Kenya produces More Maize than Tanzania (3 times)

Haiyaaa>>>This is a shocker.Si hapa tunaimbiwa mashairi kila siku oooh Danganyika nchi ya asali,ooh nchi ya maziwa...kumbe tu ni nchi ya paka mzee
Wakenya mna bahati jito la jiwe yuko bahari Hindi akiogelea. Otherwise mngehisi joto lake kwa huu Uzi.
 
Si kweli! Figures for Tanzania supposes to be in Metric tonnes mind u 1 mt= 1.1 tons= 1100 kg!
 
MKUU EMBU BE SERIOUS ACHA UTOTO.
YANI TURKANA WAKO RADHI WAFE NJAA KISA HAKUNA MAINDI YA SEMBE LAKINI MCHELE UPO??
EMBU BE SERIOUS NDUGU
 
Si kweli! Figures for Tanzania supposes to be in Metric tonnes mind u 1 mt= 1.1 tons= 1100 kg!
Kenya is a leading producer of tea and coffee, as well as the third-leading exporter of fresh produce, such as cabbages, onions and mangoes. Small farms grow most of the corn and also produce potatoes, bananas, beans and peas.
 
Kwahiyo nyie mmekosa akili mpaka mnakufa njaa kiss amjazoea wali mmesoma wapi nyinyi pumba
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Reactions: Oii
Kwan hawa jamaa si juzi wamelia kisa magu kazuia magari ya kupeleka mahindi kwao kenya leo wamesaau wakat soko kibaigwa dodoma msimu ndo wanaongoza kupanga foleni
 
Haiyaaa>>>This is a shocker.Si hapa tunaimbiwa mashairi kila siku oooh Danganyika nchi ya asali,ooh nchi ya maziwa...kumbe tu ni nchi ya paka mzee

What a post hoc fallacy!!!
You produce more maize, still price is more high, with an increase of number of people dying from hunger!!
 
Kwan hawa jamaa si juzi wamelia kisa magu kazuia magari ya kupeleka mahindi kwao kenya leo wamesaau wakat soko kibaigwa dodoma msimu ndo wanaongoza kupanga foleni
Mkuu hawa jamaa ni wa kuwapuuza yani mpk nishajiwa na akili kuwa nisibishane na mkenya maana doh huwa hawatumii akili.
Yule jamaa kule juu anakwambia TURKANA wafaa njaa kwasababu wanapata tabu mahindi ya sembe hamna japo vyakula vingine vipo.
Asa ww unamchukulia mzima huyo
 
nina mashaka na akili zenu nyie.
Twende kiuhalisia.
Kenya kama ina food security kushinda Tz kwann mna hunger and famine Northern Kenya.??
Kama mna food security it means mna surplus za kutosha,kipi kinachowafanya mkanunue mahindi nje ya nchi??
Unajua umepewa ubongo wa kuutumia na kufikiria na kuchanganua mambo kabla hujayaeka kichwani.
Tanzania ambayo inaonekana haina surplus kama kenya ime donate food malawi.
Ila Kenya iliyo na. SURPLUS za kutosha wana hunger and famine ukizingatia hawana population km ya tz.
Na wanaagiza mazao nje.
Bro are you serious ??
Hata ukimwelezea mtoto wako hii statement atakuelewa kweli ndugu ??
Embu acha utani bhana kuwa mtu mzima kidogo.
Food security.
The lighter the country, the more food secure.

View attachment 1155828
 

Wewe shida yako ni kuelewa kingereza. Makosa makubwa Nyerere kuwafanyia Tanzania. Bongolala kweli.

Kenya kuwa more 'food secure' kuliko Tanzania, haimaanishi kwamba tuko na food security. Inamaanisha kwamba tuko afadhali kumliko.

Vile vile, mimi kuwa tajiri kukuliko, sio lazima imaanishe kwamba mimi cha ukweli ni tajiri. Inamaanisha tu kwamba mimi nina pesa nyingi kukuliko.

Tanzania kudonate chakula Malawi ni ujinga tu. Kenya imedonate chakula maisha yake yote. Ata baada ya 9/11 wamaasai wa Kenya walidonate ng'ombe zao kwa marekani.

Mwisho, kama unaweza rudia post yangu ya kwanza, nilieleza kwamba shida ya kenya sio food production. Ni food distribution.
Ndio maana wanaoishi Turkana mbali na civilization, wako na njaa ilhali sehemu zingine za nchi chakula kinatupwa.

Kama una maswali mengine, enda ukaulize UN, UNDP, USAID, FAO, IMF na wengineo ambao wametoa data kwamba Kenya iko afadhali kuliko Tanzania.
 
YANI STILL BADO NIMEKUONA HUNA AKILI NA MJINGA.
NA BADO HUJAWEZA HATA KUJIBU MASWALI YANGU.
NA STILL UMEROPOKA INSTEAD YA KUONGEA.
KAMA KENYA IKO AFADHALI KUTUZIDI KWANN MUNUNUE MAZAO NJE YA NCHI??
HV WW UNATUMIA AKILI KWELI??
NI SAWA NA UNAMBIE NINA KISIMA CHA MAJI KIZURI KUKUZIDI THEN UNAENDA KWA JIRAN KUCHOTA MAJI WE UTAKUWA UNA AKILI TIMAM KWELI??
HAKUNA KISICHOELEWEKA NILIKUAMBIA NDIO MAANA NIKAWA NA COMPARE KENYA NA TZ.
TZ HATUJAWAHI KUNUNUA FOOD NJE AISEE.
ILA NYIE KENYA MLIO NA HAUWEN KULIKO SISI KWANINI MUNUNUE CHAKULA NJE??
ACHA UTOTO BHANA WATU TUNAJIELEWA
 
Huu ni ukweli usiopingika, Watanzania wengi hawapendi ugali, yaani hata kwenye mahoteli muda wa chakula cha mchana wengi huagiza wali au vyakula vya ndizi.
Ugali kwa Tanzania huliwa kanda ya ziwa kule kwa Wasukuma ambao kiaina wana undugu na Waluhya wa Kenya.
Halafu ugali wa Kitanzania huwa rojorojo, sio kama wa hapa kwetu mgumu. Hawa watu sio wapenzi wa ugali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…