Kenya on the Move: Profiles of Kenya's Cabinet Secretaries Nominees

Kenya on the Move: Profiles of Kenya's Cabinet Secretaries Nominees

very impressive characters, yet we await to see how well they fit in
 
Big CV doesnt mean anything.. Ngojeni vitendo mtakuja kulalamika hapa... You have too much hope as if you dont know african leaders who behave the same in all over the continent!!!
Haraaambee!!!!!
 
Sikutegemea watamwacha yule wa Kenya Airways (ingawaje tiketi zao ghali sana!)
 
Wamepata baraza la ukweli baada ya kufanya reforms za katiba na sie tuweke kwenye katiba yetu mawaziri wasitokane na ubunge iwe mwanataaluma na mtu yeyote sio lazima awe mbunge au politician na rais akimteua jina liende bungeni kupigiwa kura kama PM vile hapa tutachuja vilaza,mchumi kama lipumba tunamnyima wizara ya fedha na uchumi kisa mpinzani! Tuweke siasa pembeni tz ina wasomi wanaoheshimika kimataifa na vichwa kuliko hata hao wakenya sema siasa inawaweka kando mtu kama tido mhando si anafaa wizara ya habari,prof shivji si anafaa katiba na sheria

Praise the lord. I salute all kenyans for good start. Kenyans are really united hakuna longo longo. I salute Mhe. President Kenyatta and Mhe. Vice President William Ruto. Mungu awabariki wakenya wote mungu aibariki East Africa Community.
 
Wamepata baraza la ukweli baada ya kufanya reforms za katiba na sie tuweke kwenye katiba yetu mawaziri wasitokane na ubunge iwe mwanataaluma na mtu yeyote sio lazima awe mbunge au politician na rais akimteua jina liende bungeni kupigiwa kura kama PM vile hapa tutachuja vilaza,mchumi kama lipumba tunamnyima wizara ya fedha na uchumi kisa mpinzani! Tuweke siasa pembeni tz ina wasomi wanaoheshimika kimataifa na vichwa kuliko hata hao wakenya sema siasa inawaweka kando mtu kama tido mhando si anafaa wizara ya habari,prof shivji si anafaa katiba na sheria

Wewe hapa kwetu PM hafanyiwi vetting bali wanachofanya ni kupitisha- hivi ni vitu viwili tofauti mwanaJF. Kumbuka hatuna utaratibu wala chombo cha bunge cha kufanya vetting. Kwa hiyo usilinganisha K na Tz; we are so many years apart in this unless our envisaged katiba becomes reality and bears fruits higher than K did; which I doubt very much from what yule jamaa wa ssm alifanya K wakati wa election na ikazaa haya yanayoendelea..
 
Kazi nzuri Wakenya....na sasa tusubiri mipangilio na matunda yake.......hongera Uhuru & Williamm
 
..Amb.Amina just too cute. WOW!! I mean, WOW!!

..Ann Waiguru is puffy, something I like in women. the only problem is her eyebrows.

..Phyllis is also pretty. She could better her looks if she had kept her hair short and natural.

cc: Kabaridi, Smatta, Geza Ulole, Ben Saanane
 
Last edited by a moderator:
Wakenya wenye asili ya kisomali wamegeuka kuwa lulu kenya

Wengi wanafasi kubwa na nyeti hii imekaaje huko kenya
 
Back
Top Bottom