Kenya ni ukabila, ukabila ni Kenya haviwezi kutenganishwa, Wakamba wamkingia kifua Sonko

Kenya ni ukabila, ukabila ni Kenya haviwezi kutenganishwa, Wakamba wamkingia kifua Sonko

Wakenya ni wasomi lakin ujinga unaohusu UKABILA sijui utawaisha lini,,, Watu weusi tii kama mkaa lakin wanajengena mipaka.

Aya Ni mambo baadhi yanayotufukarisha na kujenga ubaguzinwa sisi kwa sisi ni ukabila na dini
 
Wakenya ni wasomi lakin ujinga unaohusu UKABILA sijui utawaisha lini,,, Watu weusi tii kama mkaa lakin wanajengena mipaka.

Aya Ni mambo baadhi yanayotufukarisha na kujenga ubaguzinwa sisi kwa sisi ni ukabila na dini
Wakenya wamesoma, lakini hawajaelimika!! Wangekuwa wameelimika. Wasingeendekeza ukabila!!
 
Wewe ni Msukuma kwanza kabla hujawa Mtanzania

Watanzania tunajidanganya na huu unafiki

Eti mimi Mtanzania sio mtu mwingine

What a stupid lie

Umezaliwa na umelelewa Usukumani huko,kabla hata hujajua hii dunia unajua nyumba yenu then kijiji,then tarafa then wilaya then mkoa baadae ukiwa mtu mzima ndio unajua hii ni Tanzania

Tunarudi pale pale,sisi Watanzania ni wanafiki,tunaongea vitu vya uongo

Sehemu kubwa ya waTanzania sasa hivi wamelelewa mbali kabisa na makuzi ya kikabila, karibia wote wamelelewa na desturi za Kiswahili na ndio maana tunajiita waTanzania.

Toka asubuhi mpaka jioni hamna mahali kabila langu limenisaidia. Kuwa mkurya au mhaya hakuna lolote ambalo nalipata kwa kuwa hayo makabila.. nikienda kupata huduma yoyote naipata kwa sababu ya utaifa wangu na sio kabila langu..

So ndio mimi ni mtanzania.
 
Wewe ni Msukuma kwanza kabla hujawa Mtanzania

Watanzania tunajidanganya na huu unafiki

Eti mimi Mtanzania sio mtu mwingine

What a stupid lie

Umezaliwa na umelelewa Usukumani huko,kabla hata hujajua hii dunia unajua nyumba yenu then kijiji,then tarafa then wilaya then mkoa baadae ukiwa mtu mzima ndio unajua hii ni Tanzania

Tunarudi pale pale,sisi Watanzania ni wanafiki,tunaongea vitu vya uongo

Labda wewe ndiyo mnafiki.
 
Wewe ni Msukuma kwanza kabla hujawa Mtanzania

Watanzania tunajidanganya na huu unafiki

Eti mimi Mtanzania sio mtu mwingine

What a stupid lie

Umezaliwa na umelelewa Usukumani huko,kabla hata hujajua hii dunia unajua nyumba yenu then kijiji,then tarafa then wilaya then mkoa baadae ukiwa mtu mzima ndio unajua hii ni Tanzania

Tunarudi pale pale,sisi Watanzania ni wanafiki,tunaongea vitu vya uongo
Tatizo lako ni uelewa finyu wa mambo, tofautisha kati ya "kabila vs Ukabila"
 
Well,thats your opinion just like mine

Its interesting Watanzania tumejaa unafiki na denial kiasi hiki

Magonjwa tunakataa,kila kitu tunakataa

Wewe umezaliwa kwenye Chagga house and family...kijiji ulichokulia ni Wachagga

Eti ulivyo mnafiki,eti leo unakana wewe kwanza hukua Mchagga,hujawahi kua Mchagga,wewe ni directly Mswahili hujawahi pitia Uchagga

Manafiki matupu!
Hili jamaa si ndio lile tulikubaliana kulipuuza!
 
Wewe ni Msukuma kwanza kabla hujawa Mtanzania

Watanzania tunajidanganya na huu unafiki

Eti mimi Mtanzania sio mtu mwingine

What a stupid lie

Umezaliwa na umelelewa Usukumani huko,kabla hata hujajua hii dunia unajua nyumba yenu then kijiji,then tarafa then wilaya then mkoa baadae ukiwa mtu mzima ndio unajua hii ni Tanzania

Tunarudi pale pale,sisi Watanzania ni wanafiki,tunaongea vitu vya uongo
Wasukuma wamebadilisha taifa limekuwa utawala wa kisukuma
 
Ndio shida hii

Kwavile Msukuma ana madaraka kwenye hili taifa kwa lazima anasukumiza usukuma kwenye makoo yetu kwa lazima

Kwa lazima jamaa ka-sukumize the whole nation

Huu ndio classic udikteta wa ukabila

Waache watu na makabila yao na wewe baki na lako

Tukifika kwenye mambo ya taifa au federal government tumekubaliana tutumie English na Kiswahili kuwasiliana na kujiendesha

Kila mtu awe huru na kabila na utamaduni wake,hii ku-criminalize origins za watu na kuwavisha Uswahili ambao ni utamaduni wa Pwani kwa lazima au Usukuma unavyolazimishwa kwa sasa,ni kosa na upumbavu

I really hate it when watu wanajitahidi kuua makabila ya watu wengine kwa namna hii,kabila la mtu na utamaduni wake sio jinai ni urithi wake,tuache upumbavu!
Wafagie nyumbani kwanza kabla ya kuchunguza ya jirani.First remove the speck in your own eyes before judging ua brother tuelewane
 
Wakenya wamesoma, lakini hawajaelimika!! Wangekuwa wameelimika. Wasingeendekeza ukabila!!
Fact mkuu,,, Aya mambo ya ukabila yanaua sana umoja, ata kupata ajira kenya kuna baadhi ya makabila wanapata sana shida aseeee
 
Ndio shida hii

Kwavile Msukuma ana madaraka kwenye hili taifa kwa lazima anasukumiza usukuma kwenye makoo yetu kwa lazima

Kwa lazima jamaa ka-sukumize the whole nation

Huu ndio classic udikteta wa ukabila

Waache watu na makabila yao na wewe baki na lako

Tukifika kwenye mambo ya taifa au federal government tumekubaliana tutumie English na Kiswahili kuwasiliana na kujiendesha

Kila mtu awe huru na kabila na utamaduni wake,hii ku-criminalize origins za watu na kuwavisha Uswahili ambao ni utamaduni wa Pwani kwa lazima au Usukuma unavyolazimishwa kwa sasa,ni kosa na upumbavu

I really hate it when watu wanajitahidi kuua makabila ya watu wengine kwa namna hii,kabila la mtu na utamaduni wake sio jinai ni urithi wake,tuache upumbavu!
Sasa unataka kulialia nini!?
20% population ya watanzania ni wasuluma and 16% ni Wanyamwezi.
Sukuma and Nyamwezi are interrelated tribes.
So 36% ni interrelated tribes.

Do you know the meaning of Sukuma!? Maana yake ni kaskazini. Kwahiyo Sukuma tribe ni kama Swahili ni mchamganyiko mwa makabila mengi.
1. Haya, Masai, Kurya, Jita, waha, Nyiramba, Gogo, Tutsi, Hutu nk.
Sasa we we hujui hata historia ya Tanzania unabweka bweka hovyo kwenye mitandao
 
Back
Top Bottom