Kenya now has 4.89 Million households connected to electricity

Kenya now has 4.89 Million households connected to electricity

hawa jamaa buana /
Kenya toka mpate Uhuru mmekuwa busy na uchumi wenu/
Wakati Tanzania tulikuwa busy na ukombozi wa waafrika wote kwanza.../ mbio za maendeleo tumezianza juzi tu.../ 1985 baada ya kumfurasha Idd amin dada.../
we are now turning seriously to the economics of our country..../ pls tupeni 5 year ninyi wakenya mujionee..../
Tumewapa hadi miaka 100.
 
It said electricity capacity rose by a third to 2,341 megawatts, mainly due to an extra 380.6 megawatts injected into the grid by generator KenGen since 2013.


plus the 378mw turkana wind underway
plus the 1054mw lamu coal underway
plus geothermal YA 400mw already 4200mw target by next year wakuu
Tanzania kila Siku ni hesabu za megawatts60,hesabu zetu za uzalishaji mitambo mipya zinaishia katika vikao
 
Tanzania kuna mashule kweli???

mbona mnakuwa wajinga kupindukia?

hivi nikizungu kigumu au nini????



hapo juu wamesema

as much as 4.8mn Kenyan HOUSEHOLDS - H-O-U-S-E-H-O-L-D-S

on average a Kenyan household has 7-10 people in the rural areas and 3-5 people in arbun areas.......

so what is the population in 4.8mn households?? 4.8mn * 5 -24mn Kenyans averagely!!!!


TAFADHALI KAMA KUELEWA NI NGUMU KANYAGIA COMMENTS ZAKO!!! BADALA YA KUJIFANYA MJINGA!!!

Ni kweli mmejitahidi, hongereni sana, niliona jana kwenye TV Mh Rais Kenyatta akiliongelea hilo katika kuhakikisha kuwa wananchi wa kawaida wanapunguziwa gharama za uunganishaji umeme, na kwa sasa Kenya mmefika 55% as per yesterday report. Tanzania bado tuko nyuma kama kawaida yetu kwa sasa tuna 35% long way to go lakini tunamatumaini kwa utawala huu tutafika tu huku hususan ukizingatia juhudi zinazofanywa katika kujenga miundombinu ya umeme. Ila kaka uwe na busara don't generalize and stereotype certain particular groups of pepole kuwa sisi Watanzania wote hatukwenda shule, hatujui kizungu, hiyo sio sahihi kwakuwa kujua lugha kwa ufasaha hakuna mahusiano ya moja kwa moja na someone's intelligence or brilliance, wewe mbona hujui kiswahili unaongea kama mshamba mmoja hivi, mbona Wakenya hamjui Kifaransa, Kijerumani na lugha zingine, kwahiyo tuseme kuwa hakuna shule kwenu kwakuwa hamjui hizo lugha, what is so special with English? English ni kama lugha ya Waluo na Wakikuyu tu so ondoa hiyo slavery mentality yako kuwa asiyejua Kizungu basi hakwenda shule. Sisi tupo huku kwenye mashirika makubwa ya Kimataifa na tunawatuma ndugu zako hapo kama tunavyotaka lakini hatuwanyanyasi they are a part of our winning team. MKATAA KWAO MTUMWA.
 
hawa jamaa buana /
Kenya toka mpate Uhuru mmekuwa busy na uchumi wenu/
Wakati Tanzania tulikuwa busy na ukombozi wa waafrika wote kwanza.../ mbio za maendeleo tumezianza juzi tu.../ 1985 baada ya kumfurasha Idd amin dada.../
we are now turning seriously to the economics of our country..../ pls tupeni 5 year ninyi wakenya mujionee..../

Wacha uvivu wa Kitanzania, nani amekuuliza mambo ya Idd Amin humu, wapi na wapi. Mliikomboa Afrika gani hii ambayo kutwa umaskini na majanga ya kila aina wakati raslimali zimejaa.
Tia bidii ufanye kazi, hivyo vijisababu vya uswazi ndio vimefanya Makonda ameamua kuwafurusha malofa mtoke Dar mjini mkalime kule vijijini, maana mnaishi kuvaa milegezo mkicheza pool na kulialia eti ajira zimechukuliwa na wageni.
 
