Kenya produces More Maize than Tanzania (3 times)

Ahaaaa...ni sawa na wewe uliyesema waliokula mavi ni upumbavu wao...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu ubakuja kumpinga mwenzio kifua kifua
 

These guys they sell alot of packed food to europeans. Wanalima wanaprocess wanauza nje, wananunua wanaprocess wanapack wanauza nje.
Bado natafuta reference moja apa kuna kipindi walivuma kwa β€œkuproduce” tanzanite i wondered how??
Wanabeba alot of credit kwenye productions ya baadhi ya vitu while in reality wao ni middle men they only process and pack
 
Kwa mara ya kwanza mkenya ametoa takwimu fake, hivi na Kenya kuna vilaza hawajui wanapongea nini? . Tz anazalisha hizo 13 Milioni ni tani . kubali mjadalauendelee, hamjawahi kutushinda kwa kuzalisha mahindi. Kichefuchefu kitupiu.
 
Mbona ugali unaliwa hadi Dar? Ukienda leo mikoa ya tanga , pwani na Kilimanjaro mbona tu utapata mashamba mengi ya mihogo na huko ni mbali Sana na kanda ya ziwa ,hizo mihogo kwani zinalimwa halafu zinatupwa? Si wanakula ugali.

Sijasema hawali ugali, ila sio kwa kiwango kama ilivyo Kenya, ingia kwenye hoteli yoyote Dar muda wa mchana, nakuhakishia utahesabu watu wachache sana wanaokula ugali.
 

As far as i know by year 2018 Tanzania is producing twice the number of cereals Kenya produces!


 
Write your reply...Kenya aliyewaroga amekimbia. Hebu mtafuteni awape dawa mpone.
Populations ya Tz ni kubwa kuliko nchi zote East Afrika, how come tudemand low quantity of maize than minority kenyans.
Tanzania almost the whole country ni fertile soil and all areas cultivate maize for both subsistance and for trade. I wonder where you got ur statistics?
Kenya nusu ya nchi ni Kame mpka mnakufa for starvation. na uchache wenu wote how come mahindi mengi watu wachache yasiwatoshe.?
Ebu peleka hiyo ujinga yako Huko mjomba ako umpe hizo habari.
 
Kenya anazalisha tani mil. 3.3sawana gunia 33 Milioni na Tanzania anazalisha tani 13.3 Milioni sawa na gunia 133 Milioni. Ndiyo sababu Kenya ana obesity ya 7% wakati Tanzania ana obesity obesity ya 8.6% ya population yake. Tanzania wanakula kuliko Kenya kwa sababu wana chakula kingi. Sector xzilzobaki Kenya wako juuya Tanzania hasa
za uchiumi.
 
Oh my God mm nazungumzia mazao ww wasema kuhusu vyakula vilivyosindikwa we kweli sio mzima.

Kenya produces more food than Tanzania. That's the only thing you need to know and understand.

Mnacho tushinda tu ni korosho.
 

Wewe baki na ubongolala wako hapo.
Tanzania LDC itabaki kuwa one of the most food insecure countries in Africa.
Sasa hivi mnakimbizana na South Sudan kwa statistics.
 
Exactly! Kuna mpumbavu kabadili tons to magunia at a coneversion of 1 ton= 1 maize sac!
 
Hivi Tanzania na Kenya ipi ina watu wengi sana,,, maana hizi takwimu za wapi jamani!!!
 
As far as i know by year 2018 Tanzania is producing twice the number of cereals Kenya produces!



Bring your source links not just screenshots.
Don't be afraid if the link paints a sad picture for Tanzania, because as everyone knows, cereals are not the only food.
 

Don't go there. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Obesity in Tanzania is caused by national laziness.
 
Tanzania is overrated!!!
 
Sijasema hawali ugali, ila sio kwa kiwango kama ilivyo Kenya, ingia kwenye hoteli yoyote Dar muda wa mchana, nakuhakishia utahesabu watu wachache sana wanaokula ugali.
Ni maeneo tu ya pwani lakini hata leo ukienda mikoa ya Kati ,magharibi na kusini mwa Tanzania hawana chakula kingine tofauti na ugali ,hata ukienda Nairobi Kwa hotel yeyote wanaokula ugali mchana utahesabu tu, tofauti ni kwamba mahindi yanayozalishwa Kenya na hata yanayonunuliwa inje hayatumiki tu Kwa kukula ugali unavyodhani ila pia ni malighafi Kwa viwanda na yanatumika kutengeza bidhaa tofauti kwanzia Kwa tooth paste hadi Kwa textile industries.
 

Nchi tatu pekee? LDC mentality.

Kenya exports its fruits and vegetables all over the Middle East.
Our coffee and tea all over the world.
Our avocados all over Europe, and soon China.
Macadamia all over the US.
And our meat and milk products all over East and Central Africa.

Unlike Tanzania whose majority of exports are minerals, Kenya's majority exports are agricultural products.

Burundi is your equal, not Kenya.
 
Evidence? As if our sesame, meat, pulse, fruits n coffee that we produce more than u is never exported!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…