Kenya ni ukabila, ukabila ni Kenya haviwezi kutenganishwa, Wakamba wamkingia kifua Sonko

Kenya ni ukabila, ukabila ni Kenya haviwezi kutenganishwa, Wakamba wamkingia kifua Sonko

Kinachitusaidia watanzania kutokuwa na ukabika ni kwa sababu tuna makabila mengi na mengi yao yana watu wengi. Kinachowamamiza Kenya ni kuwa makabila yaliyo dominate ni machache kwa hyo hao ndo wanapambana
 
Mkuu

Sijakuelewa, nina kumaa na mkundu mkubwa.

Kila mtu ni interrelated na kila mtu hapa duniani

Hakuna mtu au group la watu ni totally singular

Hivyo hoja yako ya kunichambulia hii nonsense ni kupoteza muda

kwahiyo kwavile Wasukuma maana yake ni Kaskazini basi ni ruksa kulazimisha watu wote TZ milioni 60 kua Wasukuma kwa lazima?

Kwavile Wasukuma ni mchanganyiko wa makabila kadhaa basi unaleta hoja ya kulazimisha kila mwanadamu hapa TZ awe Msukuma kwa lazima?

Kwavile sijui historia ya Wasukuma basi ina halalisha Usukuma ulazimishwe kwa waTZ wote TZ kwa lazima?

Hakuna hoja yoyote ya maana ya kulamisha watu wafate Usukuma kwa lazima uliyoweka hapa,thats genocidal

Kaa na Usukuma wako,na mimi nikae na kabila langu,I dont need your Usukuma or Uswahili or anything else,kila mtu aishi na utamaduni wake

Kunipa Takwimu ya Wasukuma eti ni 36% ya Watanzania hivyo ni lazima Watanzania wengine walazimishwe kufata mila na lugha yao na desturi zao ni usenge mtupu unaongea hapa

Hii unaleta Sukuma Supremacy Ideology hapa,wewe ni pumbavu ndio maana watu kama nyie hatuwahitaji

Kila mtu akae na kabila lake na utamaduni wake bila kusukumia wengine,huo ndio ustaarabu na hivyo ndio tunataka jamii iwe
Yamekuwa hayo!!!
 
Sasa unataka kulialia nini!?
20% population ya watanzania ni wasuluma and 16% ni Wanyamwezi.
Sukuma and Nyamwezi are interrelated tribes.
So 36% ni interrelated tribes.

Do you know the meaning of Sukuma!? Maana yake ni kaskazini. Kwahiyo Sukuma tribe ni kama Swahili ni mchamganyiko mwa makabila mengi.
1. Haya, Masai, Kurya, Jita, waha, Nyiramba, Gogo, Tutsi, Hutu nk.
Sasa we we hujui hata historia ya Tanzania unabweka bweka hovyo kwenye mitandao
Mkuu achana nalo utalipa umaarafu lisilostahili
 
Back
Top Bottom