Kenya Passport Holders = 3.5 Million.., Tanzania Passport Holders = 1.1 million

Kenya Passport Holders = 3.5 Million.., Tanzania Passport Holders = 1.1 million

Tanzania kuna Fursa kuliko uko nje sio kama Kenya kwahiyo hamna haja ya kua mkimbizi wa kiuchumi hiyo $1000 ya kuendea Dubai hapa Tanzania unaweza kuendesha biashara nzuri na ukamiliki na gari pamoja na nyumba, Tanzania haina njaa kama Kenya.
Ni kweli hata ukiwa na chini ya hiyo hela tz unaishi fresh.
 

Hii ni sababu tosha ya kuwafanya wakenya wengi kukimbia nchi yao


You do not read about the plane that did not crash.
Ingia YouTube and cherry pick all the stories you want. 😂 😂 😂

Alafu jioni urudi kwa nyumba yako ya matope, like 90% of your fellow countrymen.
 



Hawa wabongo wapuuzi ni kuwapa tu facts, they are never exposed


To them, the concept of economic immigrants ni omba omba tu.
Ata waalimu wa kiswahili nchi za nje ni Wakenya wote.

The laziness, lack of professionalism and ignorance in that country is beyond belief.

Hawa wanasema 'Tanzania ni kuzuri', 99% hawajawahi kanyanga nje ya nchi yao.
I've been to Tanzania several times, na sikupata hio 'uzuri'.

Just a whole timid population languishing in poverty, but dumbed down by CCM to think they live in Norway. 😂😂😂😂
 
Kenya kupata passport ni haki kama ilivo kupata kitambulisho Cha uraia. Tanzania kupata passport mchakato wake mgumu na lazima uwe na safari....ndio maana wenzetu wametapaka duniani nzima kutafuta fursa na ajira

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kenya kupata passport ni haki kama ilivo kupata kitambulisho Cha uraia. Tanzania kupata passport mchakato wake mgumu na lazima uwe na safari....ndio maana wenzetu wametapaka duniani nzima kutafuta fursa na ajira

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uliwahiona rain south africa au Botswana wakienda nje kutafuta maisha,Kenya Kuna njaa kali
 
Asilimia kubwa wapo bongo wakifundisha ualimu wa Chekechea kwa kulipwa pesa za kijungujiko.

Wapo Saudia kama Malaya na Wafanyakazi wa Ndani.
 
Kenyans arrogance combined with individuals who are stupid with confidence creates the unbearable environment to discuss African race matters because of their Ego.
 
Kwa Tz kuna factors nyingi za why watu hawana passport, wacha mi niiseme hii ya kua na poor mentality kwa Authority ambapo ukienda immigration unaulizwa paasport unataka ya nini kwani unaenda wapi?

Imagine thats the first question customer anaulizwa, maana yake ni kua authority zimekariri kua you only need that thing kama unasafari wakati ni haki ya kila raia owning this stuff.

Lastly, mostly Tanzanian wanaamini passport ni kitu exceptional sana ambacho kinaweza milikiwa na class flani.

All those plus bureaucracy kuipata and purchasing power ndio vina fanya trend ya owners wa passport iwe hivyo in Tz.
 
Kwa Tz kuna factors nyingi za why watu hawana passport, wacha mi niiseme hii ya kua na poor mentality kwa Authority ambapo ukienda immigration unaulizwa paasport unataka ya nini kwani unaenda wapi?

Imagine thats the first question customer anaulizwa, maana yake ni kua authority zimekariri kua you only need that thing kama unasafari wakati ni haki ya kila raia owning this stuff.

Lastly, mostly Tanzanian wanaamini passport ni kitu exceptional sana ambacho kinaweza milikiwa na class flani.

All those plus bureaucracy kuipata and purchasing power ndio vina fanya trend ya owners wa passport iwe hivyo in Tz.
Your gross bomboclaat nyinyi Kenya mko na purchasing power gani,mnashindia kula omenaa na sukuma week
 
Passport yetu lazima idhibitiwe na mamlaka husika hutoi tu Passport hivihivi kama huna sababu ya msingi inayokufanya usafiri.

Mfano mzuri tunaona majirani zetu wanavyotumkishwa na kufanyiwa ukatili huko uarabuni na serikali yao imekaa kimya tuu badala ya kulinda raia wake.

Sisi huku Tz mamlaka zetu hazitaki hali hiyo itokee kwa mtanzania yoyote yule na ndio maana hasa wanawake wakiwa na safari za uarabuni maswali yanakuwa mengi sana aidha uwe na consent ya mme ama mzazi.
Pia mapopo walikuwa wanakuja kununua passport yetu then wanaenda kuuza ngada ughaibuni
 
Back
Top Bottom