema haya kipindi hicho Stalin akiwa hai?" Nikita akakisoma na akaomba Mjumbe aliye andika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu .Hakuna mkono uliyo nyooshwa, Nikita akasema "kinacho kushinda wewe kunyoosha mkono leo , ndo hicho hicho kilicho nishinda mimi kusema enzi hizo".
C&P
siku ukijua alikuwa sehemu ya serikali hiyo utaacha undezi.
 
Aliyekuwa rais wa Urusi Joseph Stalin baada ya kifo chake alirithiwa na Nikita Khrushchev. , Siku moja Rais Nikita akiwa ana hutubia Kamati Kuu huku akipinga sera nyingi ya mtangulizi wake, Mjumbe mmoja bila ya kujitambulisha alikereka na akamuandikia ki note cha kumshutumu na kumlaumu, "we Nikita ulikua msaidizi wa Stalin, "kwa nini hukusema haya kipindi hicho Stalin akiwa hai?" Nikita akakisoma na akaomba Mjumbe aliye andika anyooshe mkono juu amtambue ili amjibu .Hakuna mkono uliyo nyooshwa, Nikita akasema "kinacho kushinda wewe kunyoosha mkono leo , ndo hicho hicho kilicho nishinda mimi kusema enzi hizo".
C&P
halafu waandishi wakapiga makofi wakiamini wana kiongozi sahihi kwa wakati huo sio uliopita wa stalin.
 
Hakuna kiongozi sahihi kwa kila kundi la watu ila kuna viongozi wabaya na wafedhuli kuliko wengine kwa makundi mengi ya watu katika jamii
halafu waandishi wakapiga makofi wakiamini wana kiongozi sahihi kwa wakati huo sio uliopita wa stalin.
 
Ni Kenya iliyokomaa au waingereza waliowekeza mle huku Kenya na wakenya wakiambulia umaskini kuliko hata watanzania ukiachia wachache wenye madaraka? Umaskini wa mwananchi wa kawaida wa Kenya ni mkubwa kuliko wa mwananchi maskini wa Tanzania.
Hawajui wanacho kisema. Ni malimbukeni hayo.
 
Kenya ndio kimbilio la watz wateswao na tawala dhalimu za kijamaa pale matajiri walipotakiwa wawe masikini.Kwenye ujamaa kuna mtawala na mtawila na kwenye ubepari kuna kiongozi na wanaongozwa.Kwenye ujamaa ni marufuku kwa mtawaliwa kuwa tajiri au maarufu kuliko mtawala hili kosa uhujumu uchumi ni lzm utakuhusu ikibidi kuuwawa.Kwenye ubepari we kuwa tajiri uwezavyo hata kuizidi serikali lakini tu usivunje sheria za nchi itashughulikiwa.
 
Ukisikia mtu anasifia siasa ya ujamaa ujue huyo ni juha.
Jua utakuwa wewe usiyejua nini kiko nyuma yako. Nyuma ya kenya kuna mwamerika, mwingereza na nchi nyingine za Ulaya magharibi ikiwemo na India.

Waingereza, waholanzi na wajerumani wamemiliki mashamba makubwa makubwa toka enzi ya Jomo Kenyatta, zamani tulikuwa tunawaita masettlers. Hata sisi huku kabla ya azimio la Arusha tulikuwa nao. Hayati Mwalimu Nyerere akawatimua.

Wahindi wao wamejikita kwenye viwanda na biashara. Wakenya wenyewe wameachiwa nyanja za kupiga midomo ya kisiasa na serikalini. Zaidi ya hayo wakenya wenyewe hawana kitu na ndiyo maana utaona wakenya wengi wamekimbia nchi yao. Wako nje wakiwahenyekea wazungu na waarabu na wanawake wao wakipiga umalaya uzunguni na Uarabuni.

Nikupe siri. Kenya ni setllite ya mabeberu kwa ajili ya kuidhoofisha Tanzania kama ilivyo ujerumani magharibi kuidhohofisha ujerumani mashariki. Wakenya wenyewe hawana say. Kila kitu wanapangiwa na mabeberu. Na ndiyo maana wako kila mara fester fester kusini mikataba ya kijinga bila kujiuliza ya wazungu.

Uchumi unao uona au kuusikia sio kweli ni uchumi wa wakenya. Huo ni uchumi ambao makampuni ya kibeberu yanapata, hivyo inaonekana kama Kenya ndiyo inanufaika, si kweli. Wakenya wanamitaji gani? Na waipate wapi?

Unajua kuwa ili kutengeneza SGR yao ya karne ya 19 wameiweka bandari yao ya Mombasa rehani kwa wachina? Unajua mpaka sasa hiyo treni yao inaendeshwa na wachina mpaka warudishe hela zao? Na nikuambie kitu wasipo angalia wachina watawachezea michezo wa kutopata faida. Utanikumbuka tu siku.
 
