Kenya on high alert after suspected Ebola case in Kericho. After Examinations she was tested negative

Kenya on high alert after suspected Ebola case in Kericho. After Examinations she was tested negative

Itakua kingereza kimekutesa kama ilivyo kawaida yenu, haya hii hapa chini tahadhari ya waziri wenu akisema nchi yote iko hatarini, ametumia maneno ya Kiswahili hivyo bila shaka utaelewa kabla ya kulaumu Kenya.



[B]Ummy Mwalimu, MP[/B]‏ @[B]umwalimu[/B]
FollowFollow @umwalimu
More
Ninatoa Tahadhari kwa Umma kuhusu uwepo wa tishio la Mlipuko wa Ebola nchini kwetu kufuatia kuwepo kwa ugonjwa huu Uganda. Hii ni kutokana na mwingiliano mkubwa wa watu baina ya nchi hizi kupitia mipaka rasmi na isiyo rasmi. Mikoa ya Kagera, Mwanza na Kigoma ipo ktk hatari zaidi.
D9G47U3WsAA0EjE.jpg


Sijaona sehemu yoyote ambayo waziri kasema "nchi iko hatarini". Unachoongea ni ndoto tu.
 
Hapa kulinda nchi kwenye suala zima la mambo ya utalii lazima waseme ni celbral malaria
 
Si nilisema jaman wawili hao wanasema nao walipanda gari alokua amepanda yule wa kwanza asee wakusanywe wote walopanda hilo gar jaman daaa wakenya muwe mnasikia mkiambiwa chaa
Waziri wa Afya amesema hakuna Ebola Kenya. Amesema kwamba huyo mgonjwa hana symptoms kamili za Ebola




<blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr">Health CS Sicily Kariuki&#39;s statement on the suspected Ebola case <br><br>&quot;The patient does not meet the case definition of Ebola however, precautionary measures have been put in place including isolation of the patient.&quot; <a href="https://t.co/cQ2YY2pq2M">pic.twitter.com/cQ2YY2pq2M</a></p>&mdash; NTV Kenya (@ntvkenya) <a href="">June 17, 2019</a></blockquote>
<script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>
 
Waziri wa Afya amesema hakuna Ebola Kenya. Amesema kwamba huyo mgonjwa hana symptoms kamili za Ebola




Health CS Sicily Kariuki's statement on the suspected Ebola case

"The patient does not meet the case definition of Ebola however, precautionary measures have been put in place including isolation of the patient." pic.twitter.com/cQ2YY2pq2M
— NTV Kenya (@ntvkenya) June 17, 2019
Najua coz wanasubili sampo zirudi za damu.. Ila wale wote walokuepo kwa ile gari ya kutoka malaba watafuteeni muwapime serious
 
Back
Top Bottom