madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
Kama tungekua wavivu tungewalishahakuna nchi yenye wavivu kama tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama tungekua wavivu tungewalishahakuna nchi yenye wavivu kama tanzania
Lakini pia Hawa Watanzania wawivu wanalisha wakenya milioni 40,hakuna nchi yenye wavivu kama tanzania
Kama tungekua wavivu tungewalisha
wakenya wanakufa kwa njaa kwa sababu ya uongozi mbaya na poor climatic conditions kule North...watanzania wamekaa katika umaskini sababu ya uvivu..viongozi mlio mnao ni afadhali.....hakuna sababu ya nchi iliyobarikiwa kama tanzania kuwa LDC..rasilimali zilizo nchini zimetosha kuinawirisha nchi kwa muda mfupi sana...but still TZ=LDC...Kenya=Middle income😀😀 why? Tanzanians are lazy...nimefika Arusha naelwa tabia zenu...nyie mnaamka saa tatu na kujikokota ili kuenda kazini...wengi mnapiga domo chini ya miti kabla ya kuenda shambani...Lakini pia Hawa Watanzania wawivu wanalisha wakenya milioni 40,
Wakenya wana bidii lakini wanakufa kwa njaa.
wewe unaijua lugha ya kiswahili?Watanzania wa wapi ambao awajui kiswahili...? yao ni Wakenya tu wasidangaje watu. Na Mimi niliona huyo habari. Awajui kiswahili kabisaaa......
But if we are lazy, how do we manage to feed ourselves and you ?wakenya wanakufa kwa njaa kwa sababu ya uongozi mbaya na poor climatic conditions kule North...watanzania wamekaa katika umaskini sababu ya uvivu..viongozi mlio mnao ni afadhali.....hakuna sababu ya nchi iliyobarikiwa kama tanzania kuwa LDC..rasilimali zilizo nchini zimetosha kuinawirisha nchi kwa muda mfupi sana...but still TZ=LDC...Kenya=Middle income😀😀 why? Tanzanians are lazy...nimefika Arusha naelwa tabia zenu...nyie mnaamka saa tatu na kujikokota ili kuenda kazini...wengi mnapiga domo chini ya miti kabla ya kuenda shambani...
wakenya mna dhambi jamaniDah! Wanatia huruma na kusikitisha halafu la kushangaza Watanzania humu wanajibu kwa kiburi na kejeli wakati ndugu zao wanateseka kiasi hiki kwenye nchi za watu.
kwa sababu mmebarikiwa na mvua tele...wacha hata tz, Uganda pia huwa wanatuuzia mahindi kila uchao ila waone walipo kiuchumi...But if we are lazy, how do we manage to feed ourselves and you ?
Again remember Israel is totally desert as well but wamewapa Kenya msaada wa mahindi mapema mwaka huu, remember?
So, in actual sense you tell me who is Lazy here.
Does the rains grow crops by themselves?kwa sababu mmebarikiwa na mvua tele...wacha hata tz, Uganda pia huwa wanatuuzia mahindi kila uchao ila waone walipo kiuchumi...![]()
kisha kusema eti mnatulisha haimaanishi eti nyie mna bidii...kwa mfano, Afrika inalisha nchi za EU kama vile Netherlands, UK na Scotland...does this mean that the EU cannot grow their own food?![]()
![]()
![]()
![]()
tafta another excuse...this excuse of "cooking data" is getting old..unless you want to tell me that Kenya is the one that publishes its own economic data and not World Bank and IMF...it seems that WB and IMF are cooking data for Kenya only and not other nations...Does the rains grow crops by themselves?
Man be serious.
By the way, let me remind you something,
Kenya is a Poor country with poor people (Very poor), your economic Data are highly clocked by your politicians to fool you and get more loans from abroad,
You can't tell me you are not lazy today 2017 u rely on Rains for food and claim to be middle income.
[emoji196] [emoji196] [emoji196]Uliona huyo habari?? Awajui?? Sasa na wewe ndo utakuwa mtanzania wa sampuli gani? Wewe mwenyewe kiswahili kimekuchapa hadi chobo!
Ukiangalia hata hiyo video, utangundua wenzetu wako mbali hata mambo ya habari. Hao watoto hawajaonyeshwa sura hiyo ni haki ya watotoNiliwahi sikia Kenya wamepiga sana hatua katika masuala ya haki za watu wenye ulemavu. Labda ndio sababu akina Matonya wanaenda huko