Ni kweli mmejitahidi, hongereni sana, niliona jana kwenye TV Mh Rais Kenyatta akiliongelea hilo katika kuhakikisha kuwa wananchi wa kawaida wanapunguziwa gharama za uunganishaji umeme, na kwa sasa Kenya mmefika 55% as per yesterday report. Tanzania bado tuko nyuma kama kawaida yetu kwa sasa tuna 35% long way to go lakini tunamatumaini kwa utawala huu tutafika tu huku hususan ukizingatia juhudi zinazofanywa katika kujenga miundombinu ya umeme. Ila kaka uwe na busara don't generalize and stereotype certain particular groups of pepole kuwa sisi Watanzania wote hatukwenda shule, hatujui kizungu, hiyo sio sahihi kwakuwa kujua lugha kwa ufasaha hakuna mahusiano ya moja kwa moja na someone's intelligence or brilliance, wewe mbona hujui kiswahili unaongea kama mshamba mmoja hivi, mbona Wakenya hamjui Kifaransa, Kijerumani na lugha zingine, kwahiyo tuseme kuwa hakuna shule kwenu kwakuwa hamjui hizo lugha, what is so special with English? English ni kama lugha ya Waluo na Wakikuyu tu so ondoa hiyo slavery mentality yako kuwa asiyejua Kizungu basi hakwenda shule. Sisi tupo huku kwenye mashirika makubwa ya Kimataifa na tunawatuma ndugu zako hapo kama tunavyotaka lakini hatuwanyanyasi they are a part of our winning team. MKATAA KWAO MTUMWA.

Huko kutokujua kingereza kunaathiri uwezo wenu wa kujadili hoja humu, mtu anasoma taarifa na badala ya kuomba atafsiriwe, yeye anajitafsiri mambo yake halafu anakua mbishi balaa.
Kama hujui lugha na huna uhakika ya nini kimeandikwa, basi wacha kuwa mbishi, aidha omba wenzio wakutafsirie, au subiri wadau kadhaa wajadili na hapo utapata kuelewa kulikoni kabla utupie comment yako.

Tutakuona wa maana sana na mwenye busara kama ukiomba kutafsiriwa na hatutahoji uwezo wako wa kufikiri, lakini ikiwa unajitafsiria pumba zako halafu unabisha wakati wadau wanahangaika kukurekebisha, tutakudharau tu.
 
Huko kutokujua kingereza kunaathiri uwezo wenu wa kujadili hoja humu, mtu anasoma taarifa na badala ya kuomba atafsiriwe, yeye anajitafsiri mambo yake halafu anakua mbishi balaa.
Kama hujui lugha na huna uhakika ya nini kimeandikwa, basi wacha kuwa mbishi, aidha omba wenzio wakutafsirie, au subiri wadau kadhaa wajadili na hapo utapata kuelewa kulikoni kabla utupie comment yako.

Tutakuona wa maana sana na mwenye busara kama ukiomba kutafsiriwa na hatutahoji uwezo wako wa kufikiri, lakini ikiwa unajitafsiria pumba zako halafu unabisha wakati wadau wanahangaika kukurekebisha, tutakudharau tu.
Nimekuelewa na kwa kiasi fulani nakubaliana nawe, kinacho ni kera ni tatizo lilelile ambalo nawe umelirudia "stereotyping", mtu akosolewe kutokana na udhaifu wake as an induvidual but not as a Tanzanian, hapo ndipo sipataki mimi kwakuwa tuna watu tumekwenda shule kisawasawa unapotutukana tukutuvunjia heshima. Pamoja na kuwa ni kweli lugha ya weza kuchangia lakini yawezekana pia ilikuwa suala la hesabu rahisi ambazo mtu binafsi ameshindwa kuzifanya. Asante lakini tutafika tu.
 
wakenya wapo 35 millions almostly.
we
-->>waliounganishwa ni 4.8 millions.....!??!#@$%&!!!/.
good archivements.

stop being stupid...kwani kila mkenya ana nyumba yake watu si wanaishi kama familia? na I connection is enough for so many people in a homestead ata ziwe nyumba kumi...kabla ukurupuke tumia akili
 
Nimekuelewa na kwa kiasi fulani nakubaliana nawe, kinacho ni kera ni tatizo lilelile ambalo nawe umelirudia "stereotyping", mtu akosolewe kutokana na udhaifu wake as an induvidual but not as a Tanzanian, hapo ndipo sipataki mimi kwakuwa tuna watu tumekwenda shule kisawasawa unapotutukana tukutuvunjia heshima. Pamoja na kuwa ni kweli lugha ya weza kuchangia lakini yawezekana pia ilikuwa suala la hesabu rahisi ambazo mtu binafsi ameshindwa kuzifanya. Asante lakini tutafika tu.
Sababu za sisi ku-generalise ni kwamba hadi leo hapajatokea Mtanzania mwenye busara wa kujadili hoja naye humu. Tumezoea wote wapo kama huyo bwana. Kila tukiweka taarifa za Kenya humu mnatiririka na majibu yanayodhihirisha ukosefu wa elimu.
 