Maneno mengi pointi sifuri
Jua utakuwa wewe usiyejua nini kiko nyuma yako. Nyuma ya kenya kuna mwamerika, mwingereza na nchi nyingine za Ulaya magharibi ikiwemo na India.

Waingereza, waholanzi na wajerumani wamemiliki mashamba makubwa makubwa toka enzi ya Jomo Kenyatta, zamani tulikuwa tunawaita masettlers. Hata sisi huku kabla ya azimio la Arusha tulikuwa nao. Hayati Mwalimu Nyerere akawatimua.

Wahindi wao wamejikita kwenye viwanda na biashara. Wakenya wenyewe wameachiwa nyanja za kupiga midomo ya kisiasa na serikalini. Zaidi ya hayo wakenya wenyewe hawana kitu na ndiyo maana utaona wakenya wengi wamekimbia nchi yao. Wako nje wakiwahenyekea wazungu na waarabu na wanawake wao wakipiga umalaya uzunguni na Uarabuni.

Nikupe siri. Kenya ni setllite ya mabeberu kwa ajili ya kuidhoofisha Tanzania kama ilivyo ujerumani magharibi kuidhohofisha ujerumani mashariki. Wakenya wenyewe hawana say. Kila kitu wanapangiwa na mabeberu. Na ndiyo maana wako kila mara fester fester kusini mikataba ya kijinga bila kujiuliza ya wazungu.

Uchumi unao uona au kuusikia sio kweli ni uchumi wa wakenya. Huo ni uchumi ambao makampuni ya kibeberu yanapata, hivyo inaonekana kama Kenya ndiyo inanufaika, si kweli. Wakenya wanamitaji gani? Na waipate wapi?

Unajua kuwa ili kutengeneza SGR yao ya karne ya 19 wameiweka bandari yao ya Mombasa rehani kwa wachina? Unajua mpaka sasa hiyo treni yao inaendeshwa na wachina mpaka warudishe hela zao? Na nikuambie kitu wasipo angalia wachina watawachezea michezo wa kutopata faida. Utanikumbuka tu siku.
 
Ziara ya Rais Samia Kenya imewaibua wafahidhina makanjanja wasiojua chochote kuhusu umuhimu wa mahusiano mazuri kwa manufaa biashara na uchumi kati ya nchi mbili.

Wameibuka vihiyo wenye mawazo ya kijima wanaofikiri vita vya kibiashara na mahusiano mabovu katika ya Kenya na Tanzania yana faida kwetu Tanzania.

Inashangaza kuona maelfu ya nyuzi za kumpinga Rais Samia zikipanda jukwaani baada ya kuonyesha muelekeo wa kurejesha uhusiano wetu na Kenya uliporomoka vibaya miaka mitano iliyopita na kupelekea kushuka vibaya sana kwa ujazo wa biashara kati ya nchi hizi mbili.

Kuna watu wanalia na kupiga mayowe hata Kenya kuuziwa gesi na Tanzania wakisema haitutoshi, wameacha kelele za Stiglers Gorge sasa wamerudi kwenye gesi tena waliyosema imepewa mabeberu.

Nyie wafahidhina uchwara mnaofikiri Kenya inainyonya tu Tanzania ndio maana imepiga hatua kubwa katika uchumi wa viwanda kutuzidi isomeni historia vizuri muone ni jinsi gani Kenya pamoja na matatizo yake mengi walivyojenga uchumi wao endelevu wa soko wakati sisi tunakomaa na ujamaa wetu na sera kujifungia ndani kwa takribani ya miongo 3, miaka 24 ya Nyerere na 5 ya Magufuli.
Mkuu, kuuza gas mbona jambo jema sana. Hakuna hata mmoja mwenye kupinga, maadam tunapata inflows of cash.

Watu wengi tunashangazwa na kuona taarifa mkuu wa nchi akisaini mkataba wa makubaliano ya kujenga pipeline. Hatujawahi kusikia huko nyuma kuwa kuna mazungumzo ya awali na Kenya kuwazia gas na itafanyika kwa kujenga pipeline.

ila itoshe kusema, tuna imani na madam President, ni mzalendo sana kama alivyokuwa mwendazake. Ila pengine mode of operandi kwake ni tofauti na mwendazake.

Kenya hakuna anaewachukia, ila inafahamika, wale ni wakora. Walipora mali nyingi za East Africa baada ya jumuia kufa. KQ kwa asilimia kubwa imejijenga juu ya assets za jumuiya na wangekuwa waungwana baada ya jumuia kufa kuwa na mgao wa mali na madeni.

Viwanda vya chai na kahawa vingi vilikuwa mali ya EA; Tanzania ikiwa na mashamba makubwa, wao wakiwa wanafanya processing. Baada ya jumuiya kufa, walipora kiroho safi. Ukiumwa na nyoka, au kama umewahi kudhulumiwa na mtu huyo huyo, uwoga ni akili.

Dangote amekwenda kuwekeza Kenya kiwanda cha Cement wakataka rushwa akashindwa mpaka akakimbilia Ethiopia. Mburushi wa Igunga nae amekwenda kujaribu kuwekeza kwenye gas na mtaji wa USD 30mil; jamaa wamemzungusha kwa miaka minne.

