Mkuu hawa jamaa ni wa kuwapuuza yani mpk nishajiwa na akili kuwa nisibishane na mkenya maana doh huwa hawatumii akili.
Yule jamaa kule juu anakwambia TURKANA wafaa njaa kwasababu wanapata tabu mahindi ya sembe hamna japo vyakula vingine vipo.
Asa ww unamchukulia mzima huyo
Mimi sichukui tu data nikaziweka tu kichwan pasi na kuangalia reality mzee babaaaa.
Watu wengi kwenu hulalama njaa nani ana consume hyo production km sio wachache wenye kujiweza??
Kuna vitu vingine ni vya kuvitafakari aisee mzee baba.
Mimi hizo details sio km sizijui nazifaham vema tuu.
Ila twende in reality
Hizo details haziendani na reality baba angu.
Sio km sizijui.
KWAHERI
Ana maanisha wanazalisha zaidi lakini hawana uwezo wa kuwalisha wananchi wao.πππSo what?
Hata kenya ingezalisha kidogo kuliko Tz..
So what?
Yaani unataka sema nn....
Mbona ugali unaliwa hadi Dar? Ukienda leo mikoa ya tanga , pwani na Kilimanjaro mbona tu utapata mashamba mengi ya mihogo na huko ni mbali Sana na kanda ya ziwa ,hizo mihogo kwani zinalimwa halafu zinatupwa? Si wanakula ugali.
Wewe ndiye pumbavu.
WFP, FAO na wote, figure zao zote zasema Kenya inaongoza.
Kama utaweza elewea kingereza, enda ukasoma ripoti hapa -
https://www.undp.org/content/dam/rba/docs/Working%20Papers/Food%20Production%20and%20Consumption.pdf
View attachment 1155817
View attachment 1155818
Ni kitu moja kudanganya watu na data za CCM, lakini wewe mwenyewe usikuje kuamini uongo wako.
Oh my God mm nazungumzia mazao ww wasema kuhusu vyakula vilivyosindikwa we kweli sio mzima.
Mimi sichukui tu data nikaziweka tu kichwan pasi na kuangalia reality mzee babaaaa.
Watu wengi kwenu hulalama njaa nani ana consume hyo production km sio wachache wenye kujiweza??
Kuna vitu vingine ni vya kuvitafakari aisee mzee baba.
Mimi hizo details sio km sizijui nazifaham vema tuu.
Ila twende in reality
Hizo details haziendani na reality baba angu.
Sio km sizijui.
KWAHERI
Exactly! Kuna mpumbavu kabadili tons to magunia at a coneversion of 1 ton= 1 maize sac!Kenya anazalisha tani mil. 3.3sawana gunia 33 Milioni na Tanzania anazalisha tani 13.3 Milioni sawa na gunia 133 Milioni. Ndiyo sababu Kenya ana obesity ya 7% wakati Tanzania ana obesity obesity ya 8.6% ya population yake. Tanzania wanakula kuliko Kenya kwa sababu wana chakula kingi. Sector xzilzobaki Kenya wako juuya Tanzania hasa
za uchiumi.
As far as i know by year 2018 Tanzania is producing twice the number of cereals Kenya produces!
Kenya anazalisha tani mil. 3.3sawana gunia 33 Milioni na Tanzania anazalisha tani 13.3 Milioni sawa na gunia 133 Milioni. Ndiyo sababu Kenya ana obesity ya 7% wakati Tanzania ana obesity obesity ya 8.6% ya population yake. Tanzania wanakula kuliko Kenya kwa sababu wana chakula kingi. Sector xzilzobaki Kenya wako juuya Tanzania hasa
za uchiumi.
Tanzania is overrated!!!Kenya Maize Production 2018 - 47.4 million Bags
Kenya's Demand - 52 Million Bags
Deficit - 4View attachment 1155647.6 million bags
Tanzania Maize Production - 15.9 million .
Tz's Demand - 13.3 million Bags
Surplus - 2.6 million bags.
Because of the deficit kenya has to import over 6 million bags of Maize.Kenytans should be diverse to avoid over reliance on Maize products.
Uachage upumbavu aisee sisi tuta-export kwa nchi tatu mwaka huu Kenya ikiwemo!Bring your source links not just screenshots.
Don't be afraid if the link paints a sad picture for Tanzania, because as everyone knows, cereals are not the only food.
Ni maeneo tu ya pwani lakini hata leo ukienda mikoa ya Kati ,magharibi na kusini mwa Tanzania hawana chakula kingine tofauti na ugali ,hata ukienda Nairobi Kwa hotel yeyote wanaokula ugali mchana utahesabu tu, tofauti ni kwamba mahindi yanayozalishwa Kenya na hata yanayonunuliwa inje hayatumiki tu Kwa kukula ugali unavyodhani ila pia ni malighafi Kwa viwanda na yanatumika kutengeza bidhaa tofauti kwanzia Kwa tooth paste hadi Kwa textile industries.Sijasema hawali ugali, ila sio kwa kiwango kama ilivyo Kenya, ingia kwenye hoteli yoyote Dar muda wa mchana, nakuhakishia utahesabu watu wachache sana wanaokula ugali.
Uachage upumbavu aisee sisi tuta-export kwa nchi tatu mwaka huu Kenya ikiwemo!
Evidence? As if our sesame, meat, pulse, fruits n coffee that we produce more than u is never exported!Nchi tatu pekee? LDC mentality.
Kenya exports its fruits and vegetables all over the Middle East.
Our coffee and tea all over the world.
Our avocados all over Europe, and soon China.
Macadamia all over the US.
And our meat and milk products all over East and Central Africa.
Unlike Tanzania whose majority of exports are minerals, Kenya's majority exports are agricultural products.
Burundi is your equal, not Kenya.