Officials have been racing
to increase access to
power to support economic
expansion, cutting
connection charges for
customers.
Access to electricity
jumped to 60 percent of
the population from 27
percent in 2013, Kenya
Power, the state-controlled
electricity transmitter, said
in an infographic published
in a regional weekly
newspaper.
The rate is based on
multiplying the number of
households connected to
electricity by 5.5, the
average number of people
per household, Kenya
Power said.
 
walisema watafika 70% electricity connection by the end of this year... hebu tuone kama watafika


BTW, kule my grandfather from my moms side alikozaliwa ni huko ndani ndani kabisa, hakuna miundo msingi huko, since indipendence hakujawai pelekwa maendeleo na serikali yoyote huko, maji ya huko walifanywa kupelekewa na world bank...... Ule mradi wa kupeleka stima kwa mashule ndo umefanya huko ndo kue na stima kwa mara ya kwanza, hata sikuhizi yasemekana wako na mpaka street lights, tena safaricom wanaeka mast mtandao hapo karibu na hio market center, hilo eneo lilikua liko nyuma sana kimaendeleo ukilinganisha na maeneo mengine kenya, sasa sikuhizi wako cyber cafe kwa town ambapo watu hujazana kutumia mtandao.... miaka 7-10 ijayo hilo eneo litakua limegeuka, alafu pamoja tutasonga mbele kama kenya
 
Sababu za sisi ku-generalise ni kwamba hadi leo hapajatokea Mtanzania mwenye busara wa kujadili hoja naye humu. Tumezoea wote wapo kama huyo bwana. Kila tukiweka taarifa za Kenya humu mnatiririka na majibu yanayodhihirisha ukosefu wa elimu.
Tatizo watu wanajadili kwa misingi ya nchi na si facts, ni vizuri kukubali ukweli kama moja ya nchi zetu inafanya vizuri kwenye jambo fulani na hii inatoa nafasi a kujifunza na kuangalia wapi unateleza ili uweze kujirekebisha. Tujifunze kukubali mazuri ya wenzetu la sivyo kila siku tutakuwa hapohapo. Ila unapokuwa unafanya vizuri kwenye kitu fulani basi umwelezee mwenzako kwa kugha ya staha na wala sio dhihaka nadhani hapa ndipo kwenye shida.
 
Tatizo watu wanajadili kwa misingi ya nchi na si facts, ni vizuri kukubali ukweli kama moja ya nchi zetu inafanya vizuri kwenye jambo fulani na hii inatoa nafasi a kujifunza na kuangalia wapi unateleza ili uweze kujirekebisha. Tujifunze kukubali mazuri ya wenzetu la sivyo kila siku tutakuwa hapohapo. Ila unapokuwa unafanya vizuri kwenye kitu fulani basi umwelezee mwenzako kwa kugha ya staha na wala sio dhihaka nadhani hapa ndipo kwenye shida.

Waasisi wa Jamii Forums waliandaa eneo la sisi kubandika taarifa za Kenya na kuita "Kenyan News". Sasa tukiweka taarifa za Kenya, tunategemea wadau kuburudika kwa kujadili mambo tofauti humo ndani ya taarifa. Sasa wenzio wote wamezoea kila wakiona chochote kuhusu Kenya wanaibuka na matusi na kejeli za kila aina, hivyo inabidi tuwajibu kwa dhihaka na kuwadharau kama walivyo.

Akija mtu mwenye nia ya kujadili mada, tutakwenda naye kiustaarabu, lakini kama ni kutupaka tope, tunaogelea naye tu. Wengi walikuja na kupokea vidonge vyao na wapo kimya siku hizi, wale ambao wamekomaa inabidi na sisi tupelekane nao vivyo hivyo hadi wastaarabike.
 
Waasisi wa Jamii Forums waliandaa eneo la sisi kubandika taarifa za Kenya na kuita "Kenyan News". Sasa tukiweka taarifa za Kenya, tunategemea wadau kuburudika kwa kujadili mambo tofauti humo ndani ya taarifa. Sasa wenzio wote wamezoea kila wakiona chochote kuhusu Kenya wanaibuka na matusi na kejeli za kila aina, hivyo inabidi tuwajibu kwa dhihaka na kuwadharau kama walivyo.