Nyerere alikuwa mtu muungwana sana na bingwa wa kutatua mizozo, kuna wakati Wakenya hawahawa walizingua to the extent Tanzania kufunga mipaka na Kenya.
JK one of the top diplomat, walishindwana na Wakenya, mpaka wakamtenga na Kenya akiwa ring leader wa coalition of the willing.

Hii major shift ya madam President ile kufanya ziara tu, na kusaini mradi wa bomba la gas, swali , kwanini imekuwa haraka kiasi hicho?

Sio zamani sana, ni miaka 3 imepita, Balozi wa Kenya hapa nchini alimshika mkono mfanyabiashara mmoja wa Kenya na kampuni yake ya Indo Power Solutions, akasaini mkataba wa awali kununua 100,000 tonnes za korosho za thamani ya US$180.2 million (sawia na TZS 417.4 bn)

Haikuwa mbaya kujaribu kusaini mkataba wa awali, ili angepata pesa za mkopo na kulipa, angechukua tani laki 1 za korosho. Cha ajabu hakununua na baadhi ya media zao baada ya hapo wakaja na habari za uwongo kuwa serikali ya Tanzania imegoma kumuuzia Mkenya licha ya kuwa one the highest bidder!

Tanzania haijawahi kumwonea wivu Kenya, ndio maana Tanzania imefungulia goli kwa kampuni nyingi tu za Kenya kuwekeza Tanzania, unlike wao kufunga milango.

Hapa ni lazima kuwa na equitable way of doing business kati ya nchi hizi mbili.
 
Mkuu, kuuza gas mbona jambo jema sana. Hakuna hata mmoja mwenye kupinga, maadam tunapata inflows of cash.

Watu wengi tunashangazwa na kuona taarifa mkuu wa nchi akisaini mkataba wa makubaliano ya kujenga pipeline. Hatujawahi kusikia huko nyuma kuwa kuna mazungumzo ya awali na Kenya kuwazia gas na itafanyika kwa kujenga pipeline.

ila itoshe kusema, tuna imani na madam President, ni mzalendo sana kama alivyokuwa mwendazake. Ila pengine mode of operandi kwake ni tofauti na mwendazake.

Kenya hakuna anaewachukia, ila inafahamika, wale ni wakora. Walipora mali nyingi za East Africa baada ya jumuia kufa. KQ kwa asilimia kubwa imejijenga juu ya assets za jumuiya na wangekuwa waungwana baada ya jumuia kufa kuwa na mgao wa mali na madeni.

Viwanda vya chai na kahawa vingi vilikuwa mali ya EA; Tanzania ikiwa na mashamba makubwa, wao wakiwa wanafanya processing. Baada ya jumuiya kufa, walipora kiroho safi. Ukiumwa na nyoka, au kama umewahi kudhulumiwa na mtu huyo huyo, uwoga ni akili.

Dangote amekwenda kuwekeza Kenya kiwanda cha Cement wakataka rushwa akashindwa mpaka akakimbilia Ethiopia. Mburushi wa Igunga nae amekwenda kujaribu kuwekeza kwenye gas na mtaji wa USD 30mil; jamaa wamemzungusha kwa miaka minne.

Nyerere alikuwa mtu muungwana sana na bingwa wa kutatua mizozo, kuna wakati Wakenya hawahawa walizingua to the extent Tanzania kufunga mipaka na Kenya.
JK one of the top diplomat, walishindwana na Wakenya, mpaka wakamtenga na Kenya akiwa ring leader wa coalition of the willing.

Hii major shift ya madam President ile kufanya ziara tu, na kusaini mradi wa bomba la gas, swali , kwanini imekuwa haraka kiasi hicho?

Sio zamani sana, ni miaka 3 imepita, Balozi wa Kenya hapa nchini alimshika mkono mfanyabiashara mmoja wa Kenya na kampuni yake ya Indo Power Solutions, akasaini mkataba wa awali kununua 100,000 tonnes za korosho za thamani ya US$180.2 million (sawia na TZS 417.4 bn)

Haikuwa mbaya kujaribu kusaini mkataba wa awali, ili angepata pesa za mkopo na kulipa, angechukua tani laki 1 za korosho. Cha ajabu hakununua na baadhi ya media zao baada ya hapo wakaja na habari za uwongo kuwa serikali ya Tanzania imegoma kumuuzia Mkenya licha ya kuwa one the highest bidder!

Tanzania haijawahi kumwonea wivu Kenya, ndio maana Tanzania imefungulia goli kwa kampuni nyingi tu za Kenya kuwekeza Tanzania, unlike wao kufunga milango.

Hapa ni lazima kuwa na equitable way of doing business kati ya nchi hizi mbili.
Umenena vizuri sana. Asiye kuelewa hapo, basi ningemshauri amtafute psychiatrist.
 
Back
Top Bottom