Kenya: Nyumba ya Makamu wa Rais William Ruto yashambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana

To my little knowledge the MAFIA jubilee goverment is trying to diverge the kenyans concerning the NASA report on the use of millitary personels during elections...wanajiteka wenyewe ili kuwapumbaza wananchi kusahau malalamishi ya NASA.

Hakika UHURUTO msiwajaribu wakenya this tym round....u cant preach for reconciliation wen you are isolating kenyans basing on their regions and tribe..

MIPANGO YA MOUNT KENYA MAFIA CARTEL TUNAIJUA JINSI MNAUA WAKENYA INNOCENT NA HUYO ASKARI ALIPIGWA RISASI HUKO SUGOI ALIPWE MAANA those are your ill plans to win the already loosing elections
 
mauaji ya kenya yalisababishwa na raila odinga na mwai kibaki mkuu....
 
Yawezekana amejishambulia mwenyewe ili kutafuta kiki kwa pikipiki. Ukiangalia mandhari ya eneo husika na kihadithi cha mlinzi wa nyumba kupokonywa bunduki na mtu aliyejifanya machinga utajua ni fiksi za kutafuta umaarufu.
 
Ombeni Amani itawale kabla na baada ya uchaguzi.....

Kaeni mkijua kuna Maisha baada ya uchaguzi....

Viongozi wa vyama vya siasa ni vizuri kuhubiri Amani wakati wote wa kampeni zenu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…