Akija mtu mwenye nia ya kujadili mada, tutakwenda naye kiustaarabu, lakini kama ni kutupaka tope, tunaogelea naye tu. Wengi walikuja na kupokea vidonge vyao na wapo kimya siku hizi, wale ambao wamekomaa inabidi na sisi tupelekane nao vivyo hivyo hadi wastaarabike.
You are right to certain extent, but "don't fight a fool in an open air since it is difficulty for someone to recognize who is a real fool". Tunajifunza kutokana na makosa. Tanzanians have a lot to learn from Kenyans particularly in the areas of working spirit, innovation and economic development, it is a fact which cannot be disputed, and on the other hand, you have to learn from Tanzanians on the importance of country's unit which is free from all elements of tribalism which is an issue that engulfing your country to an extent of slowing down your economic development. Country's unit is a strong foundation for enduring peace and sustainable economic development. So tuna mengi ya kujifunza baina yetu na tuone kuwa tofauti zetu ni chachu ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa faida yetu ili mradi tuna wivu wa kimaendeleo na si kurogana. Amani peke yake bila maendeleo haisaidii kitu, sisi Watanzania tumeimba amani kwa muda mrefu lakini haisaidia kama watu wetu wataendelea kuwa masikini, na ninyi Kenya maendeleo ya uchumi peke yake unaotokana na njia kuu za uchumi na tenda za miradi mikubwa ya kimaendeleo kuelekezwa kwa aina ya watu wa aina fulani peke yake haisaidii nchi yenu hata kidogo kwakuwa amani ikitoweka kutokana na groups fulani kuona kuwa zipo marginalized hamuwezi kuwa salama na hamuwezi kuwa na sustainable economic development na ikifanyiwa mchezo hata maendeleo yaliyopo yanaweza kurudi nyuma ukichukilia kuwa the current East African Regional is no longer business as usual since the surrounding countries are also working hard towards attaining sustainable economic development through massive investments into infrastructures and striving for industrial revolution. Maoni yangu ni haya tu, tutumie tofauti zetu kuleta maendeleo kwakuwa kuna mengi ya kujifunza kutokana na tofauti zetu. Let us be positive to accept our weaknesses, make positive corrections and move forward.
 
You are right to certain extent, but "don't fight a fool in an open air since it is difficulty for someone to recognize who is a real fool". Tunajifunza kutokana na makosa. Tanzanians have a lot to learn from Kenyans particularly in the areas of working spirit, innovation and economic development, it is a fact which cannot be disputed, and on the other hand, you have to learn from Tanzanians on the importance of country's unit which is free from all elements of tribalism which is an issue that engulfing your country to an extent of slowing down your economic development. Country's unit is a strong foundation for enduring peace and sustainable economic development. So tuna mengi ya kujifunza baina yetu na tuone kuwa tofauti zetu ni chachu ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa faida yetu ili mradi tuna wivu wa kimaendeleo na si kurogana. Amani peke yake bila maendeleo haisaidii kitu, sisi Watanzania tumeimba amani kwa muda mrefu lakini haisaidia kama watu wetu wataendelea kuwa masikini, na ninyi Kenya maendeleo ya uchumi peke yake unaotokana na njia kuu za uchumi na tenda za miradi mikubwa ya kimaendeleo kuelekezwa kwa aina ya watu wa aina fulani peke yake haisaidii nchi yenu hata kidogo kwakuwa amani ikitoweka kutokana na groups fulani kuona kuwa zipo marginalized hamuwezi kuwa salama na hamuwezi kuwa na sustainable economic development na ikifanyiwa mchezo hata maendeleo yaliyopo yanaweza kurudi nyuma ukichukilia kuwa the current East African Regional is no longer business as usual since the surrounding countries are also working hard towards attaining sustainable economic development through massive investments into infrastructures and striving for industrial revolution. Maoni yangu ni haya tu, tutumie tofauti zetu kuleta maendeleo kwakuwa kuna mengi ya kujifunza kutokana na tofauti zetu. Let us be positive to accept our weaknesses, make positive corrections and move forward.

Well said mkuu, umeiweka sawa, asante.
 
Tanzania kuna mashule kweli???

mbona mnakuwa wajinga kupindukia?

hivi nikizungu kigumu au nini????



hapo juu wamesema

as much as 4.8mn Kenyan HOUSEHOLDS - H-O-U-S-E-H-O-L-D-S

on average a Kenyan household has 7-10 people in the rural areas and 3-5 people in arbun areas.......

so what is the population in 4.8mn households?? 4.8mn * 5 -24mn Kenyans averagely!!!!


TAFADHALI KAMA KUELEWA NI NGUMU KANYAGIA COMMENTS ZAKO!!! BADALA YA KUJIFANYA MJINGA!!!
Msumari umeingia kwa leg ya jaluo...hihihihi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom