Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Jamaa alikula ban baada ya kutusi watu.Tangu Joto la Jiwe aroastiwe kwa while thread yake ya Kismayu hajairudi tena.
...na wewe si unaona wanatandikwa watatu watatu na mkenya mmoja.. Mtu anayesosi ugali ana nguvu sanaHuu ni ukweli usiopingika, Watanzania wengi hawapendi ugali, yaani hata kwenye mahoteli muda wa chakula cha mchana wengi huagiza wali au vyakula vya ndizi.
Ugali kwa Tanzania huliwa kanda ya ziwa kule kwa Wasukuma ambao kiaina wana undugu na Waluhya wa Kenya.
Halafu ugali wa Kitanzania huwa rojorojo, sio kama wa hapa kwetu mgumu. Hawa watu sio wapenzi wa ugali.
wow!! Now we know. Very enlightening. Tunaambiwanga hunger striken sijui failed state kumbe wako worse. Nyani hawa!
YANI STILL BADO NIMEKUONA HUNA AKILI NA MJINGA.
NA BADO HUJAWEZA HATA KUJIBU MASWALI YANGU.
NA STILL UMEROPOKA INSTEAD YA KUONGEA.
KAMA KENYA IKO AFADHALI KUTUZIDI KWANN MUNUNUE MAZAO NJE YA NCHI??
HV WW UNATUMIA AKILI KWELI??
NI SAWA NA UNAMBIE NINA KISIMA CHA MAJI KIZURI KUKUZIDI THEN UNAENDA KWA JIRAN KUCHOTA MAJI WE UTAKUWA UNA AKILI TIMAM KWELI??
HAKUNA KISICHOELEWEKA NILIKUAMBIA NDIO MAANA NIKAWA NA COMPARE KENYA NA TZ.
TZ HATUJAWAHI KUNUNUA FOOD NJE AISEE.
ILA NYIE KENYA MLIO NA HAUWEN KULIKO SISI KWANINI MUNUNUE CHAKULA NJE??
ACHA UTOTO BHANA WATU TUNAJIELEWA
Tunanunua mazao nje ya nchi kwa sababu consumption iko juu ya production. Nini ngumu kuelewa hapo.
Muanzilishi mada ameandika vizuri.
wow!! Now we know. Very enlightening. Tunaambiwanga hunger striken sijui failed state kumbe wako worse. Nyani hawa!
YANI STILL BADO NIMEKUONA HUNA AKILI NA MJINGA.
NA BADO HUJAWEZA HATA KUJIBU MASWALI YANGU.
NA STILL UMEROPOKA INSTEAD YA KUONGEA.
KAMA KENYA IKO AFADHALI KUTUZIDI KWANN MUNUNUE MAZAO NJE YA NCHI??
HV WW UNATUMIA AKILI KWELI??
NI SAWA NA UNAMBIE NINA KISIMA CHA MAJI KIZURI KUKUZIDI THEN UNAENDA KWA JIRAN KUCHOTA MAJI WE UTAKUWA UNA AKILI TIMAM KWELI??
HAKUNA KISICHOELEWEKA NILIKUAMBIA NDIO MAANA NIKAWA NA COMPARE KENYA NA TZ.
TZ HATUJAWAHI KUNUNUA FOOD NJE AISEE.
ILA NYIE KENYA MLIO NA HAUWEN KULIKO SISI KWANINI MUNUNUE CHAKULA NJE??
ACHA UTOTO BHANA WATU TUNAJIELEWA
YANI STILL BADO NIMEKUONA HUNA AKILI NA MJINGA.
NA BADO HUJAWEZA HATA KUJIBU MASWALI YANGU.
NA STILL UMEROPOKA INSTEAD YA KUONGEA.
KAMA KENYA IKO AFADHALI KUTUZIDI KWANN MUNUNUE MAZAO NJE YA NCHI??
HV WW UNATUMIA AKILI KWELI??
NI SAWA NA UNAMBIE NINA KISIMA CHA MAJI KIZURI KUKUZIDI THEN UNAENDA KWA JIRAN KUCHOTA MAJI WE UTAKUWA UNA AKILI TIMAM KWELI??
HAKUNA KISICHOELEWEKA NILIKUAMBIA NDIO MAANA NIKAWA NA COMPARE KENYA NA TZ.
TZ HATUJAWAHI KUNUNUA FOOD NJE AISEE.
ILA NYIE KENYA MLIO NA HAUWEN KULIKO SISI KWANINI MUNUNUE CHAKULA NJE??
ACHA UTOTO BHANA WATU TUNAJIELEWA
Tunanunua kutoka nje kwa sababu consumption ya bidhaa hizo iko juu ya production. Nini ngumu kuelewa hapo?
Mfano, kama mwanzilishi mada alivyosema:
Kenya Maize Production - 47.4 million Bags
Kenya's Demand - 52 Million Bags
Vivyo hivyo, kuna bidhaa mingi Kenya ambazo production iko juu ya consumption, inabaki tumeexport.
Jambo lingine ni kwamba consumption ya chakula Kenya iko juu kuliko Tanzania. Maanake kwamba Tanzania watu wanakula chakula kidogo kama ndege.
Mfano, ukiangalia the average meat consumption per person per year.
Kenya - 16.7 kg per year.
Tanzania - 9.6 kg per year.
Kumaanisha mnazalisha kidogo na mnakula kidogo.
''TZ haijawahi nunua food nje..'' Sijui kama wewe hujiskiza ukiongea?
Mimi ambaye hutembea TZ karibu kila mwezi, supermarket zenu zimejaa bidhaa za Kenya. Hio sio chakula cha nje?
Wewe sasa utaenda kubishana na wenye data. UN, FAO na wengineo.
Imeonekana kwamba ujinga wa CCM hauwezi kutoka kwa kichwa.
Beef production
Kenya - 425,000 tonnes
Tanzania - 309,000 tonnes
Pig production
Kenya - 15,000 tonnes
Tanzania - 14,000 tonnes
Total poultry
Kenya - 42 million
Tanzania - 37 million
Milk consumption per person
Kenya - 95 kg
Tanzania - 40 kg
Egg production
Kenya - 98,000 tonnes
Tanzania - 35,000 tonnes
Cattle yield per animal
Kenya - 205 kg
Tanzania - 103 kg
Data by FAO
Source - https://ourworldindata.org/meat-and-seafood-production-consumption
It can be very true Tanzanians mostly feed on rice. In fact they don't fancy ugali, while ugali is staple food in Kenya. So the maize produced in Tz is more than enough for them.Poor journalism as usual! There's no way kenya of around 50 mln produces that amount n yet hunger and Tanzania of of 57mln n having bumper harvest to an extent of exporating. The figure for Tanzania r in tonnes n not bags!
Duuuh kumbe.Anakula mema ya nchiWakenya mna bahati jito la jiwe yuko bahari Hindi akiogelea. Otherwise mngehisi joto lake kwa huu Uzi.
There is some sense in thatIt can be very true Tanzanians mostly feed on rice. In fact they don't fancy ugali, while ugali is staple food in Kenya. So the maize produced in Tz is more than enough for them.
Sikufuata hiyo.What happened?Tangu Joto la Jiwe aroastiwe kwa while thread yake ya Kismayu hajairudi tena.
Hats sikukuu yenyewe hawautambui.Huu ndio ukweli,wakenya kula wali ni siku ya sikukuu!
Turkana ni Jimbo kubwa zaidi na siku zote wale hupatwa na njaa wapo mbali mno na miji ya turkana , sijawahi sikia eti mtu amekufa njaa lodwar ambapo ndio mji mkuu wa turkana afu wale ni wafugaji wa kuhamahama Kwa hivyo usitarajie wafanyibiashara wamfwate mfugaji malishoni kisa kumuuzia chakula,hio turkana unaidharau leo wakongo wanaiabudu maana ina wasupply fish in thousands of tonnes.MKUU EMBU BE SERIOUS ACHA UTOTO.
YANI TURKANA WAKO RADHI WAFE NJAA KISA HAKUNA MAINDI YA SEMBE LAKINI MCHELE UPO??
EMBU BE SERIOUS NDUGU
Mbona ugali unaliwa hadi Dar? Ukienda leo mikoa ya tanga , pwani na Kilimanjaro mbona tu utapata mashamba mengi ya mihogo na huko ni mbali Sana na kanda ya ziwa ,hizo mihogo kwani zinalimwa halafu zinatupwa? Si wanakula ugali.Huu ni ukweli usiopingika, Watanzania wengi hawapendi ugali, yaani hata kwenye mahoteli muda wa chakula cha mchana wengi huagiza wali au vyakula vya ndizi.
Ugali kwa Tanzania huliwa kanda ya ziwa kule kwa Wasukuma ambao kiaina wana undugu na Waluhya wa Kenya.
Halafu ugali wa Kitanzania huwa rojorojo, sio kama wa hapa kwetu mgumu. Hawa watu sio wapenzi wa ugali.
Ichoboy na kadonda11 walienda wapi? Tuusan njoo ujibu.Jamaa alikula ban baada ya kutusi watu.
joto la jiwe najua una~view kama guest. Pokea salamu zangu. Tunakupenda sana....
Ujue kwamba mahindi sio ya kukula tu ugali,pia mahindi yanatumika kama raw material Kwa factory kuzalisha bidhaa zingine.Ishhhhhh consumption ya 40s millions people tena na wengine hawa meet hyo consumption iko juu ya production aisee??
Mkuu niache njia panda nifike home.
KWAHERI
Kwan hawa jamaa si juzi wamelia kisa magu kazuia magari ya kupeleka mahindi kwao kenya leo wamesaau wakat soko kibaigwa dodoma msimu ndo wanaongoza kupanga foleni