Kenya owns Tanzania media

Wakenya nanyie mzidi uwehu, subirini uchaguzi muhula wenu wa kuchafuana ufike. Mumewafanya watz wajinga mnno. Kila mkionekana kupenda sifa za kibwege tuuu
 
ITV superbrand afrika mashariki hamuifahamu??

Millardayo.com/Millardayo naye hamumfahamu??

Hii JAMIIFORUMS nayo mnayoitumia kila siku na nyie huko mna kikenyatalk hamuifahamu??

Azam MEDIA nayo huko Kenya hamjawahi kuisikia??😎
 
Kenyan company Nation Media Group owns the top two media stations in Tanzania
1. The Citizen
2. Mwanainchi
Through this companies Kenya is able to dictate what Tanzania citizens watch, hear, learn and know. View attachment 2099350
Hiyo ni mali ya Agakhan,achen ufala wa kusifia ujinga, wenzenu wanakufa kwa njaa huko Marsabit wee unabaki kujirigisha na media house
 
Reactions: Oii
Hiyo ni mali ya Agakhan,achen ufala wa kusifia ujinga, wenzenu wanakufa kwa njaa huko Marsabit wee unabaki kujirigisha na media house
Lia polepole [emoji382][emoji23]
 
shukran sana kwa kulitambua hili. usisite kuwatangazia wenzako anytime unapopata nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…