Kenya njiapanda Muswada wa kupinga ushoga. Yatakiwa kuchagua kupoteza Shs.Trilion 4.2 za Wafadhili au kupitisha Sheria ya Kupinga Ushoga

Mkuu ChoiceVariable hapa Tanzania kuna mtu anayeweza hata kuthubutu kupeleka muswada wa kupinga ushoga bungeni kama ilivyofanyika Uganda?
majuzi kuna waziri hapa alionyesha vifungu vya sheria, viansema kushiriki vitendo hivyo adhabu ni 30 years. Ni sheria ipo but haitajwi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…