Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
mauaji ya kenya yalisababishwa na raila odinga na mwai kibaki mkuu....Na watauwana sana tu Mkuu. Taarifa za chini kabisa kutoka kwa ' wafuatiliaji ' wa Siasa waliopo huko nchini Kenya wanasema kwamba kuna uwezekano Raila Odinga na mwenzake Kalonzo Musyoka safari hii wakaibuka washindi kutokana na kwamba sasa wamejipanga kwa hila / hujuma / ngendembwe zote na kuna mahala nasikia wameshamshika pabaya Kenyata na Ruto hivyo kupelekea wao kuwa na hali mbaya.
Kuanzia sasa na hadi siku moja kabla ya upigwaji Kura hizo tutegemee makubwa kwani kama akina Uhuru na William walisababisha yale ' mauaji ' makubwa yaliyopelekea kuwa na post election violence nina uhakika hata safari hii tena baada ya kuona wanaelekea kushindwa basi ndiyo wakasababisha ' mauaji ' makubwa mno.
Yawezekana amejishambulia mwenyewe ili kutafuta kiki kwa pikipiki. Ukiangalia mandhari ya eneo husika na kihadithi cha mlinzi wa nyumba kupokonywa bunduki na mtu aliyejifanya machinga utajua ni fiksi za kutafuta umaarufu.Mmmmh
mauaji ya kenya yalisababishwa na raila odinga na mwai kibaki mkuu....
ndio nakuambia ukweli Raila Odinga amesababish mauaji mengi sana ya wakenyaHujui lolote kaa kimya
ndio nakuambia ukweli Raila Odinga amesababish mauaji mengi sana ya wakenyaHujui lolote kaa kimya
ndio nakuambia ukweli Raila Odinga amesababish mauaji mengi sana ya wakenya
ndio nakuambia ukweli Raila Odinga amesababish mauaji mengi sana ya wakenya